666 chata
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 1,700
- 3,921
Watangazaji wote wanaongea kwa mfanano mmoja, ni ajabu sana, unakuta reporter wa TBC hana tofauti na reporter wa ITV, house style moja. Sauti moja yaani kama ndo wanajifunza kutangaza.
Watangazaji wanatangaza kwa kunata nata sana its like slow motion, sentesi moja ina tamkwa kwa sekunde 17 yaan kusema tu "tutaenda mjini" wao wanasema "tu--ta----- enda mjini lakini hapaa".
Sasa wale wa vipindi vya michezo ndio zero zero kabisa!! Jamaa wanatangaza hadi habari za juzi, alaf wanaongea kwa dk 2 dk 28 matangazo na hizo dk mbili dk moja wanarudia kusisitiza juu ya matangazo ambayo tayari yameshatangazwa.
Vipindi vya muziki ni hopless kabisa kabisa, wote wanaongea style moja lugha moja.
Imagine mpaka leo kuna vituo vya TV et bado wameweka ka nembo ka mti christmas kama moja ya logo za pembeni pale.
Sasa iv kila redio ina promote kamali, so sad.
Sisi wateja wenu tumewachoka, na mie nnae yazungumza haya kwa mwaka natazama tv na kusikiliza redio kwa siku chache chini ya 9 ktk siku 365 za mwaka ila nimekereka hivi, je hao wanaosikiliza kila siku sasa? Zama zinakwenda mbio, badilikeni kuweni wabunifu.
Haya ni mawazo na maoni positive ya mdau anaetamani upya ktk tasnia hii adhimu na mahiri kweli kweli ktk kila nchi.
Watangazaji wanatangaza kwa kunata nata sana its like slow motion, sentesi moja ina tamkwa kwa sekunde 17 yaan kusema tu "tutaenda mjini" wao wanasema "tu--ta----- enda mjini lakini hapaa".
Sasa wale wa vipindi vya michezo ndio zero zero kabisa!! Jamaa wanatangaza hadi habari za juzi, alaf wanaongea kwa dk 2 dk 28 matangazo na hizo dk mbili dk moja wanarudia kusisitiza juu ya matangazo ambayo tayari yameshatangazwa.
Vipindi vya muziki ni hopless kabisa kabisa, wote wanaongea style moja lugha moja.
Imagine mpaka leo kuna vituo vya TV et bado wameweka ka nembo ka mti christmas kama moja ya logo za pembeni pale.
Sasa iv kila redio ina promote kamali, so sad.
Sisi wateja wenu tumewachoka, na mie nnae yazungumza haya kwa mwaka natazama tv na kusikiliza redio kwa siku chache chini ya 9 ktk siku 365 za mwaka ila nimekereka hivi, je hao wanaosikiliza kila siku sasa? Zama zinakwenda mbio, badilikeni kuweni wabunifu.
Haya ni mawazo na maoni positive ya mdau anaetamani upya ktk tasnia hii adhimu na mahiri kweli kweli ktk kila nchi.