Vyovyote wafanyavyo, hata kama nia ni kumchafua, bado yeye ndiye turufu zaidi ndani ya chama chake hata kwa wapinzani

Vyovyote wafanyavyo, hata kama nia ni kumchafua, bado yeye ndiye turufu zaidi ndani ya chama chake hata kwa wapinzani

Friends and Our Enemies,

Baada ya kuichukua Nchi katika kipindi kigumu zaidi cha kuondokewa na mtangulizi wake, kitu kikubwa alichokifanya ni kujenga IMANI.

Alijenga Imani kwa mfumo wa demokrasia kwa kuwahakikishia wapinzani kuwa haki itatendeka,na kwamba wote waliokimbia nchi mfano kama Lissu, Lema na kadhalika..warudi nchini tujenge nchi na hakuna yoyote wa kuwafanya lolote,na kweli wamerudi na kweli siasa wanafanya kama zamani.

Alijenga Imani kwa wafanya biashara kwa kuwahakikishia kuwa hakuna tena dhulma,hakuna kupokwa pesa zao,hakuna kubambikiwa kodi,na uhuru wa biashara utakuwepo kwao na hilo limefanikiwa.

Alihakikisha kuwa demokrasia ya kweli inarudi,vyama vya siasa viwe huru kufanya mikutano kama zamani na viwe huru kukosoa serikali pamoja na uhuru wa habari,hakuna tena mkono wa chuma...na hilo linaonekana leo.

Alihakikisha miradi yote ya kimaendeleo ambayo walianza pamoja na mtangulizi wake inaendelea na haiiishii nijani, na mingine mingi ianzishwe na iendelee.

Kupandisha mishahara kwa watumishi wa umma na madaraja ambayo yalikaa kwa muda mrefu bila kuangaliwa wala kuzingatiwa,kuboresha hali za wakulima na kuhakikisha wanapata pembejeo zao za kilimo na mbolea kwa wakati na kuhakikisha bei za mazao yao kupitia stakabadhi ghalani zinaboreshwa na walanguzi wanaondolewa na hilo kafanikiwa.

2025 ni hii hapa kwenye kona,bila shaka wapinzani wake ndani ya chama kama wapo na nje ya chama pumzi zimekata kabisa,na hawaoni katika mwaka huu wa uchaguzi wa serikali za mitaa na mwakani uchaguzi mkuu Inshallah watatumia karata gani kumwangusha na kupata imani kwa wananchi.


Lakini kwa vyovyote vile iwavyo,hata kwa sasa bado yeye anaonekana kuwa ndie mwanasiasa maarufu zaidi na mwenye turufu ya kuaminika ndani ya chama chake na nje ya chama chake.

MUNGU AIBARIKI TANZANIA.
Unamtetea kwa sababu ni muislam mwenzako. Uchafu wake hata wa Magufuli una nafuu....
 
sio mtu mzima tu Binti wa kibantu bali pia ni mwanadiplomasia mwandamizi mbobevu katika siasa ambae sielezei maoni yangu juu ya masuala ya kisiasa humu jukwaani eti kutegemea hisia au huruma, ni facts tu kwendra mbereee 🐒
Why umechagua kuwa chawa? Kwa mtu mzima, makini anayejielewa hawezi kuwa ccm, wala kushabikia haya yanayoendelea.
Uwe na akili timamu, umsifie kiongozi anayesema viongozi, kuleni usawa wa kamba yenu.

Uwe na akili timamu, umshabikie mtu anayesema ni drama. Huku watu wanapotea katika mazingira ya kutatanisha, wanatekwa, wanauwawa. Ni kichaa pekee atacheka na kufurahia. Mwenye akili hawezi kucheza na maisha ya watu. Nyinyi madishi yameyumba, mjitafakari sana.
 
Uliyoyaandika ni ukweli mtupu. Mama aliwezesha vijana wengi kumaliza madeni yao ya HESLB pale aliporidhia kuondoa retantion fee.

Pamoja na kupambana na Miradi mikubwa iliyokuwa bado ipowanzoni aliweza pia kuajiri na kupandisha madaraja kwa watumishi wa uma. Imani ilikuwa kubwa tuliona haki ikitendeka. Furaha ya watu iliongezeka.

