Licha ya kuwa Viongozi wengi wa Kiserikali wamekuwa mstari wa mbele katika kusisitiza usafi kwenye mazingira ya ofisini na hata kwenye makazi ya watu lakini upande mwingine wapo ambao huwa wanasahau kujitazama wao.
Hivi ndivyo hali ilivyo katika Vyoo vilivyopo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, vyoo hivi vinatumiw ana wageni na hata Watumishi mbalimbali, vipo eneo la nje katika jengo la Ofisi hiyo.
Nadhani ni vema RC na timu yake wakalitazama hili, suala la usafi ni muhimu, hapa nimekuta mabomba mabovu, vyombo vilivyomo kwenye Vyoo havina mazingira mazuri ya usafi, maji kwa nje hakuna licha ya kuwa kuna masinki ambayo yalianza kutumika wakati ule wa Corona.
Hakuna taa na inaonekana usafi unaofanyika ni ule wa juujuu.
Licha ya kuwa Viongozi wengi wa Kiserikali wamekuwa mstari wa mbele katika kusisitiza usafi kwenye mazingira ya ofisini na hata kwenye makazi ya watu lakini upande mwingine wapo ambao huwa wanasahau kujitazama wao.
Hivi ndivyo hali ilivyo katika Vyoo vilivyopo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, vyoo hivi vinatumiw ana wageni na hata Watumishi mbalimbali, vipo eneo la nje katika jengo la Ofisi hiyo.
Nadhani ni vema RC na timu yake wakalitazama hili, suala la usafi ni muhimu, hapa nimekuta mabomba mabovu, vyombo vilivyomo kwenye Vyoo havina mazingira mazuri ya usafi, maji kwa nje hakuna licha ya kuwa kuna masinki ambayo yalianza kutumika wakati ule wa Corona.
Hakuna taa na inaonekana usafi unaofanyika ni ule wa juujuu.
Hayo ni matunda ya kuwa na wakuu wa mikoa wapumbavu ndiyo maana mji wa dar es salaam unanuka sikuizi toka JPM aondoke kama mkuu wa mkoa haoni tatizo hivyo vyoo unategemea nini ....kwa mkoa
Kama vichafu dawa moja tu kulipia awe mfanyakazi au wa nje haendi ofisini kunya au kukojoa awe mkuu wa mkoa au yeyote walipie kama kweli vichafu awepo msafisha vyoo wa kulipwa