Vyombo vya ulinzi vya Tanzania jiandaeni na uvamizi wa majasusi wa Rwanda. Sababu ni hii hapa...

Vyombo vya ulinzi vya Tanzania jiandaeni na uvamizi wa majasusi wa Rwanda. Sababu ni hii hapa...

Kwa taarifa yenu nyie ndio mko usingizini,juzi wakati wa chokochoko za rwanda na tanzania ilikua wakati CHADEMA ilikua imewasha moto dhidi ya ccm ikabidi jamaa walianzishe na kigali,sasa wanarudia tena kuna jambo tu,tusubiri.

Usituchonganishe! Usiingize UCCM na UCHADEMA kwenye issue za Kigali na Dar es salaam.Fanyeni yenu msituchokonoe maana naona fimbo ya EAC imeshindwa sasa msiguse siasa zetu za ndani.
 
Wanyarwanda kuweni makini vita na Tanzania.haitakuwa kama Congo. Kwa maneno mengine hamtaisikia kwenye redio bali majeshi yatafika hadi majumbani kwenu huko Kigali. For your own benefit achane chokochoko msizoziweza.
 
wewe ndio mtizamo wako uko static. mimi hainingii akilini kuwa mtu aliyewahi kuwa RPA miaka yote hiyo aungane na FDLR simply kwa kutaka madaraka, hao FDLR unadhani ni wapuuzi kiasi gani? Na kama FDLR ni maadui wa watutsi kwa nini waungane na watutsi, tena watutsi waliokuwa wanapigana nao toka 1990, watutsi waliosababisha leo hii FDLR wawe ukimbizini?
Ukweli ni kuwa kuwa ukishakuwa against RPF hata uwe nani, wewe ni adui wa Rwanda. Haiwezekani watu wote wanaohama RPF wawe mafisadi, magaidi, revisionists .....

ahahaha,lakini wewe unanishangaza,unauliza inakuaje watusi watatu wanashirikiana na FDLR? hilo ni tumbo bwana ukikosa utashirikiana na adui ilimradi upate mkate,hao wote ni wafamaji tu,pk hawamuwezi hata wafanyeje,washirikiane na nani ni kiboko yao,yeye anawapa live,sasa huyo twagiramungu alikua hanatatizo na rwanda ingawa alikua mpinzani ndio maana aliweza kushiriki uchaguzi,sasa kwakua ametangaza wazi kwamba ni mshirika wa FDLR sasa subiri mziki wake.
 
My president stop backing Twagiramungu and his band of FDLR murderous criminals. Shame shame.
 
Hakuna cha propaganda hapo,tatizo wanyarwanda inteligensi yao iko juu,wanajua kinachoendelea tz,sasa kama nyie hamkuzikamata ni uwezo wenu mdogo,habari ndio hiyo,kingine nikwamba rwanda haina haja ya kuanzisha vita na taifa kubwa lenye nguvu kama tanzania wanalijua hilo,sasa mkiambiwa ukweli eti propaganda.

Bro Hakuna tatizo lolote kwa Mh Jakaya kuongea na mtu yeyote na Hakuna wa kutuchagulia upande wa kuwa katika mgogoro huu huu wa wanyarwanda. Propaganda za pk hazina maana yeyote. kagame hana lolote na hawezi kutukosesha usingizi, tunajeshii imara na hatutaki uchokozi wakipuuzi wa mpumbav...u pk na akae akijua kinachomsumbu sio kingine ni damu ya wanyarwanda wasio na hatia inamtaka awajibike na atakayemuwajibisha sio sio mwingine ni the beast of eac Tanzania.
 
My president stop backing Twagiramungu and his band of FDLR murderous criminals. Shame shame.

kama tulimsikiliza kagame na jeshi lake la RPA in 1994 alipokuwa anavamia na kuua watu Rwanda toka 1990, kwa nini tusimsikilize Twagiramungu asiye na bunduki hata moja, na anayeongea amani kwanza?
 