Mimi naamini bado nafasi ya kurudisha furaha ipo. Kwa aliyokuwa anayafanya sijui mtanzania angetumia kigezo gani kumnyima kura.

Katika masuala ya uongozi ni lazima kuwa mkali kwa watendaji ili kuhakikisha wanatumia nafasi zao na wana wajibika kwa wananchi. Hakuna kucheka na mtu. Ukienda Hospitali au kwenye huduma zozote kusiwe na longolongo.

Kutenda haki na kutumia njia shirikishi katika kufikia maamuzi ni jambo jingine la kuzingatia huku ukiweka mbele maslahi ya kundi la wengi ambao ni walalahoi.

Mama moyo wa upendo anao kwani hata record zake kabla hajawa Raisi zinaonyesha na hata baada ya kuwa Rais. Kumbuka kumtembelea Lisu hospitali, kuruhusu waliokuwa wamekimbia nchi warudi. Kurihusu siasa na mikutano. Hata kama yote yatasahaulika tukumbuke hata haya.

Siasa haijawahi kuwa rahisi sehemu yoyote dunian.
Asante sana MKUU...
 
Why umechagua kuwa chawa? Kwa mtu mzima, makini anayejielewa hawezi kuwa ccm, wala kushabikia haya yanayoendelea.
Uwe na akili timamu, umsifie kiongozi anayesema viongozi, kuleni usawa wa kamba yenu.

Uwe na akili timamu, umshabikie mtu anayesema ni drama. Huku watu wanapotea katika mazingira ya kutatanisha, wanatekwa, wanauwawa. Ni kichaa pekee atacheka na kufurahia. Mwenye akili hawezi kucheza na maisha ya watu. Nyinyi madishi yameyumba, mjitafakari sana.
Hatufurahii vifo,kutekwa wala uvunjifu wa amani kwa namna yyte ile.

Tuna uhakika hata Rais Samia hafurahishwi na hayo pia,kusimamia unachokiamini siyo uchawa.
 
Unataka kusemaje.
..."kapandisha mishahara ya watumishi na madaraja"...!
-Watumishi wa nchi gani waliopewa hiyo "pekeji"?
-Watumishi gani waliopandishwa madaraja/wangapi?Au daraja la Migwenhe kuelekea Chabutwa,Tabora?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😋
 
Why umechagua kuwa chawa? Kwa mtu mzima, makini anayejielewa hawezi kuwa ccm, wala kushabikia haya yanayoendelea.
Uwe na akili timamu, umsifie kiongozi anayesema viongozi, kuleni usawa wa kamba yenu.

Uwe na akili timamu, umshabikie mtu anayesema ni drama. Huku watu wanapotea katika mazingira ya kutatanisha, wanatekwa, wanauwawa. Ni kichaa pekee atacheka na kufurahia. Mwenye akili hawezi kucheza na maisha ya watu. Nyinyi madishi yameyumba, mjitafakari sana.
why leo hujaporomosha mitusi mizito mizito kama kawaaida yako, eeh why? au bado muda wa mizimu kucharuka au bado hujanywa chai? eeh bint wa kibantu?

kwanini umechagua kua na mihemko na tena bila hoja ikiwa kweli wewe ni muerevu?

vyama vya siasa nchi nzima vimefanya chaguzi zao za ndani kwa salama na amani sana, ni muhimu wakapewa maua yao 🌹

why chama hiki kilipoanza tu uchaguzi wake wa ndani hizi singombimbo zankabokamchizi zikaanza? mara kiongozi gani sijui kafanya nini mara nani sijui yuko wap n.k? Why all these now?

na chama kinapoelekea uchaguzi wa pale ngazi ya Juu zaid, ndiyo hali ya singombingo hizi inakua mbaya zaid, why now?

hauoni kwamba kuna kila sababu uchunguzi ukaazia pale HQ ya chama ili walau kujiridhisha?

maana taarifa za mwanzo wa utekaji lakini pia kifo cha mateka zimetokea HQ ya chama kwa haraka sana tena kwa wakati muafaka mno?

