Ni aljazeera wenye historia ya kufukuzwa MisriBalozi wa Marekani ndicho chombo cha habari ati?
Kachafue hewa mbele hukooo...Balozi wa Marekani ndicho chombo cha habari ati?
Zaidi ya chombo cha habariBalozi wa Marekani ndicho chombo cha habari ati?
HavinaHivo vifo vina uhusiano gani na uchaguzi?
Ndioni aljazeera wenye historia ya kufukuzwa Misri
Wao wana hofu ya uchaguzi wao kuingiliwa na Urusi na Iran....covid, nk habari za wapemba kuzichapa na polisi kwao sio habari wakati huu..Zaidi ya chombo cha habari
Wauza sura bara tuache na mijichogo yetuLakini kwanini wa zazibar wako tayari kwa lolote kuliko watu wa bara? Ukisikiliza aljazeera na CNN unaweza akadhani uchaguzi uko zazibar tu na wazazibari ndo wanao chukia ukandamizaji wa CCM peke yao, kumbe Bara ni mara mbili yake ila tuko kimya sanaa
Kwamba hujui huna habari au ndio kejeli ???Hivo vifo vina uhusiano gani na uchaguzi?
Ndio salama yetuLakini kwanini wa zazibar wako tayari kwa lolote kuliko watu wa bara? Ukisikiliza aljazeera na CNN unaweza akadhani uchaguzi uko zazibar tu na wazazibari ndo wanao chukia ukandamizaji wa CCM peke yao, kumbe Bara ni mara mbili yake ila tuko kimya sanaa