Vyote nimekabidhi isipokuwa hiki kidubwasha

Usijali unakaribishwa kwenye Chama/ Taasisi ya majobless pro max kikiongozwa na Mh Rais wa majobless pro max Intelligent businessman na makamu wake Bolotoba katibu akiwa hon. min -me waziri wa mambo ya ndani Edo kissy wakili wa chama ni Selikavu na msemaji wao mr makutupora mbele ya hiki kikosi hadhi,utu na heshima yako kama jobless inahifadhiwa,itatewa na kusimamiwa ipasavyo

Kidumu chama cha majobless pro max
 
Hivi upo serias Huenda jamaa ana mtaji
 
Je, Ikiwa Kama imewekewa chip ya utambuzi ndani yake itakuwaje?
Huoni kwamba hiyo ndio chanzo cha wewe kukosa sifa za kuwa Mwajiriwa Muaminifu?
Are you aware about an Espionage Gear? Do you know Bugs or Wire for Covert Operations?
Do you know Spy Devices for clandestine operations?
Are you aware about these issues?

Be very careful!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…