Zanzibar 2020 Vyombo vya Habari kimataifa vimeanza kuripoti mauaji huko Pemba

Maelekezo ni kupiga kura na kwenda kutulia nyumbani.

Sasa wew jifanye mjuaji sana hata kura hujapiga unaanza kututabiria ushindi kwa kubeba mabango. Utamwaga damu mapema 2 kuliko kuchonganisha watu na kupelekea taifa kwenye matatizo
 
mtu akirusha tofali anadhibitiwa kwa risasi ya moto?

How old are you?
 
Chief
Tatizo la Mwafrika ni kutofikiri au uvivu uliokubuhu

Ok
tuseme hakuna haki Bongo....

Je!ni nani mlie muandaa kuja kutetea haki yako wewe...?!

Lisu.. au nani?!
We ndo mvivu wa kufikri tena uliekubuhu unataka mpaka uandalewe mtu wa kutetea haki yako Hakuna mtu hatakae kuja ketea haki yako isipokuwa we mwenyewe

Kwanza nijibu swali langu
Yanayoendelea nchini ni HAKI?
 
Hili ni doa Sana kwa familia ya mwinyi japo ujifanya wanaswali. Yule mzee ana miaka 95 badala ya kufanya ibada lala salama hii mda wa rehema Mola aliomjalia Yuko bize kuhangaika na dunia utadhani kijana wa miaka 20 au anazo siku tele za kuishi duniani
 
mtu akirusha tofali anadhibitiwa kwa risasi ya moto?

How old are you?
hapana anapewa soda na biscut tu....hivi mkuu ulishawai kutandikwa jiwe la ugoko ukaona maumivu yake...jiulize dogo anayekutandika yupo hapo nawe una chuma cha moto!
 
Tanzania has accused security forces of shooting dead five citizens and arresting its leader
 
Unataka kumrisisha nani upumbavu wako. Pambaneni na ujinga wenu wapuuzi na nusu kesho 12 kamili kumpa kura ya JPM
 
Unatarajia watangaze NINI kama siyo mambo kama hayo ya kuleta taharuki nchini mwetu? Unadhani hao watatangaza habari zenu za maendeleo!? THUBUTU wachekwe!
 
Wana CCM waliouwawa Njombe na Songwe mbona mlikuwa hamtoi mapovu kiasi hicho au wale siyo binadamu?
 
Wana CCM waliouwawa Njombe na Songwe mbona mlikuwa hamtoi mapovu kiasi hicho au wale siyo binadamu?
suala ni kutoa mapovu au suala ni watuhumiwa wote wafikishwe mbele ya sheria, haijalishi ni nani, awe polisi, ffu, au nani, wote wauaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…