House4Rent Vyumba vya Kupanga-MbeziBeach

House4Rent Vyumba vya Kupanga-MbeziBeach

Bibi yako Kijijini anaishi kwenye Nyumba ya nyasi huko kijijini kwenu, mvua ikinyesha analoa.. Nakushauri huu muda unaoupoteza hapa kucoment ujinga kwa fikra kwamba unaniharibia, ungeutumia kutafuta pesa ukaboresha maisha bibi yako huko kijijini.
Acha dharau we mzee

Tuwekee picha ya home kwako

Isije kuwa una dalali nyumba za mbezi beach kumbe wewe mwenyewe unalaza mbavu zako mburahati kwa jongo[emoji1]
 
Ndio nasemaga siku zote madali wote wa mazao magari na viwanja na nyumba WALIPE KODI kido watakuwa seriously na majibu na kuacha kukwamisha biashara baina ya mteja na mwenye mali... embu ona shit anazotoa huyu dalali nonsense
Huyu Ni fala tu kaibukia kwenye kazi za watu.

Hana professionalism yeyote

Customer care mbaya .

Hawa ndio wale wahuni wanazipiga watu Cha juu .

Unaweza kuta ana jeuri kumbe hata bei ya bati halijui

Shwain
 
Ndio nasemaga siku zote madali wote wa mazao magari na viwanja na nyumba WALIPE KODI kido watakuwa seriously na majibu na kuacha kukwamisha biashara baina ya mteja na mwenye mali... embu ona shit anazotoa huyu dalali nonsense
Hawa soon biashara yao itaanza kuingia kitumbua kama madereva Tax uber ilivyowaliza kila mmoja akawa yupo free kusafirisha abiria uzur Technology haijawahi kumwacha mtu salama kama usipotaka kwenda nayo.
 
Ndio nasemaga siku zote madali wote wa mazao magari na viwanja na nyumba WALIPE KODI kido watakuwa seriously na majibu na kuacha kukwamisha biashara baina ya mteja na mwenye mali... embu ona shit anazotoa huyu dalali nonsense
Hawa soon biashara yao itaanza kuingia kitumbua kama madereva Tax uber ilivyowaliza kila mmoja akawa yupo free kusafirisha abiria uzur Technology haijawahi kumwacha mtu salama kama usipotaka kwenda nayo.
 
Back
Top Bottom