Je,
ni kweli hawana taarifa za hapa katikati mateka alitendewa nini na watekaji?

wao walikua wamekaa engo gani ya kupata taarifa za utekaji na mauaji ya mateka tu,wasone ametendewa nini?🐒
 
why leo hujaporomosha mitusi mizito mizito kama kawaaida yako, eeh why? au bado muda wa mizimu kucharuka au bado hujanywa chai? eeh bint wa kibantu?

kwanini umechagua kua na mihemko na tena bila hoja ikiwa kweli wewe ni muerevu?

vyama vya siasa nchi nzima vimefanya chaguzi zao za ndani kwa salama na amani sana, ni muhimu wakapewa maua yao 🌹

why chama hiki kilipoanza tu uchaguzi wake wa ndani hizi singombimbo zankabokamchizi zikaanza? mara kiongozi gani sijui kafanya nini mara nani sijui yuko wap n.k? Why all these now?

na chama kinapoelekea uchaguzi wa pale ngazi ya Juu zaid, ndiyo hali ya singombingo hizi inakua mbaya zaid, why now?

hauoni kwamba kuna kila sababu uchunguzi ukaazia pale HQ ya chama ili walau kujiridhisha?

maana taarifa za mwanzo wa utekaji lakini pia kifo cha mateka zimetokea HQ ya chama kwa haraka sana tena kwa wakati muafaka mno?

Je,
ni kweli hawana taarifa za hapa katikati mateka alitendewa nini na watekaji?

wao walikua wamekaa engo gani ya kupata taarifa za utekaji na mauaji ya mateka tu,wasone ametendewa nini?🐒
Acha hizi ngonjera za std 4. Jibu hoja, sijawahi tukana na ndiyo maana sijawahi pewa onyo wala kupigwa ban. Mkiambiwa ukweli, mnakimbilia mmetukanwa. Anyaway huna hoja acha niendelee na kazi zangu. Ukija na hoja nitakujibu baadaye.
 
Why umechagua kuwa chawa? Kwa mtu mzima, makini anayejielewa hawezi kuwa ccm, wala kushabikia haya yanayoendelea.
Uwe na akili timamu, umsifie kiongozi anayesema viongozi, kuleni usawa wa kamba yenu.

Uwe na akili timamu, umshabikie mtu anayesema ni drama. Huku watu wanapotea katika mazingira ya kutatanisha, wanatekwa, wanauwawa. Ni kichaa pekee atacheka na kufurahia. Mwenye akili hawezi kucheza na maisha ya watu. Nyinyi madishi yameyumba, mjitafakari sana.
Hilo linasukumwa na dini yake mkuu .Ni lipuuzi fulani linaloongozwa na hisia za kutetea chochote kwa misingi ya ni muislam mwenzetu.Achana nalo ni la kupuuza!
 
Friends and Our Enemies,

Baada ya kuichukua Nchi katika kipindi kigumu zaidi cha kuondokewa na mtangulizi wake, kitu kikubwa alichokifanya ni kujenga IMANI.

Alijenga Imani kwa mfumo wa demokrasia kwa kuwahakikishia wapinzani kuwa haki itatendeka,na kwamba wote waliokimbia nchi mfano kama Lissu, Lema na kadhalika..warudi nchini tujenge nchi na hakuna yoyote wa kuwafanya lolote,na kweli wamerudi na kweli siasa wanafanya kama zamani.

Alijenga Imani kwa wafanya biashara kwa kuwahakikishia kuwa hakuna tena dhulma,hakuna kupokwa pesa zao,hakuna kubambikiwa kodi,na uhuru wa biashara utakuwepo kwao na hilo limefanikiwa.

Alihakikisha kuwa demokrasia ya kweli inarudi,vyama vya siasa viwe huru kufanya mikutano kama zamani na viwe huru kukosoa serikali pamoja na uhuru wa habari,hakuna tena mkono wa chuma...na hilo linaonekana leo.

Alihakikisha miradi yote ya kimaendeleo ambayo walianza pamoja na mtangulizi wake inaendelea na haiiishii nijani, na mingine mingi ianzishwe na iendelee.

Kupandisha mishahara kwa watumishi wa umma na madaraja ambayo yalikaa kwa muda mrefu bila kuangaliwa wala kuzingatiwa,kuboresha hali za wakulima na kuhakikisha wanapata pembejeo zao za kilimo na mbolea kwa wakati na kuhakikisha bei za mazao yao kupitia stakabadhi ghalani zinaboreshwa na walanguzi wanaondolewa na hilo kafanikiwa.

