Kaka naongea hivyo kutokana na experience.Hadi kazi za UN siku hizi ni technical know-WHO.I don't mean to support it but that's the reeality
Nipo sure kuwa hata huko UN utachukuliwa na utabaki kusugua dawati tu. Ikija new management unapwaya hasa akaja Mzungu lazima utaona rangi zoote. Kama upo fit Jaribu INC coy PWC,KPMG EY ETC sio halmashauri.
<br />Wanaosoma udsm wasijidanganye,ktk interview 2likuwa na wahitimu wa udsm bt walikuwa vilaza ajabu! so kwa sasa wanaangalia competence ya mtu na sio chuo
vyuo vikuu nchi nzima havizidi vitatu..vilivyobaki vyote ni vya mchangani....
Wanaosoma udsm wasijidanganye,ktk interview 2likuwa na wahitimu wa udsm bt walikuwa vilaza ajabu! so kwa sasa wanaangalia competence ya mtu na sio chuo
Priority
SUA Pass mark 50
UDSM Pass mark 40
MUHAS Pass mark 50
ARDHI
MUCCOBS
MU
UDOM
SAUT
Endelezeni list
Mtu akisema anasoma Chuo kikuu,
haitaji hata kukitaja kwa jina. moja kwa moja amakuwa anamaanisha UDSM
Nafikiri Tanzania stili tuna chuo kikuu kimoja tu!
vyuo vikuu nchi nzima havizidi vitatu..vilivyobaki vyote ni vya mchangani....
How old are you?!
Labda kabla cjakujibu niulize kidogo! if u whr an employer na watu wa 2 wameapply wenye sifa sawa unazo zitaka na mmoja amesoma chuo ulicho soma na mwingine chuo tofauti,je ungemchuka yupi kati yao? tafakari!
ni hivi waajiri wengi wanatoka kwenye vyuo hivi 3, tena mind set zao wanaamini "old is gold" so kwa swali lako lazima waliosoma vyuo vingine ile kwao..........labda uwe umepanda pipa coz watz wengi wanaamini ukiwa unajua yai basi akili unazo na kila aliesoma nje basi kaelewa darasani.............pole yetu kwani mm mwenyewe ni undergraduate wa global publisher....aka venue universityLabda kabla cjakujibu niulize kidogo! if u whr an employer na watu wa 2 wameapply wenye sifa sawa unazo zitaka na mmoja amesoma chuo ulicho soma na mwingine chuo tofauti,je ungemchuka yupi kati yao? tafakari!
Elimu si cheti, ulichonacho Elimu ni jinsi gani unaweza kukalibiana na mazingila ulinayo nayo, unaweza kupata kazi kwa kuwa una GPA Kubwa lakini mwenye GPA ndogo akaachwa baada muda yule aliye achwa company inamchukua kwa garama kubwa kwasababu aliko kwenda kaonyesha uwezo mkubwa wa kuisaidia copy.
Kwahiyo lamsingi hapa nikwamba ukipewa nafasi add value to what you doing this make yourself to be more expensive.
Hiyo ndio inawasaidia wanafunzi wa udsm, maana si muda wote wanafikilia kusoma bali wanafikilia ni jinsi gani yakuleta mabadiliko katika mambo mbalimbali kwa mfano mabadiliko yoyote katika bodi ya mikopo na mikopo yenyewe hufanywa na wanafunzi hawa, wanajitokeza katika midahalo mbalimbali na kutoa mawazo yao mfano malumbano ya hoja ITV, Wamekuwa wa kwanza kupinga mwaka wa kwanza kukosa mikopo wakati wanasifa, na pia hawakubaliani na mambo mengi ambayo Jk anayafanya, na swala la mseveni kuzofisha upizani UGANDA, Ndio maana walimzomea jk na mseven walipo fika udsm. Haya mambo yanawa jengea uwezo wa kujiamini na kuleta mabadiliko sehemu yoyote walipo.
MENEJA AMBAYE HATAKI CHALENGE ANATAKA UWEUNAFANYA ANACHOTAKA YEYE TU HATAKAMA KIBAYA HAWEZI KUAJILI MWANAFUNZI TOKA UDSM.