Nakubaliana na wazo lako,lakini kwanini kwa upande mwingine usiwe ukweli? kwani watu wameanza kuropoka matusi dhidi ya watusi wakati hawaja ujua ukweli,inaonekana watanzania mnawaogopa watusi sana,nakumuogopa mtu maranyingi unakua unayajua maovu uliyo mtendea,ndio maana kila wakati unakua unahisi vita tokea rwanda.

Watanzania tuwaogope watutsi? Kwa lipi? You are disgusting. Matusi mlianza kutukana nyie. Na sidhani kama kuna mahali hapa watutsi wametukanwa. Mmeambiwa tu ukweli muache tabia zenu za kishetani muwe wanadamu. Leo mmevamia mashamba ya Wakongo ktk nchi yao. Hivi nyie ni binadamu wa aina gani?!! Mnatia kinyaaaa....
 
kagame your days are numbered to soon that throne will no longer be yours.
kanchi kenyewe kadogo unataka kushindana na baba yao!
just take a look,chukua population ya wanyaruanda wote,ni sawa na battalion mbili tu za Tz.
jaribu uone cha moto.
 
Bro Hakuna tatizo lolote kwa Mh Jakaya kuongea na mtu yeyote na Hakuna wa kutuchagulia upande wa kuwa katika mgogoro huu huu wa wanyarwanda. Propaganda za pk hazina maana yeyote. kagame hana lolote na hawezi kutukosesha usingizi, tunajeshii imara na hatutaki uchokozi wakipuuzi wa mpumbav...u pk na akae akijua kinachomsumbu sio kingine ni damu ya wanyarwanda wasio na hatia inamtaka awajibike na atakayemuwajibisha sio sio mwingine ni the beast of eac Tanzania.

Kwa taarifa yako rwanda haiwezi kosa usingizi kutokana na kikwete kuongea na twagiramungu,kwani kikwete anajulikana msimamo wake dhidi ya pk na watusi,nafikiri unakumbuka pk alisema anamsubiri yeyote at the right place na kuna line you cant cross.
 
Kwa taarifa yako rwanda haiwezi kosa usingizi kutokana na kikwete kuongea na twagiramungu,kwani kikwete anajulikana msimamo wake dhidi ya pk na watusi,nafikiri unakumbuka pk alisema anamsubiri yeyote at the right place na kuna line you cant cross.
MUKAMASIMBA,

..nyinyi kila tatizo mnataka mmalize kwa kumwaga damu. WHY?

..when will the Tutsi and Hutus stop killing one another?

..mwanzo wa-Tutsi walikuwa wakimbizi, sasa wa-Hutu wamekimbia. when will this stop?

cc jMali
 
Last edited by a moderator:
Kwa taarifa yako rwanda haiwezi kosa usingizi kutokana na kikwete kuongea na twagiramungu,kwani kikwete anajulikana msimamo wake dhidi ya pk na watusi,nafikiri unakumbuka pk alisema anamsubiri yeyote at the right place na kuna line you cant cross.
Kwa hiyo Ina maana amejiandaa ku mu assassinate Kikwete siyo. Alivyoua wanajeshi wetu Darfur mnafikiri hatujui siyo. Msijaribu kabisa anamuassasinate tu. Kigari inakuwa majivu shame on you conflict and war mongers.
 
MUKAMASIMBA,

..nyinyi kila tatizo mnataka mmalize kwa kumwaga damu. WHY?

..when will the Tutsi and Hutus stop killing one another?

..mwanzo wa-Tutsi walikuwa wakimbizi, sasa wa-Hutu wamekimbia. when will this stop?

cc jMali


Akili hawana, watoto wanaozaliwa nje ya rwanda wahutu kuna siku watarudi rwanda kama pk alivyorudi, na ajue hatotawala milele!!,

Suruhisho ni kukaa meza moja kama our kikwete alivyoshauri! huo ndo mtizamo wa akili na kidiplomasia um proud of my president!!
 
