Zanzibar 2020 Vyombo vya Habari kimataifa vimeanza kuripoti mauaji huko Pemba

Zanzibar 2020 Vyombo vya Habari kimataifa vimeanza kuripoti mauaji huko Pemba

Hili si jambo la kufanyia mzaha kabisa

Ni muda sio mrefu tumepata taarifa juu ya mauaji ya watu watatu huko Pemba na kikosi cha polisi.

Na hivi sasa vyombo vya habari vya kimataifa vimeanza kuripoti juu ya tukio hili ambalo kwa vyovyote litatia doa nchi na kupelekea waangalizi wakubwa wa kimataifa kujiridhisha kua kuna uminywaji wa demokrasia na haki za binadamu, watu wanataka madaraka kwa nguvu japo watu wameamua kupiga kura ya mabadiliko lakini inavyoelekea chama tawala hawawezi kukubali hilo.

Hii itoshe tu kusema kua habari zimeanza kusambaa dunia nzima.
Dah! bora tungekuwa na chama kimoja tu kuliko kuwa na mzigo wa vyama afu wapiga kura tunapunguzwa!..
 
Ndio salama yetu
Kwasababu mbili kuu
1)Sisi kama Waafrika,hatujui tunachokitafuta hasa....

2)Hakuna Mtawala alieandaliwa kuwa Mzalendo wa kweli katika Nchi yake

Salama kwetu
Ni kukaa kimya na kuienzi amani tuliyokuwa nayo....hata kama Haki haipo
Anaye muandaa huyo mtawala ni nani?
 
Waache kuripoti Libya waripoti fujo za wahuni wawili tu wa madevu? Nyie msituchoshe. Kesho tunafuta upinzani Tz hautufai. Vianzishwe vyama mbadala ambavyo vitakuwa vya kizalendo.
 
Waache kuripoti libya waripoti fujo za wahuni wawili tu wa madevu? Nyie msituchoshe. Kesho tunafuta upinzani Tz hautufai. Vianzishwe vyama mbadala ambavyo vitakuwa vya kizalendo.
siku yaja
 
Ndio salama yetu
Kwasababu mbili kuu
1)Sisi kama Waafrika,hatujui tunachokitafuta hasa....

2)Hakuna Mtawala alieandaliwa kuwa Mzalendo wa kweli katika Nchi yake

Salama kwetu
Ni kukaa kimya na kuienzi amani tuliyokuwa nayo....hata kama Haki haipo
Naunga mkono hoja.

Nasikitishwa sana na fujo hizi zinazotrend.

Maisha hayaendi sawa pale darajani,huko kinuni darajabovu na kwingineko kwa sababu ya uchaguzi.
 
lakini kwann akatae kuongezewa mda wakati wananchi ndo tunaamua! hili swala mm bado sjalilelewa maandamano yafanyike aongezewe mda baada ya miaka 5 tena kuisha
 
Hili si jambo la kufanyia mzaha kabisa

Ni muda sio mrefu tumepata taarifa juu ya mauaji ya watu watatu huko Pemba na kikosi cha polisi.

Na hivi sasa vyombo vya habari vya kimataifa vimeanza kuripoti juu ya tukio hili ambalo kwa vyovyote litatia doa nchi na kupelekea waangalizi wakubwa wa kimataifa kujiridhisha kua kuna uminywaji wa demokrasia na haki za binadamu, watu wanataka madaraka kwa nguvu japo watu wameamua kupiga kura ya mabadiliko lakini inavyoelekea chama tawala hawawezi kukubali hilo.

Hii itoshe tu kusema kua habari zimeanza kusambaa dunia nzima.
Leo matusi yamekauka bwashee!
 
Hili si jambo la kufanyia mzaha kabisa

Ni muda sio mrefu tumepata taarifa juu ya mauaji ya watu watatu huko Pemba na kikosi cha polisi.

Na hivi sasa vyombo vya habari vya kimataifa vimeanza kuripoti juu ya tukio hili ambalo kwa vyovyote litatia doa nchi na kupelekea waangalizi wakubwa wa kimataifa kujiridhisha kua kuna uminywaji wa demokrasia na haki za binadamu, watu wanataka madaraka kwa nguvu japo watu wameamua kupiga kura ya mabadiliko lakini inavyoelekea chama tawala hawawezi kukubali hilo.

Hii itoshe tu kusema kua habari zimeanza kusambaa dunia nzima.
......ukiambiwa huu moto usiguse utaungua, inabaki ni juu yako kuamua uguse au usiguse; ukigusa usitarajie matokeo tofauti.....
 
Ndio salama yetu
Kwasababu mbili kuu
1)Sisi kama Waafrika,hatujui tunachokitafuta hasa....

2)Hakuna Mtawala alieandaliwa kuwa Mzalendo wa kweli katika Nchi yake

Salama kwetu
Ni kukaa kimya na kuienzi amani tuliyokuwa nayo....hata kama Haki haipo
hili ni muhim kulitambua "Hakuna Mtawala alieandaliwa kuwa Mzalendo wa kweli katika Nchi yake"
 
Ni halali kwa Mtanzania kujibu kipigo kwa silaha za Moto kwa sababu huku sio kutupiga sasa
 
Aljazeera wamereport ila ITV wakakosa uzalendo wakakata fasta na kuweka tangazo
ITV wajinga sana wanasitisha matangazo ya Aljazeera ili wananchi wasijue mabaya wanayoyajua tayari yanatendwa na Serikali yao wakiacha dunia nzimà nao wajue mauaji ya Wazanzibari wasio na silaha yoyote. Agizo toka juu lingeenda mbali zaidi mpaka Aljazeera kuzuia wasitangaze tumalizwe kimyakimya kuficha dhuluma iliyozoeleka ya Watawala dhidi ya wananchi. Mauaji ya Zanzibar yalitegemewa na dalili zote kuwa wazi ndo maana majeshi yote yalitayarishwa kivita na tutaona mengi wiki hii!
 
......ukiambiwa huu moto usiguse utaungua, inabaki ni juu yako kuamua uguse au usiguse; ukigusa usitarajie matokeo tofauti.....
Hakika.
JamiiForums-1874524951_428x320.jpg
 
Back
Top Bottom