Vyombo vya Usalama vinamhujumu Rais kutokana na matendo maovu kushika kasi

Vyombo vya Usalama vinamhujumu Rais kutokana na matendo maovu kushika kasi

Yalikuwepo toka kitambo ila tofauti ya Sasa ni kwamba watu ni wepesi kutoa taarifa na pia mitandao ya kijamii inachangia Sana..

On top of that Rais karuhusu watu wafunguke tofauti na enzi za Giza.
Nakubaliana na wewe haya mambo yalikuwepo na yataendelea kuwepo
Ila tatizo lenu nyie mlianza kusema kwa mama Samia hayatakuwepo
 
Rais alipoingia madarakani aliwabana sana Hawa watu wa vyombo vya usalama wa raia na madawa ya kulevya pia Ila Sasa naona wanajifanyia wanayotaka tu.

Simon Sirro amelalamikiwa sana kwamba hafai kuendesha jeshi la polisi sababu hakuna matokeo chanya katika mabadiliko ya utendaji wa polisi.

Polisi hawabadilishi mifumo ya utendaji kazi, wao ni walewale wa miaka ya 60 hakuna jipya. Najiuliza wameshindwa kuform kitengo Cha maendeleo na mabadiliko ya jeshi ikiwemo kuweka mipango mikakati kujenga vituo vipya, mahabusu, upatikanaji wa chakula kwa mahabusu na askari wawapo kazini nk?

Jeshi linatumia vitendea kazi vya kizamani na tactics za kizamani ingali dunia imeshabadilika na uhalifu umeadvance sana tunategemea kabisa kupata majibu ya upelelezi kwa haraka?

Polisi hawapewi laptop, hakina mfumo mpya wa kisasa wa kurejista mahabusu, kesi zinazofunguliwa, askari wa zamu nk yani mpaka leo unategemea lile kaunta book lao wanalopiga mistari na kuandikaandika mule?

Rejista zinakuwa manual yani ukichana page ushahidi umepotea wanakwama wapi kutengeneza mfumo wa computer wenye kupokea taarifa hizo kwa usahihi na zikatumzwa makao makuu hata kesho tukitaka kujua aliyepo zamu leo kituo cha polisi Nkasi ni Nani?

Sirro ameshindwa kazi mno jeshi limepoa na limepwaya sana askari wamegeuka majambazi na Sirro anatoa macho yake tu na kushinda kwenye vikao kila siku

Yeye kila siku utasikia tumekuta watu wa usalama wa maziwa makuu kujadili namna ya kukomesha uhalifu wanamuweka busy na vikao vya kijinga huku askari wanageuka majangili wakubwa.

Sirro it's time to go. Polisi imekushinda kakae na Yule mwanao mvuta bangi umkanye tu labda itakusaidia kwa huu muda mchache uliobaki hapa duniani otherwise ukifa kabla haijabadilika utakuwa umetuachia mtoto wa hovyo sana.
Raisi aliwabana vyombo vya usalama? Ilikua mwaka gani huo?
Kwa bongo hii raisi hawezi kuwabana vyombo vya usalama maana hao ndio watu wanamuweka madarakani.
Achana naa story za majukwaani, hata jiwe, kikwete walikuwa wanawaponda polisi ila baadae wanawatumia, hivyohivyo kwa hangaya.
 
Raisi aliwabana vyombo vya usalama? Ilikua mwaka gani huo?
Kwa bongo hii raisi hawezi kuwabana vyombo vya usalama maana hao ndio watu wanamuweka madarakani.
Achana naa story za majukwaani, hata jiwe, kikwete walikuwa wanawaponda polisi ila baadae wanawatumia, hivyohivyo kwa hangaya.
Kwanza utanikosea sana ukiniambia nina story za majukwaani tuwe na staha kidogo tunapohisi tuna mawazo tofauti na wengine.

Naongelea jambo ambalo lipo wazi sana sielewi kwa sababu gani imekuja kunijibu kwa maneno yenye tashwishwi namna hii.

Labda kama haukumbuki au haufahamu kwamba Rais alipoingia madarakani aliwashutumu sana polisi na kuwahimiza sana kuwa na weledi mkubwa na akatoa maelekezo kwa IGP abadilishe baadhi ya makamanda wa mikoa na vikosi na akamtaja kabisa kwa jina na kusema huyu aliyekuwa Mwanza arudishwe Dar sababu aliuweza mji alimsifia kabisa na kusema wengine wawe mfano kwake kwa utendaji wa kazi.

Rais bado amekuwa akiwatolewa mfano polisi kwenye matukio mengi tu, mfano aliwahi kuongelea alipokamatwa na traffic police kule kwao kabla hajawa Rais Ila alikuwa mkubwa nadhani waziri anaongelea namna walivyo na utendaji wa hovyo.

Hata juzijuzi aliongelea tena utendaji wa polisi na kumtaka yule polisi anasifia pombe ya gongo ambaye imebidi asakwe na afukuzwe kazi.

Rais amekuwa akieabana sana ndio maana nimesema hivyo Sasa ndugu yangu hizi siasa za majukwaani ndio wote tunazisikiliza maana ndiko siasa inakopigwa huko kwingine ni utendaji sio siasa utendaji haupo majukwaani.
 
