Ungetaja na aliyekuwa namba1, 2 na 3 ingekuwa poa sana. Mtu wa chini hawezi kufanya jambo bila uhusika wa mabosi zake. Hata hivyo nashauri apelekwe mahakamani kama alivyotoa wito kwa wale wote wenye ushahidi, otherwise shut up your mouthHuyu c ndo yule aliemo kwenye list mafisadi mwembe yanga tena ushahidi mnyika anao au sie?
Anzisha Uzi wako pale LumumbaHuyu c ndo yule aliemo kwenye list mafisadi mwembe yanga tena ushahidi mnyika anao au sie?
Kibaki ni nani? na alishindwa kwenye nini?
Inawezekana Mnyika hakuwa Na uhakikaHuyu c ndo yule aliemo kwenye list mafisadi mwembe yanga tena ushahidi mnyika anao au sie?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Jitahidi kumtetea yule uliewahi kumtukanaUngetaja na aliyekuwa namba1, 2 na 3 ingekuwa poa sana. Mtu wa chini hawezi kufanya jambo bila uhusika wa mabosi zake. Hata hivyo nashauri apelekwe mahakamani kama alivyotoa wito kwa wale wote wenye ushahidi, otherwise shut up your mouth