Vyombo vya habari vijifunze kutokuwa na upendeleo: ona sasa walimdanganya Kamala H

Vyombo vya habari vijifunze kutokuwa na upendeleo: ona sasa walimdanganya Kamala H

Walidhani Kamala atapita ili kelele za mama ziendelee kuongezeka
 
Walimdanganyaje Kamala??
Taarifa zote walizokuwa wanatoa zilikuwa zinaonyesha Kamala atashinda. Pia walikuwa wanamripoti Trump kwa msimamo hasi tu. Kumbe wananchi wanawaangalia tu
 
Mainstream media +wasanii karbia wote walikuwa kwa kamala ILA mwisho wa siku maji VS mafuta vimejulikana.
Nafikiri nafasi ya vyombo vya habari kwa wenzetu wa dunia ya kwanza siyo kubwa. Nilipokuwa nafuatilia vyombo vyote vya habari hakuna hata kimoja kilichokuwa kinamsapoti Trump lakini matokeo yamekuwa tofauti.
Vyombo vya habari vilikuwa vinapata kigugumizi hata kutangaza mshindi
 
Taarifa zote walizokuwa wanatoa zilikuwa zinaonyesha Kamala atashinda. Pia walikuwa wanamripoti Trump kwa msimamo hasi tu. Kumbe wananchi wanawaangalia tu
Fox News, OAN na Newsmax walikuwa wanamripoti vipi Kamala??
 
Nafikiri nafasi ya vyombo vya habari kwa wenzetu wa dunia ya kwanza siyo kubwa. Nilipokuwa nafuatilia vyombo vyote vya habari hakuna hata kimoja kilichokuwa kinamsapoti Trump lakini matokeo yamekuwa tofauti.
Vyombo vya habari vilikuwa vinapata kigugumizi hata kutangaza mshindi
Hujawahi kuijua Fox News kwa sababu sio maarufu bongo kama CNN
 
Hivi mbona sijaona mwenyekiti wao wa Tume akisoma matokeo? Au vyombo vya habari vikitoa taarifa imetosha?
Matokeo ni mwezi ujao kama sijakosea na januari mwakani ndipo anateuliwa rasmi kuwa rais, 20 january anaapishwa.Wenzetu hawakurupuki kama rais wa tff
 
Taarifa zote walizokuwa wanatoa zilikuwa zinaonyesha Kamala atashinda. Pia walikuwa wanamripoti Trump kwa msimamo hasi tu. Kumbe wananchi wanawaangalia tu
Ni waongo sana, na hii ni kwa vile anachukiwa na viongozi mbalimbali wa serikali na wastaafu
 
Kwamba kuna mtu alitarajia Kamala atashinda,? Aliejoin race mwezi wa saba baada ya Biden kustep down, ingekuwa ngumu sana kushinda kwa Trump aliyejiandaa more than three to four years
 
Vyombo vya habari vyaweza kuweka katika hali ya kujiaminj mno
 
Minadhani mfumo wetu waupigaji kura ubadilishwe Nathaniel bado hatujafikia uelewa wakila mtu kupiga kura,tutumie wakilishi wamakundi yenye watu waelewa,hatupigi kura kwa kuzingatia manifesto na sera bali ushabiki wa vyama
 
Back
Top Bottom