Vyombo vya ulinzi vya Tanzania jiandaeni na uvamizi wa majasusi wa Rwanda. Sababu ni hii hapa...

Vyombo vya ulinzi vya Tanzania jiandaeni na uvamizi wa majasusi wa Rwanda. Sababu ni hii hapa...

wewe nadhani ni zer o
kabisa na ninaimani wewe ulisahaulika kwenye operation kimbunga na ni
mtu ambae hujali utu, msimamo wa JK unauelewa kweli au ndio unakurupuka
kuandika usivyovijua?,,,. Soma kwanza alichokisema JK harafu ndio uone
msimamo wa PK umeelekea wapi!,

Rwanda is for Rwandans(Tutsi, Hutu, and others bone in rwanda) it is
not for Kagame!! Peace is for all rwandans. Mungu kawapa nchi wote,
kutofautiana kimawazo kupo lakini kutatua tofauti hizo za
mawazo ndio kitu ambacho kagame anaona nikigumu
kufanyika.

Kagame anawavalisha ngozi ya mauwaji FDLR akidhani wanyarwanda watasahau
ukweli kuhusu yeye! this will never happen to rwandans
wanamsifu mdomoni ila mioyo yao imejaa kisasi juu
yake
, the time for him to be punished is coming, the blood of
rwandans is upon Him and sure He will be
punished
.
PK ni kiumbe mdogo sana ambae hataki mamilioni ya watu wakae kwa amani,
Angalia watu wa goma na baadhi ya maeneo ya kongo
walivyoteseka kwasababu yake, angalia watu wa
rwanda walivyopoteza maisha baada ya vita iliyosababishwa
na tamaa yake
ya kutaka madaraka kwa nguvu 1994.

Anapewa sifa na waoga kama wewe kwamba nikiongozi mzuri, kiongozi mzuri
wa mash uu ziiii labda, maana kiongozi mzuri ni yule
anayewaletea wananchi wake maendeleo kwa amani na utulivu na akitafuta
majirani wema na sio kutengeneza maadui na kutengeneza fitina za
kibaguzi.

Yaa uko sawa kabisa kuna watu walisahaulika kwenye operation kimbunga
 
Yaani wewe bozoo kweli nyumbani kwako unachaguliwa uongee na nani ? Yaani jilani yako anakuchagulia usiongee na adui yake. Kikwete ana haki ya kuongea na yoyote siyo lazima aamuliwe na mpuuzi PK

wewe ndie kichekesho kasa,nyie ndi mnaleta vurugu kwa majirani,sasa kwamfano hapo unapoishi unazungukwa na majirani na unamkaribisha adui wajirani yako wakati ukijua huyo jamaa haziivi na jirani yako,sasa unagikiri huyo jirani yako atakufikiliaje?kama unataka ujirani mwema bora ufikilie mara mbili kabla hujafanya uamuzi wa kipuuzi,kabla hujamkosa jirani mwema.
 
Serikali inatumia kiasi gani kumpa nyumba, ulinzi, chakula, mavazi, access to JF, masomo, entertainment yeye na familia yake ?

Kwa nini pesa hizo zisitumike kuwasaidia watanzania? Ina maana maisha ya huyu mnyarwanda mmoja na familia yake ni muhimu kuliko ya Mtanzania au hili gazeti limemzushia JK?

Kwa kuwa pesa zinazomweka nchini ni kodi za waTanzania kwa nini waziri kivuli wa mambo ya ndani hajahoji hili suala kwa niaba ya wananchi?

Faustin-Twagiramungu.jpg




ZAIDI SOMA HAPA:


Ex-Rwandan PM Twagiramungu is special guest of Tanzanian President Kikwete | In2EastAfrica – East African news, Headlines, Business, Tourism, Sports, Health, Entertainment, Education
 
Hii ni sawa mkuu akienda kwako kama ana kasoro kidogo na kale ka jamaa katamuua na hakakawii kuleta jeshi la kuja kumuulia hapa hivyo na ulinzi apewe.
 
tatizo lako ni mchanga wa mambo ya uendeshaji wa serikali na hupaswi kuambiwa yote bora uendelee kupotea kama ulivyopotea zaidi ya hapo jifunze kujielimisha.
 
Huyu kaifadhiwa na ana haki ya kuifadhiwa maana ni Mkimbizi wa Kisiasa.
 
Mambo ya Serikali yaachie serikali yenyewe kama ujui....!!
 
Inawezekana wewe ndio mgeni hapa Tanzania, Tangu uhuru tumewapokea wakimbizi na wapigania uhuru wengi sna, Museveni pia alitokea Tanzania kwenda kuchukua madaraka kule Uganda
 
Kuna watu wana "point" za kulazimisha sana. Na hii ni mojawapo, kisa kaona Kikwete na uongozi wake wanasemwa sana humu basi naye kaja na hili akijua kua nalo ni point ya kuonyesha udhaifu wa kikwete. Hehehe. Pole.
 
Hii ni propaganda ya Kagame machinery, source yake ni Times of Rwanda!
 
Kamuulize swali hili aliyeanzisha habari hii ya kutunga ya kubuni ya kufikirika bila shaka atakuwa na jibu la kubuni la kutunga la kufikirika pia.
 
