Vyoo vya kujisaidia ukiwa umekaa vina starehe lakini ni ‘majanga’ kwa watumiaji

Vyoo vya kujisaidia ukiwa umekaa vina starehe lakini ni ‘majanga’ kwa watumiaji

Ooh my God sirudii tena kuchuchumaa juu ya hizi choo ndo mchezo wangu nikivikuta huwa sikai..ila hizi vyoo za siku hizi ni.mchina fake ni rahis kuvunjika me nakumbuka nimechuchumaa kwa hizi vyoo for four years at home...aiseee sio salama

Dah mkuu unaonekana wewe ni wa kishua,wenzio wamechuchumaa vyuoni na maofisini wanapotumia vyoo hivi,wewe unachuchumaa home? Home inatakiwa na vile vya kuchuchumaa viwepo siunajua familia zetu unakuta anakuja mtu kutoka kijijini anapata shida.

Vipo vyoo vya kichina vizuri first class sio vyote vibaya.
 
Dah mkuu unaonekana wewe ni wa kishua,wenzio wamechuchumaa vyuoni na maofisini wanapotumia vyoo hivi,wewe unachuchumaa home? Home inatakiwa na vile vya kuchuchumaa viwepo siunajua familia zetu unakuta anakuja mtu kutoka kijijini anapata shida.

Vipo vyoo vya kichina vizuri first class sio vyote vibaya.

Haha enzi hizo mwana wane tulikua tunaishi flats za bank sasa chumbani kwa mdingi hicho na kwetu ni hicho...mimi na bro wangu tukiwa primary tulikua tunaona kinyaa so kila mtu alikua anapanda ila ilikua siri yake ila siku moja tukaambiana ukweli..tulihama nikiwa darasa la nne mdingi akaweka home cha kuchuchumaa....freesh kimbembe makazini
 
Haha enzi hizo mwana wane tulikua tunaishi flats za bank sasa chumbani kwa mdingi hicho na kwetu ni hicho...mimi na bro wangu tukiwa primary tulikua tunaona kinyaa so kila mtu alikua anapanda ila ilikua siri yake ila siku moja tukaambiana ukweli..tulihama nikiwa darasa la nne mdingi akaweka home cha kuchuchumaa....freesh kimbembe makazini

Dah aisee noma sana.
 
Halafu vina bei sana madukani;
Sijui watu wanavutiwa na nini kuweka choo cha kukalia;

Ila wanasema kwa wazee/watu wazima ni vizuri shauri ya
matatizo ya mgongo na kiuno.

Haya kila mwenye kusikia amasikia.
 
kibembe kinakuja wakat untka kujisafisha baada ya kukata gogo huwa ni kero sna kwa iv vyoo vya kukaa

Ndio hapo sasa mkuu yaani eti unalazimika kutumia Tp badala ya maji, ptuuuuu....
 
Nashindwa kuelewa which is which coz kuna wataalam wengine wanadai kuwa kuchuchumaa ndio vibaya na kusuggest watu wakae wakiwa wanakata gogo huku wakisimamisha kiwiliwili upright coz ndio unatoa uchafu wote tumboni

BTW mimi sipendi vyoo vya kukaa tu kwasababu napata shida wakt wa kujitawaza kwa maji,
 
Hivi vyoo ni vizuri chumbani kwako tu yaani utumie wewe mwenyewe then public toilet weka vyoo vya kuchuchumaa tu maana ukiwa kwa watumiaji wengi me nikiingia ata haja inarudi uko uko tumboni sijisaidii tena
 
Mm nilishazoea choo cha kukaa, cha kuchuchumaa haja kubwa huwa haitoki yote! Kwangu mm choo cha kuchuchumaa ni hatari sana hasa mtu km anaumwa na hana nguvu za kuchuchumaa...ukishazoea kukaa hakuna mavi ambayo huwa yanabaki!
 
Mimi nikienda chooni,nikute choo cha kukaa hua napanda juu na viatu vyangu,nakata gogo kiroho safi!!

Kuna siku nilikua ofisini,nikaenda kata gogo,nilikuta damu juu ya choo,walahi niliapa acha wanifukuze kazi,but nikitaka kukata gogo napanda juu ya choo,popote hata home!!
 
Mm nilishazoea choo cha kukaa, cha kuchuchumaa haja kubwa huwa haitoki yote! Kwangu mm choo cha kuchuchumaa ni hatari sana hasa mtu km anaumwa na hana nguvu za kuchuchumaa...ukishazoea kukaa hakuna mavi ambayo huwa yanabaki!

Ni kweli kwakuwa mlango unafunguka wote mpaka mwisho tofauti na kuchuchumaa kuna baadhi ya bawabu zinakuwa bado zimebana.

Hata hivyo tukiongelea suala la choo cha watu wengi, cha kuchuchumaa kinafaa zaidi...
 
Mimi nikienda chooni,nikute choo cha kukaa hua napanda juu na viatu vyangu,nakata gogo kiroho safi!!

Kuna siku nilikua ofisini,nikaenda kata gogo,nilikuta damu juu ya choo,walahi niliapa acha wanifukuze kazi,but nikitaka kukata gogo napanda juu ya choo,popote hata home!!

Mkuu, cheki bandiko #19 na 20.
 
Mimi nikienda chooni,nikute choo cha kukaa hua napanda juu na viatu vyangu,nakata gogo kiroho safi!!

Kuna siku nilikua ofisini,nikaenda kata gogo,nilikuta damu juu ya choo,walahi niliapa acha wanifukuze kazi,but nikitaka kukata gogo napanda juu ya choo,popote hata home!!
Katka safari zangu niliwahi kuta rangi ya njano nisiyoielewa kuzunguka choo cha hotel fulani mjini Mwanza.
Niliapa sintoweka makalio yangu hapo labda chumbani kwangu tu.
 
Kwenye public, weka vyoo vyote. Kukaa (kwa wenye kuvipendelea na wagonjwa km gauti, mlemavu, n.k) na kuchuchumaa kwa walio na utamaduni wa kimashariki au kiarabu.

Binafsi situmii choo cha kuchuchumaa. Kitambi kinazingua mbaya!!

Wadada wanapata sana UTI choo cha kuchuchumaa shauri ya mkojo kusplash back. Vya kukaa ni salama zaidi kiafya penye wastaarabu.
 
Katka safari zangu niliwahi kuta rangi ya njano nisiyoielewa kuzunguka choo cha hotel fulani mjini Mwanza.
Niliapa sintoweka makalio yangu hapo labda chumbani kwangu tu.

Dada zetu ndo wana magonjwa millioni kidogo,ukute katoka tour serengeti,zen akakae kwenye kile choo cha kukalia!!

Utashangaa korodoni zinakuwasha,utatamani kuzikuna kwa gunzi aiseeee!!
 
Back
Top Bottom