kwahyo may be vilitakiwa viwe vya ngap labd??
vp IFM haipo jamani
Kwa mzumbe hiyo namba 13 ni stahili kabisa hasa kwa masters mbaya kabisa. Waulize waliosoma pale.
ubora uko kwenye nini? Majengo? Mapr? Wingi wa wanafunzi....vigezo vitangulie kwanza, kitu hiki kinajirudiarudia, au ndo educational politics!
Hivi unaifahamu MIT? Utasema kwamba MIT sio chuo ni taasisi kwaio hawana ubora sio? Wewe ni punguan.i
Unaniita dogo af kumbe bado mwanafunzi. Daaah, laaanakum!
UNAIJUA HATA HAVARD WEWE?HAMNA CHUO TZ CHA KUFANANISHA NA HAvard..ni sawa na kujiita obama wa tz,akikusikia atakushangaa sana
kwel sjaona boya kama wewe pumb...fu, we ushaambiwa vyuo bora tz afu we unaleta habari za havard apa iv we mwanachuo au uko o,level...
Bugando is independent University, inaitwa: Catholic University of Health and Allied Sciences. It is no longer part of St. Augustine University.ha ha bugando ni st augustine .ujue kuanzia leo
Universities or Institutes vyote ni vyuo vya Elimu ya juu. Institutes nyingi zinasimamiwa na Bodi ya Itibathi ya Elimu ya Ufundi (National Council for Technical Education-NACTE) na carriculum yao ni competent based oriented wakati vyuo vikuu vipo chini ya usimamizi wa Tanzania Commission for Universitite-TCU. Lakini pia si Institute zote zipo chini ya NACTE, mfano Nelson Mandela African Institute of Science and Technology ipo chini ya TCU japo ni Taasisi. Kisheria taasisi ndizo zinazoruhusiwa kutoa elimu ya kuanzia ngazi ya Cheti hadi PhD wakati vyuo vikuu vinatakiwa kuanzia level ya degree lakini katika uhalisia hivi haviko hivo ndo maana ukifika pale Mzumbe kuna vijana wanakandamiza cheti lakini atakuambia na yeye yupo Chuo kikuu. Lakini pia kuna baadhi ya Taasisi vinatoa elimu kuanzia ngazi Masters mfano mzuri ni Nelson mandela African Institute of Science and Technology. Hivyo msibishane kuwa aliyeko Chuo kikuu ni bora kuliko aliyeko Taasisi ya Elimu ya Juu au aliyekoTaasisi ni bora kuliko aliyeko Chuo kikuu ingawa kimsingi aliyeko Taasisi alitakiwa awe bora maana carriculum yao ni competent based.akijulie wapi huyo.. ni Institute ila imekanyaga vyuo kwa ubora