sifongo
JF-Expert Member
- Jun 5, 2011
- 4,896
- 5,305
Sitaki kuamini kwamba hawana akili, nadhani akili zao wamelazimisha ziamini kwamba CCM ndio ina haki ya kutawala milele hii Nchi.kwani wana akili hata wapuuzi hao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitaki kuamini kwamba hawana akili, nadhani akili zao wamelazimisha ziamini kwamba CCM ndio ina haki ya kutawala milele hii Nchi.kwani wana akili hata wapuuzi hao
KAMUULIZE MAGUFULI NA SHEINHivo vifo vina uhusiano gani na uchaguzi?
Mungu wabariki WazunguHili si jambo la kufanyia mzaha kabisa
Ni muda sio mrefu tumepata taarifa juu ya mauaji ya watu watatu huko Pemba na kikosi cha polisi.
Na hivi sasa vyombo vya habari vya kimataifa vimeanza kuripoti juu ya tukio hili ambalo kwa vyovyote litatia doa nchi na kupelekea waangalizi wakubwa wa kimataifa kujiridhisha kua kuna uminywaji wa demokrasia na haki za binadamu, watu wanataka madaraka kwa nguvu japo watu wameamua kupiga kura ya mabadiliko lakini inavyoelekea chama tawala hawawezi kukubali hilo.
Hii itoshe tu kusema kua habari zimeanza kusambaa dunia nzima.
Zanzibar hayakuanza leo na bado safari nI ndefu. Na huko nako itafika siku umma utasema: MPAKA HAPA BASI, INATOSHA!Lakini kwanini wa zazibar wako tayari kwa lolote kuliko watu wa bara? Ukisikiliza aljazeera na CNN unaweza akadhani uchaguzi uko zazibar tu na wazazibari ndo wanao chukia ukandamizaji wa CCM peke yao, kumbe Bara ni mara mbili yake ila tuko kimya sanaa
Bara mapoyoyo tuLakini kwanini wa zazibar wako tayari kwa lolote kuliko watu wa bara? Ukisikiliza aljazeera na CNN unaweza akadhani uchaguzi uko zazibar tu na wazazibari ndo wanao chukia ukandamizaji wa CCM peke yao, kumbe Bara ni mara mbili yake ila tuko kimya sanaa
Kibiti na Rufiji walikufa watu wengi tu. Na wala hapa kuwa na UchaguziHivo vifo vina uhusiano gani na uchaguzi?
Nimeona walivyokata fasta nikashangaa....reporter alikua anaripoti kutokea KenyaAljazeera wamereport ila ITV wakakosa uzalendo wakakata fasta na kuweka tangazo
Unafurahia watu kufa??? Vyombo vya usalama vimefundishwa mbinu Moja tu yakufyatua risasi za moto kwa waharifu??au zipo mbinu nyingne walizofundishwa?Upuuzi mtupu kwahiyo watu wafanye Fujo waachwe
Angalia Aljeezira wewe mammaliaBalozi wa Marekani ndicho chombo cha habari ati?
Mtoto naona unakata uno na ujauzito wako utatoka mamaaaKwao na balozi wapo wamebana mat@ko na hofu ya uchaguzi wao kuingiliwa na Urusi na Iran....covid, nk habari za wapemba kuzichapa na polisi kwao sio habari wkati huu..
Ukitaka kuishi kwa AMANI, basi kubali KUONEWA au KUDHURUMIWA!Lakini kwanini wa zazibar wako tayari kwa lolote kuliko watu wa bara? Ukisikiliza aljazeera na CNN unaweza akadhani uchaguzi uko zazibar tu na wazazibari ndo wanao chukia ukandamizaji wa CCM peke yao, kumbe Bara ni mara mbili yake ila tuko kimya sanaa
Risasi hutumika pale ambapo hakuna namna nyingine ya kuthibiti hali na hiyo ipo kwa mujibu wa sheria hakuna anayefurahia kifo ila ni jukumu la kila mmoja kijitahidi kuepukana na mazingira ambayo yanaweza msababishia kifo.Unafurahia watu kufa??? Vyombo vya usalama vimefundishwa mbinu Moja tu yakufyatua risasi za moto kwa waharifu??au zipo mbinu nyingne walizofundishwa?
Kwahiyo?Kibiti na Rufiji walikufa watu wengi tu. Na wala hapa kuwa na Uchaguzi
Balozi wa Marekani ndicho chombo cha habari ati?
Wapandishiwe kodiAljazeera wamereport ila ITV wakakosa uzalendo wakakata fasta na kuweka tangazo
Ok. Umefurahi??!!sawa