Organize na madalali wenzako mfungue chuo maeneo ya Mbezi kiwe kinatoa kuanzia certificate mpaka degree mbona mtapata sana wapangaji.Endelea Kuishi buza, unafikili wote tukiishi mbezibeach buza ataishi nani?
Uyo anajifurahisha tu, mimi dalali kitambo sitegemei wateja kutoka jamiiforum
Anaharibu mwenyewe.Unaharibu biashara ya mtu...
Nimeleta Kujifurahisha tu, ila akitokea mteja wa maana tunafanya kazi.Dalali sasa ume paniki, kama hutegemei wateja kutoka humu kwanini umeleta tangazo lako humu. Ki ukweli picha ulizoleta sio nzuri bora hata ungechagua, lazima ukubali kukosolewa Dalali Bingwa.
Bibi yako Kijijini anaishi kwenye Nyumba ya nyasi huko kijijini kwenu, mvua ikinyesha analoa.. Nakushauri huu muda unaoupoteza hapa kucoment ujinga kwa fikra kwamba unaniharibia, ungeutumia kutafuta pesa ukaboresha maisha bibi yako huko kijijini.Anaharibu mwenyewe.
Dogo kabla ya kupiga picha ulitakiwa ufagie na mweleze mwenye nyumba apitishe rangi mkono mmoja tu. Aidha utaishi chumba bila tiles miaka hii????Unaleta mbwembwe humu, wakati wewe unaishi tandale kwa tumbo, uswahili gari haifiki [emoji57]
Uyo anajifurahisha tu, mimi dalali kitambo sitegemei wateja kutoka jamiiforum
Uyo anajifurahisha tu, mimi dalali kitambo sitegemei wateja kutoka jamiiforum
Hahahaaa. You wish Mkuu.Watu hawafanani uwezo pimbi wewe, Unajifanya kujichetua hapa, wakati bibi yako analala kwenye kajumba cha Udongo uko kijijini kwenu
Conscious mind, think before they speak. Just do some little research on real estate market in dar es salaam.Hahahaaa. You wish Mkuu.
Dhana ya akina Bibi zetu kuishi vyenye vinyumba vya tope inatokana na wazazi wetu kuwatupa. Sorry but kwetu haiapply hata hivyo sababu My grandparents were educated people and did not live in abject poverty. Alhamdulillah.
Anyway you are just a middle man. Huingii gharama yeyote. Ongea na mteja wako mwenye nyumba mwambie ukweli kwamba maeneo yake yanahitaji renovation. Mna advantage ya location na wateja wapo you just need kuboresha mazingira. Ukweli unabaki kuwa nyumba zenu zitahitaji matengenezo.
Wewe kama hauna uelewe wa industry ya Realestate inavyoenda bora ukae kimya.Hahahaaa. You wish Mkuu.
Dhana ya akina Bibi zetu kuishi vyenye vinyumba vya tope inatokana na wazazi wetu kuwatupa. Sorry but kwetu haiapply hata hivyo sababu My grandparents were educated people and did not live in abject poverty. Alhamdulillah.
Anyway you are just a middle man. Huingii gharama yeyote. Ongea na mteja wako mwenye nyumba mwambie ukweli kwamba maeneo yake yanahitaji renovation. Mna advantage ya location na wateja wapo you just need kuboresha mazingira. Ukweli unabaki kuwa nyumba zenu zitahitaji matengenezo.
DuhChumba Choo ndani (Masta) na Sebule.
Maji ya dawasa/bomba, Umeme luku watatu.
Mahali: Mbezibeach Makonde
Kodi ya Mwezi: Tshs 100,000
Maelezo Zaidi: 0716442950
View attachment 1810693View attachment 1810694View attachment 1810695View attachment 1810696
Please Zuia hii KaruceeHahahaaa. You wish Mkuu.
Dhana ya akina Bibi zetu kuishi vyenye vinyumba vya tope inatokana na wazazi wetu kuwatupa. Sorry but kwetu haiapply hata hivyo sababu My grandparents were educated people and did not live in abject poverty. Alhamdulillah.
Anyway you are just a middle man. Huingii gharama yeyote. Ongea na mteja wako mwenye nyumba mwambie ukweli kwamba maeneo yake yanahitaji renovation. Mna advantage ya location na wateja wapo you just need kuboresha mazingira. Ukweli unabaki kuwa nyumba zenu zitahitaji matengenezo.