Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WTF..sisiemu ni kituko cha karne,wamefanya nchi imekuwa ya kishamba sana,vyombo vya habari vimekuwa upuuzi mtupuAljazeera wamereport ila ITV wakakosa uzalendo wakakata fasta na kuweka tangazo
sawaNdio
Utaona ya Tanzania Bara kuanzia kesho. Hatutaki ujinga mwaka huuLakini kwanini wa zazibar wako tayari kwa lolote kuliko watu wa bara? Ukisikiliza aljazeera na CNN unaweza akadhani uchaguzi uko zazibar tu na wazazibari ndo wanao chukia ukandamizaji wa CCM peke yao, kumbe Bara ni mara mbili yake ila tuko kimya sanaa
Bara kuna wajinga na wachumia tumbo wengi sana. Ujinga na uchumia tumbo unasababisha uogaLakini kwanini wa zazibar wako tayari kwa lolote kuliko watu wa bara? Ukisikiliza aljazeera na CNN unaweza akadhani uchaguzi uko zazibar tu na wazazibari ndo wanao chukia ukandamizaji wa CCM peke yao, kumbe Bara ni mara mbili yake ila tuko kimya sanaa
Dogo kachukue mawe uwapopoe FFU wasituchukulie poa mzeeLakini kwanini wa zazibar wako tayari kwa lolote kuliko watu wa bara? Ukisikiliza aljazeera na CNN unaweza akadhani uchaguzi uko zazibar tu na wazazibari ndo wanao chukia ukandamizaji wa CCM peke yao, kumbe Bara ni mara mbili yake ila tuko kimya sanaa
Al Jazeera wameonyesha.Balozi wa Marekani bo cha habari ati?
kwani wana akili hata wapuuzi haoNikisoma comments za washabiki wa CCM hata sielewi......natamani kujua kwamba wao vile vifaru na risasi kurindima huko Zanzibar, wao wanafurahi au wanaona ni sawa tu?
kuuwa watu huko zanzibar ndiyo propaganda?Hizo propaganda zenu zitashindwa...Watanzania wapenda MAENDELEO watamchagua Magufuli.
Congratulations in advance President Magufuli
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Wanaona ni Sawa maana ndipo ushindi wao ulipo, CCM inategemea kubebwa na Polisi, Tume ili kushinda.Nikisoma comments za washabiki wa CCM hata sielewi......natamani kujua kwamba wao vile vifaru na risasi kurindima huko Zanzibar, wao wanafurahi au wanaona ni sawa tu?
ukiona watu wanataka madaraka kwa damu hao si viongoziHili si jambo la kufanyia mzaha kabisa
Ni muda sio mrefu tumepata taarifa juu ya mauaji ya watu watatu huko Pemba na kikosi cha polisi.
Na hivi sasa vyombo vya habari vya kimataifa vimeanza kuripoti juu ya tukio hili ambalo kwa vyovyote litatia doa nchi na kupelekea waangalizi wakubwa wa kimataifa kujiridhisha kua kuna uminywaji wa demokrasia na haki za binadamu, watu wanataka madaraka kwa nguvu japo watu wameamua kupiga kura ya mabadiliko lakini inavyoelekea chama tawala hawawezi kukubali hilo.
Hii itoshe tu kusema kua habari zimeanza kusambaa dunia nzima.
Kwahiyo unataka kusemaje sasa?Lakini kwanini wa zazibar wako tayari kwa lolote kuliko watu wa bara? Ukisikiliza aljazeera na CNN unaweza akadhani uchaguzi uko zazibar tu na wazazibari ndo wanao chukia ukandamizaji wa CCM peke yao, kumbe Bara ni mara mbili yake ila tuko kimya sanaa