Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Ramovich alivyoaga Yanga mzee mwenzanguPole mkuu. Shemeji yetu kapokeaje hiyo taarifa?
Utaanza vizingaNiko mafichoni kwanza mkuu kwa dua na sala huenda mtukufu triump akabadili maamuzi
Umepotea nmekumisi😊Kwann hujarudisha hilo dubwasha la watu
Huenda jamaa ana mtajiUsijali unakaribishwa kwenye Chama/ Taasisi ya majobless pro max kikiongozwa na Mh Rais wa majobless pro max Intelligent businessman na makamu wake Bolotoba katibu akiwa hon. min -me waziri wa mambo ya ndani Edo kissy wakili wa chama ni Selikavu na msemaji wao mr makutupora mbele ya hiki kikosi hadhi,utu na heshima yako kama jobless inahifadhiwa,itatewa na kusimamiwa ipasavyo
Kidumu chama cha majobless pro max
Nipo kila siku Umenimisi jeUmepotea nmekumisi😊
Je, Ikiwa Kama imewekewa chip ya utambuzi ndani yake itakuwaje?
Hiyo roho mbaya ipo wapi hapo punguza hasiraWenye navyo wameniachia, acha roho mbaya
Sijakuona mda tuNipo kila siku Umenimisi je
Nipo sema tuna pishanaSijakuona mda tu
Kabidhi,Musk stakuja kukusaka ujue miongoni mwa sababu za mapendekezo yake ni kuondosha uvujaji mapato.Sasa kazi kwako.