Vyombo vya Usalama vinamhujumu Rais kutokana na matendo maovu kushika kasi

Vyombo vya Usalama vinamhujumu Rais kutokana na matendo maovu kushika kasi

Sijajua unataka kujenga hoja gani.Kwa kifupi nikisema bora IGP Mangu namaanisha tulipotoka kulikuwa na nafuu
Kusoma unajua? Ni wapi nataka kumsifu sirro? Nimekuambia haya ya sasa huko nyuma yametokea Sana na hata huko mbeleni tutasahau
 
Wameruhusiwa kuzikunja kunja sarafu za Tshs 1,000,2,000,5,000 ama hata 10,000 kama fedha ya kupigia viatu brush,kupora vielelezo kama simu,fedha,vito nk toka kwa mateka wao,kubambikia raia wema kesi za kisiasa au kutengeneza mazingira ya rushwa.Nchi ipo Auto Pilot Flight Mode kwa muda sasa ila wananchi wanafichwa ukweli na watawala.
CCM na mabaki/masalia ya nchi ya Tanganyika vilishakufa pale walipofuta Azimio la Arusha.Hauwezi kuvuka bahari kwa baiskeli.Nchi haijengwi kwa maigizo haya ya wezi wa kura-CCM na watawala wao wa michongo.
Kwani hayo yameanza Jana au leo? Upuuzi wa polisi umekuwepo miaka yote ila saizi angalau taarifa zinatoka
 
Acha maneno mengi, kama unahisi mama anahujumiwa you're wrong, rais anajihujumu yeye mwenyewe, kwani yeye hayupo ndani ya nchi anayoiongoza hasipate taarifa yaatukio kwa wananchi wake!?? Yeye anatakiwa asimame na akemehe lakini kama umemsikia leo anasema hawezi fukuza wasaidizi wake wanaokosea utasemaje anahujumiwa!?.
Huo ni uhalifu tu, japo mnajitahidi kuutumia kisiasa,, marekani taifa kubwa ndo lina matukio ya hatari sana ya uhalifu lakini huwezi kusikia wanasiasa wasnaanza kuyatumia kisiasa,,
Jengeni chama mpate wafuasi wengi ili waweze kuwachagua moate vyeo,
Huwezi pata madaraka kwa style hii
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Act-wazalendo zitokabwe niondoeni mapema kwenye kusema mkomkono mmoja na ccmserikali
 
Back
Top Bottom