Mkuu inaonekana hujui serikali zinavyoendeshwa ...Tanzania imekuwa ina hosts watu Kama hawa miaka nenda rudi bila mwananchi wa kawaida kujua mtaani ,Museveni kakulia Hapa , kuna wakati kiongozi wa waasi Burundi alikuwa Hapa for several months akaja rais wa Burundi ikabidi jamaa wamtoe nchini hao wa rwanda pia ni kawaida sana ni vizuri kutoingiza bla bla bla na lawama kwenye vitu ambavyo usivyovijua especially ulinzi na usalama na uendeshaji wa serikali
 
Mleta thread una ngano kichwani ,akili zako zimegandishwa na ngano,hii thread ni kwa faida ya nani??
 
We una matatizo..! Hilo gazeti ni Daily News, Habari leo au Mzalendo mpaka uamini? Hawa si ndo walishasema M23 wanamshikili mJW aliyekuwa anasaidia FDLR...!?? Haya hata kama ni kweli ni sahihi make ni mkmbiz wa kisiasa
 
Hakuna cha propaganda hapo,tatizo wanyarwanda inteligensi yao iko juu,wanajua kinachoendelea tz,sasa kama nyie hamkuzikamata ni uwezo wenu mdogo,habari ndio hiyo,kingine nikwamba rwanda haina haja ya kuanzisha vita na taifa kubwa lenye nguvu kama tanzania wanalijua hilo,sasa mkiambiwa ukweli eti propaganda.

Wanyarwanda nimewajua kwasababu ya kujisifu sana! na pia kujiona nyie ni bora kuliko wengine,hiyo ni mentality mbaya sana tena ya kibaguzi,nina jamaa zangu wengi tu hapa Tz wenye asili ya Rwanda ambao huniambia kwamba wao watusi ni bora kuliko waafrica wengine na tena eti wao ni wana wa Israel.Kinacho shangaza sana sisi watu weusi badala ya kuungana kuwa kitu kimoja tuna anza kurudi nyuma kabisa kwa kubaguana.Sasa tumefikia wakati wa kutazamana urefu wa pua,ukubwa wa pua mambo ya aibu kabisa.

Kupigana kati ya nchi na nchi si jambo la kujivunia kabisa maana inasababisha uharibifu wa uchumi wa nchi na wakati nchi zetu ni maskini wa kutupwa,watu wetu wengi hawana huduma muhimu za kijamii.Kwanini tufikilie mawazo ya kupigana? hiyo si jambo la sifa hata kidogo. Kagame na Kikwete wataondoka lakini Tz na Rw zitabaki so tuangalie mbele zaidi mimi naona tuache mambo ya kuleta vurugu na chuki.Sisi watanzania naona tuachane na mambo ya Rwanda maana tuna yetu yanatusumbua mengi tu.
 
Tanzania ni taifa kubwa kwa eneo na jeshi lakni akili hakuna km Rwanda pia tunacho. wazidi kingine ni rushwa kupeana kazi kwa kujuana na cio fani na uwezo Wa mtu kwahyo tucshangae cku za usoni wakatuzidi kwa jeshi lakn ardhi hawawez kwa sababu mipaka ipo tayari.
 
Tanzania ni taifa kubwa kwa eneo na jeshi lakni akili hakuna km Rwanda pia tunacho. wazidi kingine ni rushwa kupeana kazi kwa kujuana na cio fani na uwezo Wa mtu kwahyo tucshangae cku za usoni wakatuzidi kwa jeshi lakn ardhi hawawez kwa sababu mipaka ipo tayari.

Hahahahahahahahahaha! nadhani tuwaombe watusadie maana hatuna akili au siyo? Nyie Warwanda mna akili sana! mawazo ya kijinga kabisa hayo,kwanza hamna hata shukrani nyie tumewasaidia mnaishia kutukana! kumbe tulivyowapa hifadhi ya ukimbizi ndiyo mkaona hatuna akili? watu mnamaudhi nyie!Aisee umenisonesha sana na maneno yako ya dharau.Tabia hiyo ndiyo inafanya mnachukiwa
 
wewe ndie kichekesho kasa,nyie ndi mnaleta vurugu kwa majirani,sasa kwamfano hapo unapoishi unazungukwa na majirani na unamkaribisha adui wajirani yako wakati ukijua huyo jamaa haziivi na jirani yako,sasa unagikiri huyo jirani yako atakufikiliaje?kama unataka ujirani mwema bora ufikilie mara mbili kabla hujafanya uamuzi wa kipuuzi,kabla hujamkosa jirani mwema.
My foot wewe bozoo Jilani mwema yupi PK, mtu anayeua watu Kongo ni Jilani huyo. Bwana JK hachaguliwi Rafiki . Kumbuka Adui au Rafiki ni relative term , who is adui or rafiki to you may not mean the same to the other. So fuc. k the hell out of Tanzania business.
 
Kwa taarifa yako rwanda haiwezi kosa usingizi kutokana na kikwete kuongea na twagiramungu,kwani kikwete anajulikana msimamo wake dhidi ya pk na watusi,nafikiri unakumbuka pk alisema anamsubiri yeyote at the right place na kuna line you cant cross.

Ndiyo maana mliua wanajeshi wetu darful?
 
Back
Top Bottom