Vyovyote anavyokuwa mwanamke akishaolewa lawama na pongezi ni kwa mumewe huu ndio ukweli

Hana mke amesema hayo kayasoma kwenye vitabu
hahaha experience is best teachear walisema lakini mimi nasema kusikia na kufanyia kazi ni bora zaidi
 
hakuna mwanamke kichwa gumu code zote hizo utakuwa umeshafungua edeni yake tayar utakula kila aina ya matunda
...Tusidanganyane wanawake wengine ni vichwa ngumu hata umfundishe aje haelewi zaidi ya utemi wewe kama umebahatika shukuru Mungu.
 
Unajipa kazi za wazazi walio shindwa tokea akiwa mbichi, uje kuweza ww kumkunja akiwa mkavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…