Last edited by a moderator:
My president stop backing Twagiramungu and his band of FDLR murderous criminals. Shame shame.

Yaani wewe bozoo kweli nyumbani kwako unachaguliwa uongee na nani ? Yaani jilani yako anakuchagulia usiongee na adui yake. Kikwete ana haki ya kuongea na yoyote siyo lazima aamuliwe na mpuuzi PK
 
Correction. Amekuwa rais mwaka 2003 na term moja ni miaka 7. Aliyehodhi madaraka ni Nyerere mbona hamkumuondoa?

We jamaa sijui akili zako kuna wakati zinaruka au vp, huyo unayembeza amefanya kazi kubwa sana kuhakikisha migogoro wenu inaisha japo inaonekana wazi kua nyinyi hamtaki iishe. Siku za karibuni tuliona kundi kubwa la watu maeneo ya Goma wakishangilia kwa tetesi tu za kifo cha kagame. Sauti ya watu ni sauti ya Mungu kama hilo tukio halikumshtua hata kidogo ipo siku akifa ukanda mzima wa Afrika Mashariki na kati watu watasherekea wakisikia amekufa. Dunia hii walikuwepo viongozi wababe tena wenye nguvu kama majabali lakini walikufa vifo vya kidhalili, muache aendelee na mauaji yake laknii mda ukifika nae yatamkuta.
 
Hakuna cha propaganda hapo,tatizo wanyarwanda inteligensi yao iko juu,wanajua kinachoendelea tz,sasa kama nyie hamkuzikamata ni uwezo wenu mdogo,habari ndio hiyo,kingine nikwamba rwanda haina haja ya kuanzisha vita na taifa kubwa lenye nguvu kama tanzania wanalijua hilo,sasa mkiambiwa ukweli eti propaganda.

Acha wewe maisha yenu ni majigambo na mwisho mtaishia kutuambia sisi ni wahutu si ndo akili zenu.
 
Kwa taarifa yako rwanda haiwezi kosa usingizi kutokana na kikwete kuongea na twagiramungu,kwani kikwete anajulikana msimamo wake dhidi ya pk na watusi,nafikiri unakumbuka pk alisema anamsubiri yeyote at the right place na kuna line you cant cross.

wewe nadhani ni zer o kabisa na ninaimani wewe ulisahaulika kwenye operation kimbunga na ni mtu ambae hujali utu, msimamo wa JK unauelewa kweli au ndio unakurupuka kuandika usivyovijua?,,,. Soma kwanza alichokisema JK harafu ndio uone msimamo wa PK umeelekea wapi!,

Rwanda is for Rwandans(Tutsi, Hutu, and others bone in rwanda) it is not for Kagame!! Peace is for all rwandans. Mungu kawapa nchi wote, kutofautiana kimawazo kupo lakini kutatua tofauti hizo za mawazo ndio kitu ambacho kagame anaona nikigumu kufanyika.

Kagame anawavalisha ngozi ya mauwaji FDLR akidhani wanyarwanda watasahau ukweli kuhusu yeye! this will never happen to rwandans wanamsifu mdomoni ila mioyo yao imejaa kisasi juu yake, the time for him to be punished is coming, the blood of rwandans is upon Him and sure He will be punished.
PK ni kiumbe mdogo sana ambae hataki mamilioni ya watu wakae kwa amani, Angalia watu wa goma na baadhi ya maeneo ya kongo walivyoteseka kwasababu yake, angalia watu wa rwanda walivyopoteza maisha baada ya vita iliyosababishwa na tamaa yake ya kutaka madaraka kwa nguvu 1994.

Anapewa sifa na waoga kama wewe kwamba nikiongozi mzuri, kiongozi mzuri wa mash uu ziiii labda, maana kiongozi mzuri ni yule anayewaletea wananchi wake maendeleo kwa amani na utulivu na akitafuta majirani wema na sio kutengeneza maadui na kutengeneza fitina za kibaguzi.
 
Back
Top Bottom