hakuna wavumilivu km wenye Malori, angalia ule moto wa Msamvu Morogoro, Tanker liliogopa Bodaboda iliyokatiza mbele yake bila ya kufuata sightMalori wastaarabu sana, wangekuwa kama bodaboda au bebi woka tungekufa sana
Very much so hata wakiwa highways. Powerful cars ila wanaendesha vizuri.
Mimi nikisafirigi na pikipiki watu wananiulizaga kama siogopi mabasi na malori. Nawaambiaga hao hawana shida sana, nikija kubutuliwa probably itakuwa ni ST SU. Maana nikiwa upande wangu wao ni kama wanaona pako wazi tu, piga honi vipi piga pass vipi hawaelewi wala hawaombi, hawaangalii upana/ubovu wa barabara au kama ni daraja wao wanatoa gari mpaka mstari wa njano wa upande wangu kunilazimisha mimi nikimbie barabarani kuwaacha wamalize overtake yao.
Tena wakiwa wengi, akitoka wa mbele wa nyuma hawaangalii wanachomoka pia kama manyumbu.
1.bodaboda-hawa bangi na viroba huenda vinawapeleka mbio
2.bajaj-hawa nao kama bodaboda tu
3.daladala-hawa nao bangi na viroba vinawakimbiza kusaka hesabu
4.Subaru,Altezza-wazee wa ligi na kelele
5.taxi zenye mistari
6.vigari vidogo ist,Passo etc hawa sijui shida ni nini
7.vyombo vyenye namba zinaanzia ST,PT,UT,DFP,SU, hawa wanahisi wako juu ya sheria wanasahau wakipiga mzinga maumivu hayajui wewe ni nani
Vyote viwili harufu na mwendo wao wanapokuwa na gari empty!. Utadhani wanaendesha kifaru!.Ha ha ha shida yao harufu au uendeshaji?
Mungu anisamehe ila nikikuta bodaboda zimegongana sisikitiki
Mkuu hii listi ni kwa dasalama au na huku mikoani inahusika!!!1.bodaboda-hawa bangi na viroba huenda vinawapeleka mbio
2.bajaj-hawa nao kama bodaboda tu
3.daladala-hawa nao bangi na viroba vinawakimbiza kusaka hesabu
4.Subaru,Altezza-wazee wa ligi na kelele
5.taxi zenye mistari
6.vigari vidogo ist,Passo etc hawa sijui shida ni nini
7.vyombo vyenye namba zinaanzia ST,PT,UT,DFP,SU, hawa wanahisi wako juu ya sheria wanasahau wakipiga mzinga maumivu hayajui wewe ni nani
Ha ha ha wanakera anapenya halafu anakaa mbele huku speed 25kphhakuna wavumilivu km wenye Malori, angalia ule moto wa Msamvu Morogoro, Tanker liliogopa Bodaboda iliyokatiza mbele yake bila ya kufuata sight
Bajaj zinaongoza jamani, yaani mpo keep-left atapenya hadi mbele yako tena wrong site akae mbele tako na akifika mbele hana mwendo atang'ang'ania akae katikati ya barabara, kweli wawekewe Line yao au wasiruhusiwe kwenye Highway
Mwenye ist sipati picha alivyofura.
Hahah hili lipo, hata mimi nikiendesha gati nafanya hivyo pia.Nikiri tu mara mbili tatu nishaovateki mbele bodaboda inakuja nanyoosha tu namwachia kasehemu kadogo apishe
Kuna sehemu bajaj ndio kama daladala nauli 500/- wanapanda abiria hadi watanoHiyo mamba 2 wanaņchi waishio mbezi ya kimara wanaonewa sana kwa nauli na barabara ndio wao wanaongoza kwa kusababisha ajali yaani ikifika jioni saa moja unusu kuanzia manzese darajani hadi mbezi barabara yote ni fujo bora wangerudisha daladala ziwe zinaishia magomeni
Duh wanahisi barabara mali yaoHahah hili lipo, hata mimi nikiendesha gati nafanya hivyo pia.
Ugomvi wangu na ST SU ni kuwa wao ni every time. Washawahi kunibana kwenye daraja la mizani ya mikese, washawahi kunikaba pale gairo wakati barabara inatengenezwa, washawahi kuniforce nje ya barabara kwenye haya mawimbi kati ya Ruvu na Chalinze, yani jamaa hawaachi nafasi. Yani ile mita moja tu ya kunitosha mimi kupita hawaiachi wanakula baravara nzima mpaka kwenye mstari wa mwisho wa barabara wa upande wangu
Exactly. Hata kama una gari bado watakuletea ubabe wao vile vile. Wanatunishia misuli mpaka mabasi ya mkoa.Duh wanahisi barabara mali yao
Kwenye foleni hapa mjini huwa wanatanua ili uwapishe. Huwa sipishi, kuna siku nilikomaa nikagoma kupisha gari ina namba W.....Exactly. Hata kama una gari bado watakuletea ubabe wao vile vile. Wanatunishia misuli mpaka mabasi ya mkoa.
Viroba hamna ila kilicokuwa kinawekwa ndani ya kiroba bado kipo.Sikuhizi hakuna viroba vilipigwa marufuku.