Adui wa TZ ni kagame na watu wote wenye tabia kama zake!Nawashangaa watanzania mbona povu linawatoka wakati ingetakiwa wanyarwanda kuchukia kitendo cha jk kumkaribisha FDLR tz,sasa ingekuaje kama pk angemualika adui yenu watanzania?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Adui wa TZ ni kagame na watu wote wenye tabia kama zake!Nawashangaa watanzania mbona povu linawatoka wakati ingetakiwa wanyarwanda kuchukia kitendo cha jk kumkaribisha FDLR tz,sasa ingekuaje kama pk angemualika adui yenu watanzania?
.. na wewe inaelekea ni mtutsi, na kama sio basi huwajui hawa watu vizuri. Pia kama unaona uzi unakukera wewe sepa tu, achana nao! sio lazima uchangie...mods hebu toeni huu upuuzi, threads za hv znahamasisha chuki na vurugu
Nawashangaa watanzania mbona povu linawatoka wakati ingetakiwa wanyarwanda kuchukia kitendo cha jk kumkaribisha FDLR tz,sasa ingekuaje kama pk angemualika adui yenu watanzania?
Aahahha acha na mimi nikucheke CIA ya Afrika? pole we game iliishabadilika wewe bado uko 1970s.
Punguzeni chokochoko basi.
Zipi hizo mbona Tz haina maneno na nyie? Zinduka usingizini Kagame anawadanganya na kuwapotezea concentration msahau kwamba kahodhi madaraka now 20 years.
Hunahabari kwamba ametangaza kujiunga na FDLR ilikuiondoa serikali ya kigali kwa mtutu?
Nawashangaa watanzania mbona povu linawatoka wakati ingetakiwa wanyarwanda kuchukia kitendo cha jk kumkaribisha FDLR tz,sasa ingekuaje kama pk angemualika adui yenu watanzania?
Huu ni uzushi! Nina hakika JK hawezi kumtumia mtu aliyechoka kiasi hiki kama picha ni ya kweli.
Zipi hizo mbona Tz haina maneno na nyie? Zinduka usingizini Kagame anawadanganya na kuwapotezea concentration msahau kwamba kahodhi madaraka now 20 years.
PK amewekwa kwenye list ya Most wanted na CIA
MUKAMASIMBA,
Unashangaa kwanini Watanzania wanahemuka kwa jazba? Hivi unafahamu maana ya propaganda? Leo hii Tanzania ikitaka kuishambulia Rwanda au nchi yoyote ile, kitu cha kwanza ni ku-frame propaganda! Wakati George Bush anataka kuivamia Iraq, alianza kwanza kutangaza kwamba Iraq wana Weapons of Mass Destruction (WMD). Wakati Amin anataka kuivamia Tanzania alianza kwanza kutangaza kwamba Mkoa wa Kagera ni sehemu ya Uganda! Sisemi kwamba hiyo habari ya News of Rwanda nayo ni propaganda ya Rwanda dhidi ya Tanzania but no one peace of information need to be ignored in any way provided it's interest in national security! Media inapoandika kwamba J.K amemkaribisha mbaya wa Kagame tena kama special guest huku akipewa hifadhi ya siri, hapo ni kwamba panatengenezwa kitu. Na kwa jinsi haya mambo yalivyo, watengenezaji kila cku watakaa pembeni kusubiri reaction. Na kwa kumfahamu jinsi Kagame alivyo, hatutashangaa hata siku moja akija kutoa kauli za hovyo hovyo dhidi ya Tanzania/JK. So, shouldn't Tanzanians be curious about the news?
Mwanaume anathubutu kusema habari ndo hiyo au chezea wewe sijui huwa namwonajeeeee, ka vile dumejike inakera kweliHakuna cha propaganda hapo,tatizo wanyarwanda inteligensi yao iko juu,wanajua kinachoendelea tz,sasa kama nyie hamkuzikamata ni uwezo wenu mdogo, habari ndio hiyo, kingine nikwamba rwanda haina haja ya kuanzisha vita na taifa kubwa lenye nguvu kama tanzania wanalijua hilo,sasa mkiambiwa ukweli eti propaganda.
Sina mengi ya kukueleza kwani hata wewe mtizamo wako uko static,yeyote anayeshirikiana na FDLR yeye anakua amejibatiza genocide ideology,sasa hao watusi unaosema eti walikua RPA wao ni uchu wa madaraka tu wanatafuta watu wakuwasaidia kufika madarakani na wakifaniokiwa watawamwaga tu,kwani kuna usemi usemao adui wa adui yako ni rafiki yako,sasa hakuna cha ajabu hapo,na hawatafanya lolote rwanda kwani majority ya wanyarwada wako nyuma ya rais wao,tena wanahitaji amani.1. Tatizo lenu hamtaki kukubali kuwa wenzenu tuna mtazamo tofauti juu ya FDLR. wakati nyinyi mnawaona hivi sisi tunawaona vile. Ndio maana hata huko Rwanda kwenyewe propaganda zenu zinaji-contradict. kwa upande mmoja mnadai FDLR ndio genocidaires, wahutu extremists ambao wanachukia watutsi kwa nguvu zote. Kwa upande wa pili wapinzani wa kitutsi kama rudasingwa, marehemu karegeya, himbara etc, wakishakuwa wapinzani wanavumishwa kushirikiana na na FDLR hiyo hiyo. Hivi inawezekanaje watu waliokuwa RPA miaka hiyo kujiunga FDLR kirahisi rahisi tu? Hii inathibitisha kuwa who FDLR are in Rwanda is largely propaganda, actually FDLR ina uhalali mkubwa tu. Nina uhakika hata mushikiwabo akifall out na kagame leo, tutaambiwa anashirikiana na FDLR kesho tu.
2. Adui wa Rwanda sio necessarily awe adui wa Tanzania. Tunao uhuru wa kuchagua marafiki. Mbona RPA ya kagame tuliwapa uwanja wa mazungumzo Arusha wakati kagame na RPA wakiwa waasi, tena waasi waliokuwa wanashambulia nchi huru ya Rwanda kwa miaka minne? Tungeweza vile vile kukubaliana na definition ya RPA toka kwa Habyarimana sio? Sasa leo tofauti ni nini kwa FDLR? Kama tuliongea na RPA wakati ule wakiwa waasi, kwa nini isiwe halali kuongea na FDLR ambao wako political zaidi kuliko kijeshi. Kila mtu anajua kuwa Tanzania ni watu wa amani. As long as tunazungumza tu, i don't see a problem at all. Tatizo lenu mnajua kuwa FDLR inakubalika sana na majority Rwanda, hivyo mnajaribu kuwa discredit popote pale.
Sina mengi ya kukueleza kwani hata wewe mtizamo wako uko static,yeyote anayeshirikiana na FDLR yeye anakua amejibatiza genocide ideology,sasa hao watusi unaosema eti walikua RPA wao ni uchu wa madaraka tu wanatafuta watu wakuwasaidia kufika madarakani na wakifaniokiwa watawamwaga tu,kwani kuna usemi usemao adui wa adui yako ni rafiki yako,sasa hakuna cha ajabu hapo,na hawatafanya lolote rwanda kwani majority ya wanyarwada wako nyuma ya rais wao,tena wanahitaji amani.
Adui wa TZ ni kagame na watu wote wenye tabia kama zake!
