Vyombo vya habari vikitangaza majanga watu wa Mungu hawapaswi kukaa kimya?

Vyombo vya habari vikitangaza majanga watu wa Mungu hawapaswi kukaa kimya?

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Wakati serikali na vyombo vyake wanapotangaza kwa utashi wao juu ya majanga yanayoweza kulipata taifa tahadhari za kibinadamu kuchukuliwa.

Watu wa rohoni hatupaswi kukaa kimya kusubiri yatokee kama yalivyotabiriwa.

Inatakiwa watu wa Mungu waitishe maombi ya kubatilisha na kufuta kila kilichotangazwa na kutabiliwa kisitokee au kuleta madhara nchini.

Imani ni zaidi ya utaalam. Yesu aliwahi kuongea na dhoruba ikatulia. Kila mkristo anayeamini huyo Yesu yuko ndani yake ni fursa kutangaza tangazo lake la kiroho kufuta na kubatilisha hali hii iliyotangazwa kuja kuipata nchi na baadhi ya madhara yameonekana Kagera.

Hii ndio inapaswa kuwa faida ya nchi kuruhusu na kusajili vituo vya kiroho vingi. Tusiwaachie wataalam kwenye majanga. Na watumishi nao watoe matangazo na utabiri wao wa mema ya nchi hii nzuri Tanzania.

Ni hayo tu.
 
Wakati serikali na vyombo vyake wanapotangaza kwa utashi wao juu ya majanga yanayoweza kulipata taifa tahadhari za kibinadamu kuchukuliwa.

Watu wa rohoni hatupaswi kukaa kimya kusubiri yatokee kama yalivyotabiriwa.

Inatakiwa watu wa Mungu waitishe maombi ya kubatilisha na kufuta kila kilichotangazwa na kutabiliwa kisitokee au kuleta madhara nchini.

Imani ni zaidi ya utaalam. Yesu aliwahi kuongea na dhoruba ikatulia. Kila mkristo anayeamini huyo Yesu yuko ndani yake ni fursa kutangaza tangazo lake la kiroho kufuta na kubatilisha hali hii iliyotangazwa kuja kuipata nchi na baadhi ya madhara yameonekana Kagera.

Hii ndio inapaswa kuwa faida ya nchi kuruhusu na kusajili vituo vya kiroho vingi. Tusiwaachie wataalam kwenye majanga. Na watumishi nao watoe matangazo na utabiri wao wa mema ya nchi hii nzuri Tanzania.

Ni hayo tu.
Sawa mkuu,tuanze kuomba pamoja!
 
Sawa mkuu,tuanze kuomba pamoja!
Mimi nimeshaomba leo. Kufuta na kubatilisha hayo yqliyotamkwa ili nchi iendelee kuwa na amani. Wakiomba wengi Mungu anaweza kuzuia janga kwa ajili ya mtu mmoja tu.
 
Wakati serikali na vyombo vyake wanapotangaza kwa utashi wao juu ya majanga yanayoweza kulipata taifa tahadhari za kibinadamu kuchukuliwa.

Watu wa rohoni hatupaswi kukaa kimya kusubiri yatokee kama yalivyotabiriwa.

Inatakiwa watu wa Mungu waitishe maombi ya kubatilisha na kufuta kila kilichotangazwa na kutabiliwa kisitokee au kuleta madhara nchini.

Imani ni zaidi ya utaalam. Yesu aliwahi kuongea na dhoruba ikatulia. Kila mkristo anayeamini huyo Yesu yuko ndani yake ni fursa kutangaza tangazo lake la kiroho kufuta na kubatilisha hali hii iliyotangazwa kuja kuipata nchi na baadhi ya madhara yameonekana Kagera.

Hii ndio inapaswa kuwa faida ya nchi kuruhusu na kusajili vituo vya kiroho vingi. Tusiwaachie wataalam kwenye majanga. Na watumishi nao watoe matangazo na utabiri wao wa mema ya nchi hii nzuri Tanzania.

Ni hayo tu.
🙏
 
Wakati serikali na vyombo vyake wanapotangaza kwa utashi wao juu ya majanga yanayoweza kulipata taifa tahadhari za kibinadamu kuchukuliwa.

Watu wa rohoni hatupaswi kukaa kimya kusubiri yatokee kama yalivyotabiriwa.

Inatakiwa watu wa Mungu waitishe maombi ya kubatilisha na kufuta kila kilichotangazwa na kutabiliwa kisitokee au kuleta madhara nchini.

Imani ni zaidi ya utaalam. Yesu aliwahi kuongea na dhoruba ikatulia. Kila mkristo anayeamini huyo Yesu yuko ndani yake ni fursa kutangaza tangazo lake la kiroho kufuta na kubatilisha hali hii iliyotangazwa kuja kuipata nchi na baadhi ya madhara yameonekana Kagera.

Hii ndio inapaswa kuwa faida ya nchi kuruhusu na kusajili vituo vya kiroho vingi. Tusiwaachie wataalam kwenye majanga. Na watumishi nao watoe matangazo na utabiri wao wa mema ya nchi hii nzuri Tanzania.

Ni hayo tu.
Your psychology is totally corrupted

Kwamba imani ni zaidi ya utaalamu?

How!?
 
Back
Top Bottom