Vyovyote anavyokuwa mwanamke akishaolewa lawama na pongezi ni kwa mumewe huu ndio ukweli

Vyovyote anavyokuwa mwanamke akishaolewa lawama na pongezi ni kwa mumewe huu ndio ukweli

wasumu

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2015
Posts
2,271
Reaction score
2,065
Du jamaani wanaume kama bandiko linavyosema mwanamke akishaolewa wewe ndie mwalimu wake hivyo vyovyote atakavyokuwa akiwa malaya akiwa na tabia mbaya yeyote wewe mumewe ndie umemfanya awe hivyo akiwa na tabia njema wewe ndiye wa kupongezwa.

Wanaume wote waliooa kamwe usije ukaandika bandiko lako humu kumsema mke wako tambua kama umeshindwa kumbadilisha lawama zinakwenda kwako sio yeye chanzo ni wewe.

A word is enough for wise
 
ukiona mwanaume anasema mke wangu hivi au vile lawama ni kwake yeye mwanaume sio mwanamke akishaolewa mume ndio mwalimu hayupo tena kwa baba ake wamekupa mzigo wako wewe
Hatimae wamepata mtetezi walau Hali itulie
 
Ukifuata ushauri wa mtoa maada unaweza kuchanganyikiwa, mtu anaakili timamu eti umfundishe blah blah , kila mmoja ajipambanie ndio maana wanadai haki Sawa
just try jaribu utaona mambo makubwa sana
 
kuna tofauti kubwa kati ya hulka na silka kwa binadam yeyote, mke au mume
 
just try jaribu utaona mambo makubwa sana
Mke wa mzee jomo Kenyatta yupo, mke wa Nyerere yupo, mke wa Karume sr yupo, mke wa magufuli yupo, mke wa mkapa yupo, mke wa mwinyi yupo, mke wa kijazi yupo, jiulize kwa nini wanaishi muda mrefu ? Ushauri mwanaume usijipe stress na mwanamke wewe ishi kawaida hawana kanuni
 
Mke wa mzee jomo Kenyatta yupo, mke wa Nyerere yupo, mke wa Karume sr yupo, mke wa magufuli yupo, mke wa mkapa yupo, mke wa mwinyi yupo, mke wa kijazi yupo, jiulize kwa nini wanaishi muda mrefu ? Ushauri mwanaume usijipe stress na mwanamke wewe ishi kawaida hawana kanuni
hatari kuishi kawaida mwombe Mungu usambaze upendo basi utaish maisha marefu wanawake ndio edeni zetu
 
Mwanamke kwa mwezi ana siku 5 hadi 7 ambazo anakua kama kichaa na haunielewi, ndani ya kipindi hicho kwa nchi zilizoendelea anapewa muda wa likizo kabisa , muda huo anaweza kununa bila sababu au akachukua maamzi mabovu ambayo hauwezi kutegemea ni muda huo wa hedhi ambapo yeye huondoa sumu mwilini na mwili kujisafisha , sasa wewe nguvu yako fanya mazoezi , panga mambo yako full stop hawana kanuni hao
 
Du jamaani wanaume kama bandiko linavyosema mwanamke akishaolewa wewe ndie mwalimu wake hivyo vyovyote atakavyokuwa akiwa malaya akiwa na tabia mbaya yeyote wewe mumewe ndie umemfanya awe hivyo akiwa na tabia njema wewe ndiye wa kupongezwa.

Wanaume wote waliooa kamwe usije ukaandika bandiko lako humu kumsema mke wako tambua kama umeshindwa kumbadilisha lawama zinakwenda kwako sio yeye chanzo ni wewe.

A word is enough for wise
...Tusidanganyane wanawake wengine ni vichwa ngumu hata umfundishe aje haelewi zaidi ya utemi wewe kama umebahatika shukuru Mungu.
 
Hajawaelewa ndugu zetu katika Imani, ukiambiwa wametoka kwenye ubavu wako inamaana nenda nao hivohivo ubavu haunyooshwi ukijifanya kuunyosha lazima uvunjike na kuacha majanga
umenena vema
 
Back
Top Bottom