Vyombo vya habari vijifunze kutokuwa na upendeleo: ona sasa walimdanganya Kamala H

Vyombo vya habari vijifunze kutokuwa na upendeleo: ona sasa walimdanganya Kamala H

maramojatu

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2012
Posts
1,749
Reaction score
2,319
Ndugu zangu waandishi wa habari TZ,
Tujifunze kutokuwa na bias kwenye utoaji wa habari ili kutokuwajengea watu confidence ya uwongo.

Waandishi wa habari wa nchi za magharibi walitoa habari zap kiupendeleo kwa kudanganya kuwa Kamala anaelekea kushinda lakini tuliyoshuhudia kuanzia asubuhi ni tofauti kabisa.

Hali ya upendeleo ipo pia kwenye nchi zetu na nina uhakika kaka yangu Pascal Mayala ameiandikia at one point or another.

Tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu, kwa hiyo tujitahidi kuwapa watanzania ukweli na sio kuwa chawa Kwa baadhi ya wanasiasa.
Nawasilisha
 
Walimdanganyaje Kamala??
 
Hivi mbona sijaona mwenyekiti wao wa Tume akisoma matokeo? Au vyombo vya habari vikitoa taarifa imetosha?
Matokeo yao yanawekwa wazi kwenye mfumo online toka kwenye kila jimbo na kila kituo kila baada ya muda mfupi. System inakuwa live kila mtu anaona live, kila sekunde mfumo unaupload matokeo. Ndio maana vyombo vya habari vinakuwa live, matokeo waachukua live online.
Usa hakuna muda wa kupoteza na kuiba kura kihuni
 
Ndugu zangu waandishi wa habari TZ,
Tujifunze kutokuwa na bias kwenye utoaji wa habari ili kutokuwajengea watu confidence ya uwongo.

Waandishi wa habari wa nchi za magharibi walitoa habari zap kiupendeleo kwa kudanganya kuwa Kamala anaelekea kushinda lakini tuliyoshuhudia kuanzia asubuhi ni tofauti kabisa.

Hali ya upendeleo ipo pia kwenye nchi zetu na nina uhakika kaka yangu Pascal Mayala ameiandikia at one point or another.

Tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu, kwa hiyo tujitahidi kuwapa watanzania ukweli na sio kuwa chawa Kwa baadhi ya wanasiasa.
Nawasilisha
Kama Kamala aliamini vyombo vya habari ..basi hastahili kabisa hata kuwa senetor...
Ni small..brain.
 
Na huenda alijiaminisha kweli.. maana mpaka sasa hajajitokeza kukubali kushindwa.
 
Matokeo yao yanawekwa wazi kwenye mfumo online toka kwenye kila jimbo na kila kituo kila baada ya muda mfupi. System inakuwa live kila mtu anaona live, kila sekunde mfumo unaupload matokeo. Ndio maana vyombo vya habari vinakuwa live, matokeo waachukua live online.
Usa hakuna muda wa kupoteza na kuiba kura kihuni
Tutume maombi watuazimishe huo mfumo wao kwa uchaguzi mkuu mwakani. Inaonekana ni mfumo ambao utatuhakikishia free, fair and verifiable election
 
Trump mtoto wa mjini kitamboo..

anajua chocho za kupita bila makelele

trump yeye anapataga kura kwenye majimbo muhimu yanayoonekana ya vijijini kumbe ndio yenye electoral collage member wengiii.

tazama matokeo ya kwenye zile battleground states Trump alivyozitumbua kura zao
 
Ndugu zangu waandishi wa habari TZ,
Tujifunze kutokuwa na bias kwenye utoaji wa habari ili kutokuwajengea watu confidence ya uwongo.

Waandishi wa habari wa nchi za magharibi walitoa habari zap kiupendeleo kwa kudanganya kuwa Kamala anaelekea kushinda lakini tuliyoshuhudia kuanzia asubuhi ni tofauti kabisa.

Hali ya upendeleo ipo pia kwenye nchi zetu na nina uhakika kaka yangu Pascal Mayala ameiandikia at one point or another.

Tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu, kwa hiyo tujitahidi kuwapa watanzania ukweli na sio kuwa chawa Kwa baadhi ya wanasiasa.
Nawasilisha
Vyombo vingi vya habari ni makalio puppets kwa hiyo walishabikia sana watoto wao wawe mashoga
 
kamala hajafanya vizuri kuliko biden 2020 kwenye kaunti yeyote ile nchi nzima
 
Hivi mbona sijaona mwenyekiti wao wa Tume akisoma matokeo? Au vyombo vya habari vikitoa taarifa imetosha?
Marekani hawana Tume ya Uchaguzi kwaiyo huwezi kuona mtu anasimama eti kutangaza matokeo ya urais ila vyombo vya habari vinakusanya matokeo ya kila jimbo pale yanapotangazwa katika state moja moja.
 
Matokeo yao yanawekwa wazi kwenye mfumo online toka kwenye kila jimbo na kila kituo kila baada ya muda mfupi. System inakuwa live kila mtu anaona live, kila sekunde mfumo unaupload matokeo. Ndio maana vyombo vya habari vinakuwa live, matokeo waachukua live online.
Usa hakuna muda wa kupoteza na kuiba kura kihuni
2020 walimwibia Trump. Hilo liko wazi kabisa. Democrats walitumia kisingizio cha korona, wakapitisha kura za posta ili kumshindisha Joe Biden.
 
Matokeo yao yanawekwa wazi kwenye mfumo online toka kwenye kila jimbo na kila kituo kila baada ya muda mfupi. System inakuwa live kila mtu anaona live, kila sekunde mfumo unaupload matokeo. Ndio maana vyombo vya habari vinakuwa live, matokeo waachukua live online.
Usa hakuna muda wa kupoteza na kuiba kura kihuni
Kwa iyo matokeo Yao hayategemei msimamizi wa uchaguz atamtangaza nani? Au hakuna uwezekano wa goli la mkono la yule mtaalam wa kutoka kule Jimbo la kwara?
 
Ndugu zangu waandishi wa habari TZ,
Tujifunze kutokuwa na bias kwenye utoaji wa habari ili kutokuwajengea watu confidence ya uwongo.

Waandishi wa habari wa nchi za magharibi walitoa habari zap kiupendeleo kwa kudanganya kuwa Kamala anaelekea kushinda lakini tuliyoshuhudia kuanzia asubuhi ni tofauti kabisa.

Hali ya upendeleo ipo pia kwenye nchi zetu na nina uhakika kaka yangu Pascal Mayala ameiandikia at one point or another.

Tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu, kwa hiyo tujitahidi kuwapa watanzania ukweli na sio kuwa chawa Kwa baadhi ya wanasiasa.
Nawasilisha
Mainstream media +wasanii karbia wote walikuwa kwa kamala ILA mwisho wa siku maji VS mafuta vimejulikana.
 
Back
Top Bottom