Vyombo vya habari vinewasaliti Wamachinga na Watanzania

Vyombo vya habari vinewasaliti Wamachinga na Watanzania

Kwa kiasi kikubwa zoezi limeenda au linaenda vizuri, kasoro ndogondogo na vivutano vya hapa na pale kamwe haviwezi kukosekana; hata mtu ukiwa unahama tu mwenyewe huko mtaani kujikwaruza wakati unatoa vitu nje ni kawaida tu sembuse hili. Hali hii ya zoezi hili kwenda salama ukweli ni kuwa limewaumiza sana wapigania legacy.....limewaumiza sana sana sana kwani hawakutegemea kabisa.
Baada ya kuona hivyo, sasa watakuja na kila aina ya uzushi na ukuzaji wa jambo hili ili muradi tu kuharibu taswira nzima. Hata hivyo, wamechelewa mnoooo kwani 90% ya machinga wameshaanza kulielewa.

Viongozi waendelee kutoa elimu na msaada wa huduma kwa hawa watu kama walivyoahidi ili kuwazuia wazushi na vizabizabina kupotosha. Huko waliko, mwanzo unaweza kuwa mgumu, lkn nina uhakika baada ya muda mfupi watu watazoea na biashara itashamiri km kawa!
 
Uzi umekuwa wa kiphumbavu zaidi sana pale uliposema tukutane 2025..wewe ni tume ya uchaguzi,polisi au Usalama??
Mtanzania. Jiepushe na mawazo ya kizee. Kuna pressure inawapata wenyechama.
 
Wakati dhalimu anadhibiti vyombo vya habari ulikuwa kimya maana ulikuwa mfaidika wa udhalimu wake. Wakati wa uchaguzi na chaguzi nyingine zote za marudio kunafanyika wizi, ukatili na uhayawani wa wazi uliona sawa vyombo vya habari kudhibitiwa. Leo wezi wengine ambao sio sukuma gang wako madarakani unajiliza kuhusu uhuru wa vyombo vya habari. Unasema mkutane 2025 uone kura zitatoka wapi, kwani dhalimu 2020 alitangazwa mshindi kwa kura halali?
aarifa zilizopo ni kwamba serikali imeviziba mdomo vyombo vya Habari visimulike zoezi la kuhamisha wamachinga. Hili suala linafanyika kimyakimya huku ndani yake kukiwa na maumivu makali sana juu ya Maisha na mitaji ya wamachinga.


Lililopo Nyuma ya pazia ni kwamba:

  • Wengi wanapoteza mitaji ambayo wamekopa.
  • Wengi wao wanapelekwa kwenye maeneo ambayo hayana wanateja. Wafanyabiashara hapa wataelewa ila wasomi hawawezi elewa.
  • Kuna vipigo vinaendelea na manyanyaso ya kimya kimya. Hawana uhuru wa kudai hadi zao.
  • Zoezi linaendeshwa kininja sana. Wanadai mda walio pewa hautoshi kutafuta maeneo wanayo ona yanafaa kufanyie biashara yaani yenye wateja. Badala yake wameanza kula mitaji na kubaki makapuku.
Muhimu:

1. Rais afuatilie vizuri vinginevyo tukutane 2025 tuone kura zinatoka wapi.

2. Kama vyombo vya Habari vikiendelea kuzibwa midomo basi tuhesabu maimivu huko tuendako.
 
Wakati dhalimu anadhibiti vyombo vya habari ulikuwa kimya maana ulikuwa mfaidika wa udhalimu wake. Wakati wa uchaguzi na chaguzi nyingine zote za marudio kunafanyika wizi, ukatili na uhayawani wa wazi uliona sawa vyombo vya habari kudhibitiwa. Leo wezi wengine ambao sio sukuma gang wako madarakani unajiliza kuhusu uhuru wa vyombo vya habari. Unasema mkutane 2025 uone kura zitatoka wapi, kwani dhalimu 2020 alitangazwa mshindi kwa kura halali?
Kwa hiyo ilivyofanyika 2020 iendelee hivyo hivyo?
 
