fathergetho
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 1,556
- 914
kiukweli bila ya kupepesa maneno ccm is outdatedWanaona ni Sawa maana ndipo ushindi wao ulipo, CCM inategemea kubebwa na Polisi, Tume ili kushinda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kiukweli bila ya kupepesa maneno ccm is outdatedWanaona ni Sawa maana ndipo ushindi wao ulipo, CCM inategemea kubebwa na Polisi, Tume ili kushinda.
[emoji23][emoji23][emoji23]Balozi wa Marekani ndicho chombo cha habari ati?
Dah! bora tungekuwa na chama kimoja tu kuliko kuwa na mzigo wa vyama afu wapiga kura tunapunguzwa!..Hili si jambo la kufanyia mzaha kabisa
Ni muda sio mrefu tumepata taarifa juu ya mauaji ya watu watatu huko Pemba na kikosi cha polisi.
Na hivi sasa vyombo vya habari vya kimataifa vimeanza kuripoti juu ya tukio hili ambalo kwa vyovyote litatia doa nchi na kupelekea waangalizi wakubwa wa kimataifa kujiridhisha kua kuna uminywaji wa demokrasia na haki za binadamu, watu wanataka madaraka kwa nguvu japo watu wameamua kupiga kura ya mabadiliko lakini inavyoelekea chama tawala hawawezi kukubali hilo.
Hii itoshe tu kusema kua habari zimeanza kusambaa dunia nzima.
Anaye muandaa huyo mtawala ni nani?Ndio salama yetu
Kwasababu mbili kuu
1)Sisi kama Waafrika,hatujui tunachokitafuta hasa....
2)Hakuna Mtawala alieandaliwa kuwa Mzalendo wa kweli katika Nchi yake
Salama kwetu
Ni kukaa kimya na kuienzi amani tuliyokuwa nayo....hata kama Haki haipo
Empty brain hao achana nao ndugukuuwa watu huko zanzibar ndiyo propaganda?
siku yajaWaache kuripoti libya waripoti fujo za wahuni wawili tu wa madevu? Nyie msituchoshe. Kesho tunafuta upinzani Tz hautufai. Vianzishwe vyama mbadala ambavyo vitakuwa vya kizalendo.
Sasa wewe onesha kuwa havina uhusiano.Hivo vifo vina uhusiano gani na uchaguzi?
Naunga mkono hoja.Ndio salama yetu
Kwasababu mbili kuu
1)Sisi kama Waafrika,hatujui tunachokitafuta hasa....
2)Hakuna Mtawala alieandaliwa kuwa Mzalendo wa kweli katika Nchi yake
Salama kwetu
Ni kukaa kimya na kuienzi amani tuliyokuwa nayo....hata kama Haki haipo
Leo matusi yamekauka bwashee!Hili si jambo la kufanyia mzaha kabisa
Ni muda sio mrefu tumepata taarifa juu ya mauaji ya watu watatu huko Pemba na kikosi cha polisi.
Na hivi sasa vyombo vya habari vya kimataifa vimeanza kuripoti juu ya tukio hili ambalo kwa vyovyote litatia doa nchi na kupelekea waangalizi wakubwa wa kimataifa kujiridhisha kua kuna uminywaji wa demokrasia na haki za binadamu, watu wanataka madaraka kwa nguvu japo watu wameamua kupiga kura ya mabadiliko lakini inavyoelekea chama tawala hawawezi kukubali hilo.
Hii itoshe tu kusema kua habari zimeanza kusambaa dunia nzima.
......ukiambiwa huu moto usiguse utaungua, inabaki ni juu yako kuamua uguse au usiguse; ukigusa usitarajie matokeo tofauti.....Hili si jambo la kufanyia mzaha kabisa
Ni muda sio mrefu tumepata taarifa juu ya mauaji ya watu watatu huko Pemba na kikosi cha polisi.
Na hivi sasa vyombo vya habari vya kimataifa vimeanza kuripoti juu ya tukio hili ambalo kwa vyovyote litatia doa nchi na kupelekea waangalizi wakubwa wa kimataifa kujiridhisha kua kuna uminywaji wa demokrasia na haki za binadamu, watu wanataka madaraka kwa nguvu japo watu wameamua kupiga kura ya mabadiliko lakini inavyoelekea chama tawala hawawezi kukubali hilo.
Hii itoshe tu kusema kua habari zimeanza kusambaa dunia nzima.
hili ni muhim kulitambua "Hakuna Mtawala alieandaliwa kuwa Mzalendo wa kweli katika Nchi yake"Ndio salama yetu
Kwasababu mbili kuu
1)Sisi kama Waafrika,hatujui tunachokitafuta hasa....
2)Hakuna Mtawala alieandaliwa kuwa Mzalendo wa kweli katika Nchi yake
Salama kwetu
Ni kukaa kimya na kuienzi amani tuliyokuwa nayo....hata kama Haki haipo
ITV wajinga sana wanasitisha matangazo ya Aljazeera ili wananchi wasijue mabaya wanayoyajua tayari yanatendwa na Serikali yao wakiacha dunia nzimà nao wajue mauaji ya Wazanzibari wasio na silaha yoyote. Agizo toka juu lingeenda mbali zaidi mpaka Aljazeera kuzuia wasitangaze tumalizwe kimyakimya kuficha dhuluma iliyozoeleka ya Watawala dhidi ya wananchi. Mauaji ya Zanzibar yalitegemewa na dalili zote kuwa wazi ndo maana majeshi yote yalitayarishwa kivita na tutaona mengi wiki hii!Aljazeera wamereport ila ITV wakakosa uzalendo wakakata fasta na kuweka tangazo
Hakika.......ukiambiwa huu moto usiguse utaungua, inabaki ni juu yako kuamua uguse au usiguse; ukigusa usitarajie matokeo tofauti.....
Misri kwa dikteta sisNi aljazeera wenye historia ya kufukuzwa Misri
Hii ni shida kubwa sana.Wanaona ni Sawa maana ndipo ushindi wao ulipo, CCM inategemea kubebwa na Polisi, Tume ili kushinda.