Vyombo vya habari kwanini mnawakimbia CHADEMA na ACT Wazalendo?

Vyombo vya habari kwanini mnawakimbia CHADEMA na ACT Wazalendo?

Unakuta mtu hapa anailalamikia TBC ila yeye pia ndio hujisifu kuwa siku hizi haangalii Tbccm.
 
Leo CHADEMA wameanza mchakato wa kumpata Mgombea Urais ila vyombo vya habari vikubwa nchini havikuripoti live tukio ilo.

Kura zimepigwa bado hawakutaka kuripoti, hata ITV ambao Wana breaking news hawakuwa habari yoyote kuonyesha Kuna Jambo linaendelea.

Mgombea amepitishwa bado vipo kimya, hata pale mwanahabari mwenzao Salum Mwalim alipewa ridhaa ya mgombea mwenza hawakutaka kuupa umma habari hii

Kateuliwa mgombea Zanzibar baro TBC, Star Tv na ITV wapo kimya

Nyarandu kapongeza na kusema anamuunga mkono Tundu but bado wapo kimya

BBC wametangaza na taarifa kuanza kusambaa mitandaoni ndipo wanaanza kuandika kidogokidogo.

Wapi nafasi ya vyombo vya habari Tanzania?

Leo naona CHADEMA wamejifunza, wamejiwekea mkakati wakurekodi matukio kwa simu na kuyarusha WhatsApp yasambae kila Kona hii ikiwa nikukabuiliana na mgomo wa vyombo vyetu vya habari .

ACT pia kupitia blogs na WhatsApp watarekodi na kurusha ninyi endeleeni kutumia Tv ambazo hazina tena waangaliaji tuone
Haxina waangaliaji, alafu wewe unahangaika zitangaze ili uangalie!
Waedeshaji wa vipindi ni waelewa na wazarendo , ni upotevu wa muda kuhangaika na mtu ambaye hawezi kupata hata kura milioni moja alafu shoga
Huo utakuwa zaidi ya uhuni
 
Leo CHADEMA wameanza mchakato wa kumpata Mgombea Urais ila vyombo vya habari vikubwa nchini havikuripoti live tukio ilo.

Kura zimepigwa bado hawakutaka kuripoti, hata ITV ambao Wana breaking news hawakuwa habari yoyote kuonyesha Kuna Jambo linaendelea.

Mgombea amepitishwa bado vipo kimya, hata pale mwanahabari mwenzao Salum Mwalim alipewa ridhaa ya mgombea mwenza hawakutaka kuupa umma habari hii

Kateuliwa mgombea Zanzibar baro TBC, Star Tv na ITV wapo kimya

Nyarandu kapongeza na kusema anamuunga mkono Tundu but bado wapo kimya

BBC wametangaza na taarifa kuanza kusambaa mitandaoni ndipo wanaanza kuandika kidogokidogo.

Wapi nafasi ya vyombo vya habari Tanzania?

Leo naona CHADEMA wamejifunza, wamejiwekea mkakati wakurekodi matukio kwa simu na kuyarusha WhatsApp yasambae kila Kona hii ikiwa nikukabuiliana na mgomo wa vyombo vyetu vya habari .

ACT pia kupitia blogs na WhatsApp watarekodi na kurusha ninyi endeleeni kutumia Tv ambazo hazina tena waangaliaji tuone
Huu udikteta lazima tuupige chini October, hatuwezi kuendelea na tabia hii mbovu ya kuminya uhuru wa vyombo vya habari.
 
Ya Congo, Malawi Zambia kenya Ghana yaweza kutokea Tanzania ndipo itatokea Rais kuondolewa kinga ya kutoshitakiwa kama Malawi walivyofanya sasa
Hiyo siku yaja upesi
 
Itv sauti imeondolewa Lisu akianza kuelezea hali ya maisha kwa miaka mitano iliyopita...ndiyo uhuru wenyewe huo wa habari
 
Back
Top Bottom