Vyuo kadhaa kutoa majina ya waliodahiliwa muda wowote

Status
Not open for further replies.
vipi TCU mpaka sasa mbona kimy? , lini wanaachia majina yote ya walio chaguliwa kujiunga na elimu ya juu?
 
Kijana matokeo yanaanza kwanza chuo ulicho chagua then ndo tcu watakuja kumalizia kwahyo saiv pitia website za kila chuo ulicho chagua uchek kama wameshabandika majina ya walikuwa selected katika chuo chao.
Kwa mfano kwa sasa UDSM,IFM,SAUT,MAKUMIRA na KAMPALA wameshaweka majian yao.
 
naombeni kujuzwa,UDOM WATATOA lini majina ya walovhaguliwa?

Kaka kweli maswali mengine magumu kwani kuna mtu anafanyia udom humu hadi ajue lini wanatoa.... au kuna tangazo sehem kuwa udom wanatoa just nacte tu ndo walisema udom co muda watatoa so hakuna anaye jua kaka ila maswali.ako yangekuwa kwenye mtihani ningesema out of syllabus
 

humu kuna watu wengi.....may b hata top officials wa udom wapo,xo kama huelewi kaa kimya
 
Mbona ndugu hata kuandika hujui,hebu ona eti unaandika 'waliovhaguliwa' nn unamaanisha.
 
mpaka baadhi ya vyuo vinatoa majina TCU iko kimya!! imchukue mtu muda gani kutembelea web za vyuo vyote alivyovichagua kabla mtu hajapoteza muda!!
 
ya vjana mnahamu ya shule kweli n vizuri kwa taarifa n kwamba bado college moja ya info yakikamilika mda wowote yataapdetiwa..bye
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…