mangikule
JF-Expert Member
- Jun 11, 2012
- 6,369
- 5,866
The dictator is a skunk of the world no more hypocrisy or the treacherous 4 R she is doomedYou are doomed fighting a lost war and hoping against hope
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The dictator is a skunk of the world no more hypocrisy or the treacherous 4 R she is doomedYou are doomed fighting a lost war and hoping against hope
Zero tolerance on opposition! What a dictatorship.Ni muhimu sana Dunia nzima ikaelewa jambo hili muhimu sana, vizuri.
Kwamba,
when it comes to the issue of peace and unit of the nation, Tanzanian government has zero tolerance to the ones endangeres security of the Nation in one way or another...
Hatutakubali,
na tunataka dunia nzima ielewe hivyo, kwamba kwenye suala la Amani Tanzania, hakuna mzaha wala huruma kwa wanatamani na kupanga kuvuruga 🐒
Tatizo huko nje kwa aina ya tawala zao, maandamani si threat, so they dont look at it kama ww unavyo ona. Wenyewe wanachukulia kama ukandamizwajiNi muhimu sana Dunia nzima ikaelewa jambo hili muhimu sana, vizuri.
Kwamba,
when it comes to the issue of peace and unit of the nation, Tanzanian government has zero tolerance to the ones endangeres security of the Nation in one way or another...
Hatutakubali,
na tunataka dunia nzima ielewe hivyo, kwamba kwenye suala la Amani Tanzania, hakuna mzaha wala huruma kwa wanatamani na kupanga kuvuruga 🐒
Sasa ni rasmi sifa zote alizokuwa anamwagiwa mkulu zimekanyagwa chini.Na Reuters
Septemba 23, 20242:04 PM GMT+3Ilisasishwa dakika 17 zilizopita
NAIROBI, Septemba 23 (Reuters) - Polisi wa Tanzania waliwakamata viongozi wawili wa upinzani tena siku ya Jumatatu, chama chao na polisi walisema, kusitisha maandamano ya kuipinga serikali katika mji mkuu wa kibiashara wa Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA Freeman Mbowe alizuiliwa mtaani, huku makamu wake Tundu Lissu akitolewa nyumbani kwake huku kukiwa na mipango ya kuandamana dhidi ya madai ya mauaji na utekaji nyara wa wakosoaji wa serikali.
Wanaharakati wa haki za binadamu wanasema kuwa serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan inalenga wapinzani kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika mwezi Disemba na kura ya kitaifa mwaka 2025.
Polisi walisema watu 14 walikamatwa akiwemo Mbowe na Lissu kwa kukaidi katazo la maandamano hayo.
Hakukuwa na maoni ya mara moja kutoka kwa serikali ya Hassan, ingawa hapo awali ilisema inatetea demokrasia na haivumilii ukatili.
CHADEMA imesema kwenye mtandao wa kijamii wa X kuwa Mbowe alikamatwa maeneo ya Magomeni jijini hapa alipofika kuongoza maandamano ya amani. Msafara wa magari 11 ulimchukua Lissu na kuondoka bila kusema anakokwenda, iliongeza.
Yes,Hili ndio lilikuwa lengo kuu la chadema kutaka mataifa ya nje yajue udhalimu wa hii serikali na kwakufanya hivi bila shaka lengo limetimia Bora wangewaacha waandamane kuliko huu ujinga wa kutandaza polisi Kila Kona utafikir nchi Iko vitani, ingekuwa vyema hao polisi wangetandazwa huko ambapo Kila siku tunasikia watoto wadogo kabisa wametekwa na wengine kukutwa wameuwawa
..puted together...Yes,
of course all criminals will be arrested imeadiatly, and they will be puted together with the ones in police custody already ..
Tanzanian government has zero tolerance, when it come to the issue of peace and unit of the Nation.
The world must understand that completely 🐒
Ni muhimu sana Dunia nzima ikaelewa jambo hili muhimu sana, vizuri.
Kwamba,
when it comes to the issue of peace and unit of the nation, Tanzanian government has zero tolerance to the ones endangeres security of the Nation in one way or another...
Hatutakubali,
na tunataka dunia nzima ielewe hivyo, kwamba kwenye suala la Amani Tanzania, hakuna mzaha wala huruma kwa wanatamani na kupanga kuvuruga 🐒
Wakishaelewa unapata nn?Ni muhimu sana Dunia nzima ikaelewa jambo hili muhimu sana, vizuri.
Kwamba,
when it comes to the issue of peace and unit of the nation, Tanzanian government has zero tolerance to the ones endangeres security of the Nation in one way or another...
Hatutakubali,
na tunataka dunia nzima ielewe hivyo, kwamba kwenye suala la Amani Tanzania, hakuna mzaha wala huruma kwa wanatamani na kupanga kuvuruga 🐒
wao waone watakavyo ona,Tatizo huko nje kwa aina ya tawala zao, maandamani si threat, so they dont look at it kama ww unavyo ona. Wenyewe wanachukulia kama ukandamizwaji
Mbowe na mambo yake hawezi kuwa threat kwa usalama wa nchi hata siku moja
Na nina kuhakikishia itaendelea bila kukoma..Hii doria iliyofanyika siku hizi tatu kama ingefanyika baada ya Mzee Kibao kutekwa nahisi wale majambazi wangepatikana na silaha zao. Mpaka sasa hivi tunamaliza wiki ya pili wamejificha hakuna hata mhisiwa mmoja aliyekamatwa.
Sasa ww unasema waone watakavyoo ona. Halaf unasema ni muhimu dunia kuelewawao waone watakavyo ona,
Ila ni muhimu na vema sana dunia nzima, wakaelewa vyema zaidi kwamba suala la amani na umoja wa Kitaifa Tanzania, halina mjadala. Amani Tanzania italindwa kwa nguvu zote bila kujali wao wanaelewa nini kuhusu maandamano ya Samia must go. au Mbowe ni threat au sio threat.
Ni muhimu wakafanya yao kwa uhuru wao ama niaje.
Hilo ni la maana zaidi gentleman 🐒
Yes gentleman,Sasa ww unasema waone watakavyoo ona. Halaf unasema ni muhimu dunia kuelewa
Let me tell you this huku hawaelewi unavyotaka, mifumo ya kiutawala ni tofauti japo tz imeiga kwao. So wanachoona ni tofauti na unachotaka
Utahitaji nguvu kuwabadilisha watu nje, else hakuna maana
wakipata au wakikosa hiyo ni juu yao,Wakishaelewa unapata nn?
msio jua English kumbe mko wengi hivi, mnakuja kufanya nini sasa huku?🐒..puted together...
Hiki ni kiingereza Cha Kipemba!! Achana na kiingereza hukijui. Pambana tu na kiswahili kama sisi wenzako