Wamachinga ni kero, wanaua biashara za watu na kuongeza uchafu, waondolewe tuu waende maeneo waliyotengewa
 
Uzi umekuwa wa kiphumbavu zaidi sana pale uliposema tukutane 2025..wewe ni tume ya uchaguzi,polisi au Usalama??
Mm mwenyewe nilikuwa natafakar hii neno la tukutane 2025 nikawa sielewi
 
Kwa kiasi kikubwa zoezi limeenda au linaenda vizuri, kasoro ndogondogo na vivutano vya hapa na pale kamwe haviwezi kukosekana; hata mtu ukiwa unahama tu mwenyewe huko mtaani kujikwaruza wakati unatoa vitu nje ni kawaida tu sembuse hili. Hali hii ya zoezi hili kwenda salama ukweli ni kuwa limewaumiza sana wapigania legacy.....limewaumiza sana sana sana kwani hawakutegemea kabisa.
Baada ya kuona hivyo, sasa watakuja na kila aina ya uzushi na ukuzaji wa jambo hili ili muradi tu kuharibu taswira nzima. Hata hivyo, wamechelewa mnoooo kwani 90% ya machinga wameshaanza kulielewa.

Viongozi waendelee kutoa elimu na msaada wa huduma kwa hawa watu kama walivyoahidi ili kuwazuia wazushi na vizabizabina kupotosha. Huko waliko, mwanzo unaweza kuwa mgumu, lkn nina uhakika baada ya muda mfupi watu watazoea na biashara itashamiri km kawa!
Kweli kabisa! Utafika muda Watanzania watazoea kuwa bidhaa zinatakiwa kwenda kununuliwa maeneo ambayo ni rasmi sio unanunua chini ya barabara!

Mazoea ndo yamesababisha ya haya na ili kuyaondoa elimu lazima itolewe tena mfululizo na miundombinu Bora lazima ijengwe huko wanakopelekwa machinga ili biashara zifanyike vizuri!

Ni suala la muda tu watu watagoma kwenda huko na wataona ni maisha ya kawaida!

Kikubwa zaidi lazima hili kundi liwekewe mkakati wa kubadilishwa kuwa wafanyabiashara wa kawaida na walipa kodi wa kudumu
 
Kwa taarifa zilizopo ni kwamba serikali imeviziba mdomo vyombo vya Habari visimulike zoezi la kuhamisha wamachinga. Hili suala linafanyika kimyakimya huku ndani yake kukiwa na maumivu makali sana juu ya Maisha na mitaji ya wamachinga.


Lililopo Nyuma ya pazia ni kwamba:

  • Wengi wanapoteza mitaji ambayo wamekopa.
  • Wengi wao wanapelekwa kwenye maeneo ambayo hayana wanateja. Wafanyabiashara hapa wataelewa ila wasomi hawawezi elewa.
  • Kuna vipigo vinaendelea na manyanyaso ya kimya kimya. Hawana uhuru wa kudai hadi zao.
  • Zoezi linaendeshwa kininja sana. Wanadai mda walio pewa hautoshi kutafuta maeneo wanayo ona yanafaa kufanyie biashara yaani yenye wateja. Badala yake wameanza kula mitaji na kubaki makapuku.
Muhimu:

1. Rais afuatilie vizuri vinginevyo tukutane 2025 tuone kura zinatoka wapi.


2. Kama vyombo vya Habari vikiendelea kuzibwa midomo basi tuhesabu maimivu huko tuendako.
Wewe kura yako kaa nayo tu wala hamna mwenye shida nayo 🐒
EkbtZQTW0AEOKM6.jpeg
 
Bro ata tukisema tukutane 2025 haitasaidia, ccm ndio ameshika mpini hakuna wakupingana nayo
 
