ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Kama anataka kupishwa atembee na escort ya polisi na vingora. Sio anawahi mchepuko wake hoteli halafu analeta haraka za uwaziri.Kwenye foleni hapa mjini huwa wanatanua ili uwapishe. Huwa sipishi, kuna siku nilikomaa nikagoma kupisha gari ina namba W.....
Eti amekwepa foleni analazimisha mimi ambae niko kwenye upande wangu niingie kwenye dimbwi nimpishe yeye, siku hio alilazimika kurudi upande wake
mimi mmoja wapo hapo uwa tunakimbizana na mda kutafuta hesabuUnawahau Malori ya mchanga....
Hawq wanakupigia mihoni puuuuuuuuu pooooio poooooo
Unawasahau watembea kwa miguu hawa nao wanakera hatari
Unawahau Malori ya mchanga....
Hawq wanakupigia mihoni puuuuuuuuu pooooio poooooo
Unawasahau watembea kwa miguu hawa nao wanakera hatari
Akiwepo Trafiki ungepigwa faini, Traffic Road Act inatambua unatakiwa wapisha hao wazito!.Kwenye foleni hapa mjini huwa wanatanua ili uwapishe. Huwa sipishi, kuna siku nilikomaa nikagoma kupisha gari ina namba W.....
Eti amekwepa foleni analazimisha mimi ambae niko kwenye upande wangu niingie kwenye dimbwi nimpishe yeye, siku hio alilazimika kurudi upande wake
Kwani Subaru zao sio performance cars? Zile gari zina mzuka. Starehe yake ni kukimbia hazina starehe nyingine. Ukinunua Subaru WRX STI then unaendesha kama Toyota premio ni waste of resources. Bahati mbaya nchi yetu haina maeneo ya kutumia hizo gari ipasavyo matokeo yake wanaziiungurumisha mitaaniSUBARU dah. Sijui wana nini. Wanajionaga kama wanaendesha performance cars.
Tena hasa zile za machiba ndo kabisaaahakuna wavumilivu km wenye Malori, angalia ule moto wa Msamvu Morogoro, Tanker liliogopa Bodaboda iliyokatiza mbele yake bila ya kufuata sight
Bajaj zinaongoza jamani, yaani mpo keep-left atapenya hadi mbele yako tena wrong site akae mbele tako na akifika mbele hana mwendo atang'ang'ania akae katikati ya barabara, kweli wawekewe Line yao au wasiruhusiwe kwenye Highway
Miafrika ndio tulivyo aseh, heri upotee na familia yako lakini si 'mkubwa' apotee kwenye ajali!.Kwahio ningetumbukia mtoni au bondeni kisa 'mkubwa' anapita.
Aisee...unatafuta ugomvi sio?Kuna mtu aliniambia hao bodaboda kushinda juani ile harufu ya petrol inawalevya ndo maana wanakuwa mazuzu!
Sema hao wenye baby walkers ni kama vile watu wafupi....wanakuwa na mbwembwe nyingi ili waonekane maana wanaona wanadharaulika tu daima. Hawawezi acha jimwambafai
πππAisee...unatafuta ugomvi sio?
Naunga mkono hoja.Kwani Subaru zao sio performance cars? Zile gari zina mzuka. Starehe yake ni kukimbia hazina starehe nyingine. Ukinunua Subaru WRX STI then unaendesha kama Toyota premio ni waste of resources. Bahati mbaya nchi yetu haina maeneo ya kutumia hizo gari ipasavyo matokeo yake wanaziiungurumisha mitaani