Zanzibar 2020 Vyombo vya Habari kimataifa vimeanza kuripoti mauaji huko Pemba

Zanzibar 2020 Vyombo vya Habari kimataifa vimeanza kuripoti mauaji huko Pemba

Hizo propaganda zenu zitashindwa...Watanzania wapenda Maendeleo watamchagua Magufuli.

Congratulations in advance President Magufuli

JPM anatosha CCM kwa maendeleo ya Tanzania
 
Lakini kwanini wa zazibar wako tayari kwa lolote kuliko watu wa bara? Ukisikiliza aljazeera na CNN unaweza akadhani uchaguzi uko zazibar tu na wazazibari ndo wanao chukia ukandamizaji wa CCM peke yao, kumbe Bara ni mara mbili yake ila tuko kimya sanaa
Utaona ya Tanzania Bara kuanzia kesho. Hatutaki ujinga mwaka huu
 
hao waandishi sio watanzania,waandishi wa kitanzania wamekosa uzalendo na nchi yao,kipindi hiki cha kampeni kimedhihirisha hivyo.Waliandika na kuripoti upande mmoja kana kwamba nchi ni ya chama kimoja
 
Lakini kwanini wa zazibar wako tayari kwa lolote kuliko watu wa bara? Ukisikiliza aljazeera na CNN unaweza akadhani uchaguzi uko zazibar tu na wazazibari ndo wanao chukia ukandamizaji wa CCM peke yao, kumbe Bara ni mara mbili yake ila tuko kimya sanaa
Bara kuna wajinga na wachumia tumbo wengi sana. Ujinga na uchumia tumbo unasababisha uoga
Hizi shamra-shamra kiasi tunazoona bara wakati huu ni kwa sababu ya ujio wa mbeba maono, mzalendo na jasiri LISU.
Hicho kinachoendelea zanzibar kingewezekana kama kila mkoa Bara kungepatikana LISU wawili hivi
 
Lakini kwanini wa zazibar wako tayari kwa lolote kuliko watu wa bara? Ukisikiliza aljazeera na CNN unaweza akadhani uchaguzi uko zazibar tu na wazazibari ndo wanao chukia ukandamizaji wa CCM peke yao, kumbe Bara ni mara mbili yake ila tuko kimya sanaa
Dogo kachukue mawe uwapopoe FFU wasituchukulie poa mzee
 
Vyombo vya habari vya bongo havina maana yeyote havitusaidii kwakweli wameshindwa aljazeera iko live kila baada ya nususaa kuripoti yanayojoli visiwani
 
Nikisoma comments za washabiki wa CCM hata sielewi......natamani kujua kwamba wao vile vifaru na risasi kurindima huko Zanzibar, wao wanafurahi au wanaona ni sawa tu?
kwani wana akili hata wapuuzi hao
 
Hili si jambo la kufanyia mzaha kabisa

Ni muda sio mrefu tumepata taarifa juu ya mauaji ya watu watatu huko Pemba na kikosi cha polisi.

Na hivi sasa vyombo vya habari vya kimataifa vimeanza kuripoti juu ya tukio hili ambalo kwa vyovyote litatia doa nchi na kupelekea waangalizi wakubwa wa kimataifa kujiridhisha kua kuna uminywaji wa demokrasia na haki za binadamu, watu wanataka madaraka kwa nguvu japo watu wameamua kupiga kura ya mabadiliko lakini inavyoelekea chama tawala hawawezi kukubali hilo.

Hii itoshe tu kusema kua habari zimeanza kusambaa dunia nzima.
ukiona watu wanataka madaraka kwa damu hao si viongozi
 
Lakini kwanini wa zazibar wako tayari kwa lolote kuliko watu wa bara? Ukisikiliza aljazeera na CNN unaweza akadhani uchaguzi uko zazibar tu na wazazibari ndo wanao chukia ukandamizaji wa CCM peke yao, kumbe Bara ni mara mbili yake ila tuko kimya sanaa
Kwahiyo unataka kusemaje sasa?
 
Back
Top Bottom