Vyombo vya usafiri vinavyoongoza kwa vurugu barabarani

Vyombo vya usafiri vinavyoongoza kwa vurugu barabarani

Kwenye foleni hapa mjini huwa wanatanua ili uwapishe. Huwa sipishi, kuna siku nilikomaa nikagoma kupisha gari ina namba W.....
Eti amekwepa foleni analazimisha mimi ambae niko kwenye upande wangu niingie kwenye dimbwi nimpishe yeye, siku hio alilazimika kurudi upande wake
Kama anataka kupishwa atembee na escort ya polisi na vingora. Sio anawahi mchepuko wake hoteli halafu analeta haraka za uwaziri.
 
Unawahau Malori ya mchanga....
Hawq wanakupigia mihoni puuuuuuuuu pooooio poooooo
Unawasahau watembea kwa miguu hawa nao wanakera hatari

Watembea kwa miguu wanatumia motor kwenye miguu ili wawe kwenye kundi la vyombo vya moto?
 
Kwenye foleni hapa mjini huwa wanatanua ili uwapishe. Huwa sipishi, kuna siku nilikomaa nikagoma kupisha gari ina namba W.....
Eti amekwepa foleni analazimisha mimi ambae niko kwenye upande wangu niingie kwenye dimbwi nimpishe yeye, siku hio alilazimika kurudi upande wake
Akiwepo Trafiki ungepigwa faini, Traffic Road Act inatambua unatakiwa wapisha hao wazito!.
Nachojiuliza ile sheria ya kutotembea polepole kwanini polisi hawaitumii!!..
 
SUBARU dah. Sijui wana nini. Wanajionaga kama wanaendesha performance cars.
 
Akiwepo Trafiki ungepigwa faini, Traffic Road Act inatambua unatakiwa wapisha hao wazito!.
Nachojiuliza ile sheria ya kutotembea polepole kwanini polisi hawaitumii!!..
Kwahio ningetumbukia mtoni au bondeni kisa 'mkubwa' anapita.
 
SUBARU dah. Sijui wana nini. Wanajionaga kama wanaendesha performance cars.
Kwani Subaru zao sio performance cars? Zile gari zina mzuka. Starehe yake ni kukimbia hazina starehe nyingine. Ukinunua Subaru WRX STI then unaendesha kama Toyota premio ni waste of resources. Bahati mbaya nchi yetu haina maeneo ya kutumia hizo gari ipasavyo matokeo yake wanaziiungurumisha mitaani
 
Kuna mtu aliniambia hao bodaboda kushinda juani ile harufu ya petrol inawalevya ndo maana wanakuwa mazuzu!

Sema hao wenye baby walkers ni kama vile watu wafupi....wanakuwa na mbwembwe nyingi ili waonekane maana wanaona wanadharaulika tu daima. Hawawezi acha jimwambafai
 
hakuna wavumilivu km wenye Malori, angalia ule moto wa Msamvu Morogoro, Tanker liliogopa Bodaboda iliyokatiza mbele yake bila ya kufuata sight
Bajaj zinaongoza jamani, yaani mpo keep-left atapenya hadi mbele yako tena wrong site akae mbele tako na akifika mbele hana mwendo atang'ang'ania akae katikati ya barabara, kweli wawekewe Line yao au wasiruhusiwe kwenye Highway
Tena hasa zile za machiba ndo kabisaaa
 
Kuna mtu aliniambia hao bodaboda kushinda juani ile harufu ya petrol inawalevya ndo maana wanakuwa mazuzu!

Sema hao wenye baby walkers ni kama vile watu wafupi....wanakuwa na mbwembwe nyingi ili waonekane maana wanaona wanadharaulika tu daima. Hawawezi acha jimwambafai
Aisee...unatafuta ugomvi sio?
 
Kwani Subaru zao sio performance cars? Zile gari zina mzuka. Starehe yake ni kukimbia hazina starehe nyingine. Ukinunua Subaru WRX STI then unaendesha kama Toyota premio ni waste of resources. Bahati mbaya nchi yetu haina maeneo ya kutumia hizo gari ipasavyo matokeo yake wanaziiungurumisha mitaani
Naunga mkono hoja.
 
Back
Top Bottom