Matukio ya uovu yamezidi kushika kasi kipindi hiki kwa namna ambayo inaonesha dhahiri kuwa kuna hujuma inafanyika kwa ndugu Rais Samia Suluhu Hassan.

Matendo haya ya uovu ubaya zaidi yanafanywa na vyombo vinavyotakiwa kulinda wananchi. Matokeo yake sasa ndo vinahusishwa na kuteka na kuua wananchi.

Wananchi wanaendelea kupotea wakiwa mikononi mwa polisi na kuuawa wakiwa mikononi mwa polisi au wanajeshi. Je, haya si makusudi kutaka kumpima Rais?

Aonekane ni dhaifu hawezi wakemea au kuwa yeye hajali wananchi wa huku?

Haya mambo yasiachwe hivi hivi lazima hatua zichukuliwe.
Uonevu umezidi sana kwakweli,mm nimeshajipaga kwa kuongea na mganga wangu ili bwege yoyote akinionea afe bila kuugua
 
Yalikuwepo toka kitambo ila tofauti ya Sasa ni kwamba watu ni wepesi kutoa taarifa na pia mitandao ya kijamii inachangia Sana..

On top of that Rais karuhusu watu wafunguke tofauti na enzi za Giza.
Wameruhusiwa kuzikunja kunja sarafu za Tshs 1,000,2,000,5,000 ama hata 10,000 kama fedha ya kupigia viatu brush,kupora vielelezo kama simu,fedha,vito nk toka kwa mateka wao,kubambikia raia wema kesi za kisiasa au kutengeneza mazingira ya rushwa.Nchi ipo Auto Pilot Flight Mode kwa muda sasa ila wananchi wanafichwa ukweli na watawala.
CCM na mabaki/masalia ya nchi ya Tanganyika vilishakufa pale walipofuta Azimio la Arusha.Hauwezi kuvuka bahari kwa baiskeli.Nchi haijengwi kwa maigizo haya ya wezi wa kura-CCM na watawala wao wa michongo.
 
Matukio ya uovu yamezidi kushika kasi kipindi hiki kwa namna ambayo inaonesha dhahiri kuwa kuna hujuma inafanyika kwa ndugu Rais Samia Suluhu Hassan.

Matendo haya ya uovu ubaya zaidi yanafanywa na vyombo vinavyotakiwa kulinda wananchi. Matokeo yake sasa ndo vinahusishwa na kuteka na kuua wananchi.

Wananchi wanaendelea kupotea wakiwa mikononi mwa polisi na kuuawa wakiwa mikononi mwa polisi au wanajeshi. Je, haya si makusudi kutaka kumpima Rais?

Aonekane ni dhaifu hawezi wakemea au kuwa yeye hajali wananchi wa huku?

Haya mambo yasiachwe hivi hivi lazima hatua zichukuliwe.
2015-2020.
 
Kwanza utanikosea sana ukiniambia nina story za majukwaani tuwe na staha kidogo tunapohisi tuna mawazo tofauti na wengine.

Naongelea jambo ambalo lipo wazi sana sielewi kwa sababu gani imekuja kunijibu kwa maneno yenye tashwishwi namna hii.

Labda kama haukumbuki au haufahamu kwamba Rais alipoingia madarakani aliwashutumu sana polisi na kuwahimiza sana kuwa na weledi mkubwa na akatoa maelekezo kwa IGP abadilishe baadhi ya makamanda wa mikoa na vikosi na akamtaja kabisa kwa jina na kusema huyu aliyekuwa Mwanza arudishwe Dar sababu aliuweza mji alimsifia kabisa na kusema wengine wawe mfano kwake kwa utendaji wa kazi.

Rais bado amekuwa akiwatolewa mfano polisi kwenye matukio mengi tu, mfano aliwahi kuongelea alipokamatwa na traffic police kule kwao kabla hajawa Rais Ila alikuwa mkubwa nadhani waziri anaongelea namna walivyo na utendaji wa hovyo.

Hata juzijuzi aliongelea tena utendaji wa polisi na kumtaka yule polisi anasifia pombe ya gongo ambaye imebidi asakwe na afukuzwe kazi.

Rais amekuwa akieabana sana ndio maana nimesema hivyo Sasa ndugu yangu hizi siasa za majukwaani ndio wote tunazisikiliza maana ndiko siasa inakopigwa huko kwingine ni utendaji sio siasa utendaji haupo majukwaani.
Nimekuuliza ni raisi gani alikuwa hasemi hayo? Jiwe wakati anaingia alikua akiwasema na hadi akambadilisha IGP, akambadilisha makamanda wote Ila nini kimeendelea?
Ni sawa na sasa, hangaya kawasema sana hao polisi kila Mara, nini kimebadilika?
 
Rais alipoingia madarakani aliwabana sana Hawa watu wa vyombo vya usalama wa raia na madawa ya kulevya pia Ila Sasa naona wanajifanyia wanayotaka tu.

