RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
1.bodaboda-hawa bangi na viroba huenda vinawapeleka mbio
2.bajaj-hawa nao kama bodaboda tu
3.daladala-hawa nao bangi na viroba vinawakimbiza kusaka hesabu
4.Subaru,Altezza-wazee wa ligi na kelele
5.taxi zenye mistari
6.vigari vidogo ist,Passo etc hawa sijui shida ni nini
7.vyombo vyenye namba zinaanzia ST,PT,UT,DFP,SU, hawa wanahisi wako juu ya sheria wanasahau wakipiga mzinga maumivu hayajui wewe ni nani
2.bajaj-hawa nao kama bodaboda tu
3.daladala-hawa nao bangi na viroba vinawakimbiza kusaka hesabu
4.Subaru,Altezza-wazee wa ligi na kelele
5.taxi zenye mistari
6.vigari vidogo ist,Passo etc hawa sijui shida ni nini
7.vyombo vyenye namba zinaanzia ST,PT,UT,DFP,SU, hawa wanahisi wako juu ya sheria wanasahau wakipiga mzinga maumivu hayajui wewe ni nani