Zanzibar 2020 Vyombo vya Habari kimataifa vimeanza kuripoti mauaji huko Pemba

Zanzibar 2020 Vyombo vya Habari kimataifa vimeanza kuripoti mauaji huko Pemba

Kumbe uchaguzi wa leo hakuna wakala WA vyama vya siasa kuingia! Kuna haja gani ya kupiga Kura?.
 
kwa lipi kiongozi... siwezi furahishwa na uvunjifu wa amani ndani ya nchi yangu kwa namna yoyote ile... wanaoumia ni ndugu zangu waTanzania
Dah yaani acha tu aisee. Jana nimeona ile video wanajeshi wa vita, vifaru vya vita utadhani nchi imevamiwa aisee. Vita kabisa.
 
Lakini kwanini wa zazibar wako tayari kwa lolote kuliko watu wa bara? Ukisikiliza aljazeera na CNN unaweza akadhani uchaguzi uko zazibar tu na wazazibari ndo wanao chukia ukandamizaji wa CCM peke yao, kumbe Bara ni mara mbili yake ila tuko kimya sanaa
bara mzami umegusa chini kabisa upande wa CCM. Kati ya wananchi 10 wa bara, 9.5 wapo tayari kuirudisha serikali iliyopo madarakani. Ukweli mchungu. Tofauti na 2015 ambapo viongozi na wanachama wa CCM walikua tayari kumpinga mgombea wa CCM na kumchagua wa upinzani. Sasa hivi viongozi wote wa CCM na wanachama wa CCM wanataka chama mgombea wao ashinde.

Zanzibar ni uchaguzi mpya kwahiyo watu wana kiu ya mabadiliko. Kila mgombea hajashika nafasi anayoiomba kwahiyo akili bado zinaamua mpaka dakika ya mwisho. Bara imepitia miaka mitano ya mgombea wa CCM na hakuna janga lililotokea kwa ujumla so watu hawana mwamko sana na mabadiliko. Hii ni methali ya Zimwi likujualo.
 
kuuwa watu huko zanzibar ndiyo propaganda?

Wameuuwawa kwenye mazingira gani? Mimi niliona Jana vijana wakiwatupia mawe na matofari vikosi vya ulinzi na usalama mpaka magari yao yakalazimika kuondoka ili kuwanusuru Askari wasipate madhara - sasa kama vijana wa ACT wamerudia tena vurugu zao kama za Jana hapo unategemea Polisi wange react vipi kama sio kutumia nguvu za ziada, ushauri wangu vijana wasijaribu kutuniana misuli na vyombo vya Dola - tiini amri bila shuruti - akili za kuambiwa chaganya na za kwako, mtakao pata kipigo na kujeruhiwa ni nyinyi na sio viongozi wenu wa vyama vya upinzani, msikubali kutumika kama doormat.
 
Lakini kwanini wa zazibar wako tayari kwa lolote kuliko watu wa bara? Ukisikiliza aljazeera na CNN unaweza akadhani uchaguzi uko zazibar tu na wazazibari ndo wanao chukia ukandamizaji wa CCM peke yao, kumbe Bara ni mara mbili yake ila tuko kimya sanaa
We umefanya kitu gani chochote kuonyesha chuki yako dhidi ya ukandamizaji wa CCM?
 
Lakini kwanini wa zazibar wako tayari kwa lolote kuliko watu wa bara? Ukisikiliza aljazeera na CNN unaweza akadhani uchaguzi uko zazibar tu na wazazibari ndo wanao chukia ukandamizaji wa CCM peke yao, kumbe Bara ni mara mbili yake ila tuko kimya sanaa
Watu wa bara ni wanafiki sana wanaongea Tu hawawezi kufanya lolote wameisha zoea kubuluzwa
 
Give ZEC, NEC and Tanzania at large, a space to conduct its own electioneering without foreign meddling interferences.

Remember your country US is on records over such police brutality, violence, and bloodshed, most victims being the innocent black US citizens.