2025 ni hii hapa kwenye kona,bila shaka wapinzani wake ndani ya chama kama wapo na nje ya chama pumzi zimekata kabisa,na hawaoni katika mwaka huu wa uchaguzi wa serikali za mitaa na mwakani uchaguzi mkuu Inshallah watatumia karata gani kumwangusha na kupata imani kwa wananchi.


Lakini kwa vyovyote vile iwavyo,hata kwa sasa bado yeye anaonekana kuwa ndie mwanasiasa maarufu zaidi na mwenye turufu ya kuaminika ndani ya chama chake na nje ya chama chake.

MUNGU AIBARIKI TANZANIA.
Baada ya mauji ya kijana mmoja uko mtwara ! Samia alisikika akiwambia wazi polisi kuwa awawezi jichunguza na maafisa wa polisi walio husika tuliona wanapandishwa kizimbani! Lakini baada ya hapo ni mwendo wa watu kupote na kutekwa na uzuri wanao washilikilia wanakuwa wanajitambulisha ni polisi na sasa huyu mzee wamemuaa kabisa na Samia hajachukua hatua yeyote kabisa na hali ya sasa ni mbaya zaidi…kwanini hachukui hatua? Nani ana msingizia ? Nani ana mchafua? Anamchafua kwa sababu gani? Kwa hiyo unataka kusema wazi hata Magufuli alikuwa ana chafuliwa?
 
Hilo linasukumwa na dini yake mkuu .Ni lipuuzi fulani linaloongozwa na hisia za kutetea chochote kwa misingi ya ni muislam mwenzetu.Achana nalo ni la kupuuza!
Darkness has covered your light and changed your day into night...
 
Baada ya mauji ya kijana mmoja uko mtwara ! Samia alisikika akiwambia wazi polisi kuwa awawezi jichunguza na maafisa wa polisi walio husika tuliona wanapandishwa kizimbani! Lakini baada ya hapo ni mwendo wa watu kupote na kutekwa na uzuri wanao washilikilia wanakuwa wanajitambulisha ni polisi na sasa huyu mzee wamemuaa kabisa na Samia hajachukua hatua yeyote kabisa na hali ya sasa ni mbaya zaidi…kwanini hachukui hatua? Nani ana msingizia ? Nani ana mchafua? Anamchafua kwa sababu gani? Kwa hiyo unataka kusema wazi hata Magufuli alikuwa ana chafuliwa?
Rais hajatoa tamko Rasmi,isipokuwa kuagiza apelekewe taarifa juu ya tukio hilo...lets wait taarifa ifike kwake tusikie nini atazungumza.
 
Hatufurahii vifo,kutekwa wala uvunjifu wa amani kwa namna yyte ile.

Tuna uhakika hata Rais Samia hafurahishwi na hayo pia,kusimamia unachokiamini siyo uchawa.
Angekuwa hafurahishwa wote waliotajwa na SATIVA wangekuwa wamekamatwa.

Mkuu kwanini mnafanya haya? Mnapata nini?
Haumini tatizo la Mtanzania mwenzako ni lako pia au hadi likupate?

Ni kwa sababu ya Dini? Lakini ubaya hauna dini, tulipaza sauti kipindi cha Magufuli na Makonda. Unahisi tulifanya hivyo kwa kuwa hawakuwa wa dini yetu?
 
Acha hizi ngonjera za std 4. Jibu hoja, sijawahi tukana na ndiyo maana sijawahi pewa onyo wala kupigwa ban. Mkiambiwa ukweli, mnakimbilia mmetukanwa. Anyaway huna hoja acha niendelee na kazi zangu. Ukija na hoja nitakujibu baadaye.
sasa wewe wa Harvard university si ujieleze kiprofesa profesa binti wa kibantu? makasiriko ya nini sasa usbuhi hivi...

by the way,
umenifurahisha sana leo binti wa kibantu. kumbe ni binti mzuri kabisa alaaaa!

hoja ni moja tu mezani mtoa hoja kaeleza yote.

na kwa kifupi sana ni kwamba Dr.Samia Suluhu Hassan kipenzi cha waTanzania wote hawezi kuchafuliwa wala kudhoofishwa na hila wanazofanyiana vyama vya siasa wao kwa wao kwasabb ya vyeo na madaraka, hususani chama kinachoendelea na uchaguzi wake wa ndani hivi sasa 🐒
 
Back
Top Bottom