Wao walikosea! Tokea siku ile uliotangazwa msiba wa Magufuli taa tahadhari ilitakiwa kuwaka kwao.
Tokea enzi hio aina ya ufanyaji biashara imekua haikubaliki isipo kua kwa Magufuli tuu. Vile walivyosikia mtetezi wao hayupo tena madarakani wametakiwa wawe na tahadhari sana au wangejiandaa kwa ajili ya wakati kama huu, wala wasingekuwa na hali walio nayo sasa.
Hata hivyo nawapa pole, mlango mmoja wa riziki ukifungwa juwa kuna mwingine hufunguliwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa taarifa zilizopo ni kwamba serikali imeviziba mdomo vyombo vya Habari visimulike zoezi la kuhamisha wamachinga. Hili suala linafanyika kimyakimya huku ndani yake kukiwa na maumivu makali sana juu ya Maisha na mitaji ya wamachinga.


Lililopo Nyuma ya pazia ni kwamba:

  • Wengi wanapoteza mitaji ambayo wamekopa.
  • Wengi wao wanapelekwa kwenye maeneo ambayo hayana wanateja. Wafanyabiashara hapa wataelewa ila wasomi hawawezi elewa.
  • Kuna vipigo vinaendelea na manyanyaso ya kimya kimya. Hawana uhuru wa kudai hadi zao.
  • Zoezi linaendeshwa kininja sana. Wanadai mda walio pewa hautoshi kutafuta maeneo wanayo ona yanafaa kufanyie biashara yaani yenye wateja. Badala yake wameanza kula mitaji na kubaki makapuku.
Muhimu:

1. Rais afuatilie vizuri vinginevyo tukutane 2025 tuone kura zinatoka wapi.

2. Kama vyombo vya Habari vikiendelea kuzibwa midomo basi tuhesabu maimivu huko tuendako.
Kabla hujaja kuanza kutishia ukowa nyuma ya keyboard sijui kura wala nini.

Jua kabisa Ben Saanane, Azory Gwanda, Kanguye, hawajulikani walipo na maisha yanaendlea kama kawaida.

Jua kuwa Lissu alitandikwa risasi mchana qa jua kali na maisha yanaendelea kama kawaida.

Ukijidanganya utafanya chochote ni uwongo tu.

Tena nchi hii siyo polisi tu, hata JW wanaweza kuletwa mtaani hapo ukavunjwa kiuno na hutakuwa na cha kufanya. Waulize wapemba.
 
Kwa taarifa zilizopo ni kwamba serikali imeviziba mdomo vyombo vya Habari visimulike zoezi la kuhamisha wamachinga. Hili suala linafanyika kimyakimya huku ndani yake kukiwa na maumivu makali sana juu ya Maisha na mitaji ya wamachinga.


Lililopo Nyuma ya pazia ni kwamba:

  • Wengi wanapoteza mitaji ambayo wamekopa.
  • Wengi wao wanapelekwa kwenye maeneo ambayo hayana wanateja. Wafanyabiashara hapa wataelewa ila wasomi hawawezi elewa.
  • Kuna vipigo vinaendelea na manyanyaso ya kimya kimya. Hawana uhuru wa kudai hadi zao.
  • Zoezi linaendeshwa kininja sana. Wanadai mda walio pewa hautoshi kutafuta maeneo wanayo ona yanafaa kufanyie biashara yaani yenye wateja. Badala yake wameanza kula mitaji na kubaki makapuku.
Muhimu:

1. Rais afuatilie vizuri vinginevyo tukutane 2025 tuone kura zinatoka wapi.

2. Kama vyombo vya Habari vikiendelea kuzibwa midomo basi tuhesabu maimivu huko tuendako.

JK aliwazingua wafanyakazi karibu Milioni na kura wakampa itakuja kuwa Machina 8,000 ambao hata wao wanajua wanavunja sheria? We jamaa vipi?
 
Uzi umekuwa wa kiphumbavu zaidi sana pale uliposema tukutane 2025..wewe ni tume ya uchaguzi,polisi au Usalama??
Awaulize Wapemba. Ni kitu gani hawajafanya.

Maalim Seif alienda mpaka Ulaya akazurula akarudi bongo tu.
 
Back
Top Bottom