Amewekwa pale kwa ajili ya propaganda na ili aonekane anafanya kazi lazima apotoshe, kama aliweza kusema kuwa Yanga itaanza First Round kwa sababu ya Ubingwa
Huku waandishi wa vyombo vya habari wapo kimya tena wengi, itakuwa kufua dafu kwa mwandishi mmoja wa Azam TV..!