Tujaghe_Kokaya
Member
- Sep 1, 2014
- 47
- 10
Subiri leo ndugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naombeni kujuzwa,UDOM WATATOA lini majina ya walovhaguliwa?
Kaka kweli maswali mengine magumu kwani kuna mtu anafanyia udom humu hadi ajue lini wanatoa.... au kuna tangazo sehem kuwa udom wanatoa just nacte tu ndo walisema udom co muda watatoa so hakuna anaye jua kaka ila maswali.ako yangekuwa kwenye mtihani ningesema out of syllabus
Mbona ndugu hata kuandika hujui,hebu ona eti unaandika 'waliovhaguliwa' nn unamaanisha.