Uchaguzi 2020 Vyombo vya Habari vya Tanzania vimeshindwa kuandika na kuripoti pingamizi, badala yake wameripoti matokeo ya pingamizi

Uchaguzi 2020 Vyombo vya Habari vya Tanzania vimeshindwa kuandika na kuripoti pingamizi, badala yake wameripoti matokeo ya pingamizi

Nchi imekuwa kama choo. Mtu mmoja tu anafikiri kwa niaba ya watu milioni 60. Tuko kwenye udikteta kabisa. Nawashangaa TBC wanaripoti kutupwa kwa pingamizi na NEC ambalo hawakuripoti wakati linawekwa! Tuko kwenye ushenzi mkubwa. Na hii inaonyesha kuwa mabadiliko yatakuja kwa nguvu ya umma tu.
TBC ni TV ya hovyo iliyosalia Duniani hawana hata Aibu kuwa mishahara yao inatokana na kodi za watanzania ambao wengi ni wapinzani.
 
Waandishi wa habari hawamiliki vyombo wameajiriwa tu,wenye mali hawataki habari hizo zitoke wao watafanya nini?
 
Si ndio maana wakasema halina maana kisheria?

Yani wamemuona Lisi kama mtoto wa chekechea tu
Watanzania siyo wajinga wanajua NECCCM imemubeba imemlinda mtukufu mwenyekiti wa CCM kinyume cha Sheria, NECCCM wametupa pingamizi la Tundu lisu kienyeji kishetani kwa vigezo haramu, kumuona Lisu kama mtoto ni wewe peke yako na wajinga wenzako, Lakini watanzania wenye Akili timamu wanajua Lisu kawafumbua macho wengi.
 
Waandishi wa habari hawamiliki vyombo wameajiriwa tu,wenye mali hawataki habari hizo zitoke wao watafanya nini?
Wahariri wanatishwa na cyprian Musiba anayetumwa na Dr Abass na polepole
 
Si ndio maana wakasema halina maana kisheria?

Yani wamemuona Lisi kama mtoto wa chekechea tu
Mtoto wa chekechea mwenye kujua katiba,sheria za uchaguzi na kanuni za uchaguzi basi huyo mtoto atakuwa ni genius.
 
Watz wanaowajibu wa kuukomesha uhuni ufanywao na Hawa wakurugenzi ili kudumisha amani yetu, wagombea wa ccm baada ya kuona hawana uwezo wa kushinda utumia pesa zao za kampeni kuwahonga wakurugenzi na polisi ili wapite bila kupingwa kwa kuwanyima wananchi haki ya kuchagua viongozi wawatakao huu Ni uhuni,
 
Watz wanaowajibu wa kuukomesha uhuni ufanywao na Hawa wakurugenzi ili kudumisha amani yetu, wagombea wa ccm baada ya kuona hawana uwezo wa kushinda utumia pesa zao za kampeni kuwahonga wakurugenzi na polisi ili wapite bila kupingwa kwa kuwanyima wananchi haki ya kuchagua viongozi wawatakao huu Ni uhuni,
 
Magazeti yanaogopa kufungiwa hakuna uhuru wa habari tena cyprian Musiba kazi yake ni kuchunguza vyombo vya habari vinavyoandika ukweli dhidi ya wapinzani kisha kwenda kuvichongea kwa mtukufu malaika tokea chato anayeishi chamwino sasa.
Wakati huo huo yeye Musiba na magazei yake akiandika maandishi yenye kichefuchefu mwanzo mwisho dhidi ya wanaompinga Jiwe,TCRA haina meno wala macho kwa wanaokashifu wapinzani.
 
Pingamizi lenyewe lina majigambo meengi wakati hakuna kitu pale, sasa wapoteze muda kulitangaza?
Tundu kama anpenda majigambo aende kutane na katambi watoe fact walizonazobkila mmoja
 
Mmeshindwa kuwa na chombo chenu ,kwa maana ya TV,Magazeti yahabarishe mnaishia kulalamika tu,ruzuku mnanywea pombe ,uzinzi na kuishia kuvunjika miguu
 
Waandishi wa Habari, ambao wenyewe wanapenda sana waitwe WANATAALUMA, wana mwili wa nyama na damu.
Wanakumbuka fika kuwa Azori Gwanda amepotezwa.
Wanakumbuka fika yaliyomfika Mwandishi Kabendera.
Tuwaonee huruma.
Siyo wao peke yao.
Watanzania tulio wengi tumejazwa hofu, ingawa tofauti yetu ni kwamba, hofu hii haitufanyi tulime mazao vibaya, au tutibu wagonjwa hovyo hovyo.
Kazi zote za kitaaluma zinaendelea, na hapa ndipo Waandishi wa habari inabidi wajiulize kama uandishi wa habari ni taaluma kweli.
 
Back
Top Bottom