In that case let Tanzanians conduct their elections according to their governing laws and regulations and procedures, as the so called integrity and restrains in dealing with infringements of peace and order, are yet to be seen even in your own country.

Tanzanians are on this week are going to decide loudly and strongly!
 
Ndio salama yetu
Kwasababu mbili kuu
1)Sisi kama Waafrika,hatujui tunachokitafuta hasa....

2)Hakuna Mtawala alieandaliwa kuwa Mzalendo wa kweli katika Nchi yake

Salama kwetu
Ni kukaa kimya na kuienzi amani tuliyokuwa nayo....hata kama Haki haipo
Hata iyo amani unayojivunia sasa ivi itavunjika tu kwa kukosa HAKI
 
Watu wa Tanganyika wangekuwa wanajitambua kama wazanzibar basi ccm ingeshakufa kifo cha mende na magufuli leo angekuwa mwanachama wa kawaida wa chama cha mafisadi na wauaji a.k.a ccm
 
Hili si jambo la kufanyia mzaha kabisa

Ni muda sio mrefu tumepata taarifa juu ya mauaji ya watu watatu huko Pemba na kikosi cha polisi.

Na hivi sasa vyombo vya habari vya kimataifa vimeanza kuripoti juu ya tukio hili ambalo kwa vyovyote litatia doa nchi na kupelekea waangalizi wakubwa wa kimataifa kujiridhisha kua kuna uminywaji wa Demokrasia na haki za binadamu, watu wanataka madaraka kwa nguvu japo watu wameamua kupiga kura ya mabadiliko lakini inavyoelekea chama tawala hawawezi kukubali hilo.

Hii itoshe tu kusema kua habari zimeanza kusambaa dunia nzima.
Jiwe na vibaraka wake naona wameamua kujipalilia njia ya kwenda The Hague mchana kweupe .
 
Watanganyika wanajitambua sana Bro
Labda wewe


Kisha
Jifunzeni ya Libya,Uraq,Somalia nk

Waliwatoa Watawala wao wakiwa na tamaa mfu kama nyie,kisha leo wanalia kilio cha Mbwa

Bora mjinga anaenunua wakati...kuliko mjanja anaejinyea ovyo
Watu wa Tanganyika wangekuwa wanajitambua kama wazanzibar basi ccm ingeshakufa kifo cha mende na magufuli leo angekuwa mwanachama wa kawaida wa chama cha mafisadi na wauaji a.k.a ccm
 
Watanganyika wanajitambua sana Bro
Labda wewe


Kisha
Jifunzeni ya Libya,Uraq,Somalia nk

Waliwatoa Watawala wao wakiwa na tamaa mfu kama nyie,kisha leo wanalia kilio cha Mbwa

Bora mjinga anaenunua wakati...kuliko mjanja anaejinyea ovyo
Wewe nae ni mpuuzi tu. Sasa unaona ni bora tutawaliwe na mafisadi waliojaa ccm kuliko nchi kukombolewa toka domo la mamba ccm, punguani wa head wewe.
 
Lakini kwanini wa zanzibar wako tayari kwa lolote kuliko watu wa bara? Ukisikiliza Aljazeera na CNN unaweza akadhani uchaguzi uko zanzibar tu na wazanzibari ndo wanaochukia ukandamizaji wa CCM peke yao, kumbe Bara ni mara mbili yake ila tuko kimya sanaa
CCM na Nyerere walitutia ukilema wa akili na unafiki. Media uchwara ziko active kuripoti machafuko ya Nigeria. ila huko Zanzibar wanajifanya hawajui. wapo na makamera yao kwenye mikutano ya Lissu ila wanaogopa kumrusha jwenye taarifa ya habari
 
Kuna wakati Haki iwache ichelewe,ili amani itamalaki

Labda nikuulize swali dogo
Ww umenyimwa haki gani hata Tz?!
Kwaiyo mkuu we unaona yanayo endelea nchini sasa ivi ni Haki?
3d88490cc674257c79eac669553d32e3--malcolm-x-quotes-black-panther.jpg
 
Back
Top Bottom