Zanzibar 2020 Vyombo vya Habari kimataifa vimeanza kuripoti mauaji huko Pemba

Zanzibar 2020 Vyombo vya Habari kimataifa vimeanza kuripoti mauaji huko Pemba

kwani wana akili hata wapuuzi hao
Sitaki kuamini kwamba hawana akili, nadhani akili zao wamelazimisha ziamini kwamba CCM ndio ina haki ya kutawala milele hii Nchi.
 
Unafiki una mwisho.ccm hamko tayari kwa uchaguzi huru na hamwezi bila violence sasa majirani wamesikia mnalaumu nini?
 
MODs mbona threads Kama hii zinazozungumzia jambo hilo hilo HAMZIUNGANISHI? Lakini nyingine mnaunganisha?
 
Hili si jambo la kufanyia mzaha kabisa

Ni muda sio mrefu tumepata taarifa juu ya mauaji ya watu watatu huko Pemba na kikosi cha polisi.

Na hivi sasa vyombo vya habari vya kimataifa vimeanza kuripoti juu ya tukio hili ambalo kwa vyovyote litatia doa nchi na kupelekea waangalizi wakubwa wa kimataifa kujiridhisha kua kuna uminywaji wa demokrasia na haki za binadamu, watu wanataka madaraka kwa nguvu japo watu wameamua kupiga kura ya mabadiliko lakini inavyoelekea chama tawala hawawezi kukubali hilo.

Hii itoshe tu kusema kua habari zimeanza kusambaa dunia nzima.
Mungu wabariki Wazungu
 
Lakini kwanini wa zazibar wako tayari kwa lolote kuliko watu wa bara? Ukisikiliza aljazeera na CNN unaweza akadhani uchaguzi uko zazibar tu na wazazibari ndo wanao chukia ukandamizaji wa CCM peke yao, kumbe Bara ni mara mbili yake ila tuko kimya sanaa
Zanzibar hayakuanza leo na bado safari nI ndefu. Na huko nako itafika siku umma utasema: MPAKA HAPA BASI, INATOSHA!
Tuombe Mungu mabadiliko yaje kwa "Evolution" na sio kwa "Revolution"
 
Lakini kwanini wa zazibar wako tayari kwa lolote kuliko watu wa bara? Ukisikiliza aljazeera na CNN unaweza akadhani uchaguzi uko zazibar tu na wazazibari ndo wanao chukia ukandamizaji wa CCM peke yao, kumbe Bara ni mara mbili yake ila tuko kimya sanaa
Bara mapoyoyo tu
 
Hawajawahi report vitu vyenye maslahi ya Tanzania

Zaidi wanareport vitu wanavyotamani wao ambavyo fine maslahi binafsi kwao na nchi zao
 
Kwao na balozi wapo wamebana mat@ko na hofu ya uchaguzi wao kuingiliwa na Urusi na Iran....covid, nk habari za wapemba kuzichapa na polisi kwao sio habari wkati huu..
Mtoto naona unakata uno na ujauzito wako utatoka mamaaa
 
Lakini kwanini wa zazibar wako tayari kwa lolote kuliko watu wa bara? Ukisikiliza aljazeera na CNN unaweza akadhani uchaguzi uko zazibar tu na wazazibari ndo wanao chukia ukandamizaji wa CCM peke yao, kumbe Bara ni mara mbili yake ila tuko kimya sanaa
Ukitaka kuishi kwa AMANI, basi kubali KUONEWA au KUDHURUMIWA!
 
Unafurahia watu kufa??? Vyombo vya usalama vimefundishwa mbinu Moja tu yakufyatua risasi za moto kwa waharifu??au zipo mbinu nyingne walizofundishwa?
Risasi hutumika pale ambapo hakuna namna nyingine ya kuthibiti hali na hiyo ipo kwa mujibu wa sheria hakuna anayefurahia kifo ila ni jukumu la kila mmoja kijitahidi kuepukana na mazingira ambayo yanaweza msababishia kifo.
 
Balozi wa Marekani ndicho chombo cha habari ati?
CCA86A53-43E6-46AF-87F5-C07A67CB622D.jpeg
 
Back
Top Bottom