Simon Sirro amelalamikiwa sana kwamba hafai kuendesha jeshi la polisi sababu hakuna matokeo chanya katika mabadiliko ya utendaji wa polisi.

Polisi hawabadilishi mifumo ya utendaji kazi, wao ni walewale wa miaka ya 60 hakuna jipya. Najiuliza wameshindwa kuform kitengo Cha maendeleo na mabadiliko ya jeshi ikiwemo kuweka mipango mikakati kujenga vituo vipya, mahabusu, upatikanaji wa chakula kwa mahabusu na askari wawapo kazini nk?

Jeshi linatumia vitendea kazi vya kizamani na tactics za kizamani ingali dunia imeshabadilika na uhalifu umeadvance sana tunategemea kabisa kupata majibu ya upelelezi kwa haraka?

Polisi hawapewi laptop, hakina mfumo mpya wa kisasa wa kurejista mahabusu, kesi zinazofunguliwa, askari wa zamu nk yani mpaka leo unategemea lile kaunta book lao wanalopiga mistari na kuandikaandika mule?

Rejista zinakuwa manual yani ukichana page ushahidi umepotea wanakwama wapi kutengeneza mfumo wa computer wenye kupokea taarifa hizo kwa usahihi na zikatumzwa makao makuu hata kesho tukitaka kujua aliyepo zamu leo kituo cha polisi Nkasi ni Nani?

Sirro ameshindwa kazi mno jeshi limepoa na limepwaya sana askari wamegeuka majambazi na Sirro anatoa macho yake tu na kushinda kwenye vikao kila siku

Yeye kila siku utasikia tumekuta watu wa usalama wa maziwa makuu kujadili namna ya kukomesha uhalifu wanamuweka busy na vikao vya kijinga huku askari wanageuka majangili wakubwa.

Sirro it's time to go. Polisi imekushinda kakae na Yule mwanao mvuta bangi umkanye tu labda itakusaidia kwa huu muda mchache uliobaki hapa duniani otherwise ukifa kabla haijabadilika utakuwa umetuachia mtoto wa hovyo sana.
IGP yeye anajali mkono uende kinywani. Mengine mtajijua wenyewe.
 
Muhimu ni kuwa angalia Watanzania walioathirika na matendo ya polisi. Hata polisi wakiamua kuua kila siku mtanzania 1, bado Samia ata endelea kuwa Rais mpaka CCM wakiamua wenyewe.
Ukweli Mchungu. As Long As Polisi ndio wanaomuweka madarakani basi hana cha kuwafanya.
 
Matukio ya uovu yamezidi kushika kasi kipindi hiki kwa namna ambayo inaonesha dhahiri kuwa kuna hujuma inafanyika kwa ndugu Rais Samia Suluhu Hassan.

Matendo haya ya uovu ubaya zaidi yanafanywa na vyombo vinavyotakiwa kulinda wananchi. Matokeo yake sasa ndo vinahusishwa na kuteka na kuua wananchi.

Wananchi wanaendelea kupotea wakiwa mikononi mwa polisi na kuuawa wakiwa mikononi mwa polisi au wanajeshi. Je, haya si makusudi kutaka kumpima Rais?

Aonekane ni dhaifu hawezi wakemea au kuwa yeye hajali wananchi wa huku?

Haya mambo yasiachwe hivi hivi lazima hatua zichukuliwe.


Ni muda wa Sirro kuwa balozi
 
Matukio ya uovu yamezidi kushika kasi kipindi hiki kwa namna ambayo inaonesha dhahiri kuwa kuna hujuma inafanyika kwa ndugu Rais Samia Suluhu Hassan.

Matendo haya ya uovu ubaya zaidi yanafanywa na vyombo vinavyotakiwa kulinda wananchi. Matokeo yake sasa ndo vinahusishwa na kuteka na kuua wananchi.

Wananchi wanaendelea kupotea wakiwa mikononi mwa polisi na kuuawa wakiwa mikononi mwa polisi au wanajeshi. Je, haya si makusudi kutaka kumpima Rais?

Aonekane ni dhaifu hawezi wakemea au kuwa yeye hajali wananchi wa huku?

Haya mambo yasiachwe hivi hivi lazima hatua zichukuliwe.
Kwa mfano hili la Kingai na Mboye ni tooo much
 
Hakukuwa na ubambikaji na Jeshi kujihusisha na saisa kwa kiasi hicho.
Umezaliwa lini? Maana huenda ulikua mdogo, ni kawaida pia kusahau ya nyuma na huenda atayekuja baada ya sirro tutasema afadhali ya sirro.
 
Hiyo ya kwanza mbona hata yeye mama Samia alisema Magufuli anawasalimia Sana siku moja kabla ua kutangaza kifo
WOTE Hawa ni
WAONGO WA TAIFA
na tunasubiri Sasa chawa wao TBCCM wanakuja kutuambia kuwa ;-
KWENYE ILANI YAO YA UCHAGUZI YA 2020-2025 YENYE KURASA 309
TUMETEKELEZA MPAKA SASA UKURASA WA 303 BADO KURASA 6 TU KWA MIEZI 12 SASA TUNAMLIZIA KAZI .
 
Back
Top Bottom