yeah....wamevitupa mbali mno.
kwahyo may be vilitakiwa viwe vya ngap labd??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yeah....wamevitupa mbali mno.
mi nipo mzumbe,kweli kwa upande wa taarifa kwenye website tunaweza kushika nafasi hiyo kama wanavyodai,lakini hiyo ranking haijazalishwa kwa kuweka raiking accademically bali ni web ranking,ingekuwa accademically kairuki kingekuwa cha pili tanzania
achana na huu upuuz wana2haribia jukwaa le2
kwahyo may be vilitakiwa viwe vya ngap labd??
hii rank ni kwa masuara ya upaikanaji wa taarifa kwenye website ya chuo na sio ubora accademically ndo maana hubert kiruki ipo chini....ingekuwa accademically kingekuwa cha pili kairuku sawa?kwa hiyo mtoa maada hajaelewa nini kinaongelewa kwenye iyo list.kwanza hiyo organization inaitwa web ranking siyo accademic ranking...
- :yield:
Katika pitapita yangu kwenye website hii www.41cu.org/tz/ nikakutana na orodha ya vyuo vikuu bora Tanzania, nimeona sio vibaya tukishirikishana kwenye jambo hilo.1.University of Dar-es-salaam2.Sokoine University of Agriculture3.Muhimbili University of Health and Allied Science4.The Hubert Kairuki Memorial University5.St. Augustine University of Tanzania6.Tumaini University7.The Universty of Dodoma8.Ardhi University9.St. John University of Tanzania10.Teofilo Kisanji11.The State University of Zanzibar12.Mount Meru University13.Mzumbe University 14.Zanzibar University15.The University of Arusha 16.Muslim University of Morogoro17.International Medical and Technological University
Hivi unaifahamu MIT? Utasema kwamba MIT sio chuo ni taasisi kwaio hawana ubora sio? Wewe ni punguan.i
npo havard ya tz-udsm,tulia dogo
Sijasoma mzumbe ila wametumia kigezo gani iwe ya 13?
The Hubert Kairuki ipo ndan ya vyuo mia bora kwa Africa sikumbuki niyangapi kipo chenyewe na UDSM..Kwahiyo kwa rank za Africa kwa Tanzania kitakuwa cha pili y hapo kipo cha nne?
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Katika pitapita yangu kwenye website hii www.41cu.org/tz/ nikakutana na orodha ya vyuo vikuu bora Tanzania, nimeona sio vibaya tukishirikishana kwenye jambo hilo.1.University of Dar-es-salaam2.Sokoine University of Agriculture3.Muhimbili University of Health and Allied Science4.The Hubert Kairuki Memorial University5.St. Augustine University of Tanzania6.Tumaini University7.The Universty of Dodoma8.Ardhi University9.St. John University of Tanzania10.Teofilo Kisanji11.The State University of Zanzibar12.Mount Meru University13.Mzumbe University 14.Zanzibar University15.The University of Arusha 16.Muslim University of Morogoro17.International Medical and Rubish!! Kuna vyuo hapo bora hata OUT ingekuwepo.
Chuo kikuu bora ni kichwa chako mwenyewe. Watoto amkeni, someni kwa bidii.
Katika pitapita yangu kwenye website hii www.41cu.org/tz/ nikakutana na orodha ya vyuo vikuu bora Tanzania, nimeona sio vibaya tukishirikishana kwenye jambo hilo
.1.University of Dar-es-salaam
2.Sokoine University of Agriculture
3.Muhimbili University of Health and Allied Science
4.The Hubert Kairuki Memorial University
5.St. Augustine University of Tanzania
6.Tumaini University7.The Universty of Dodoma
8.Ardhi University
9.St. John University of Tanzania
10.Teofilo Kisanji
11.The State University of Zanzibar
12.Mount Meru University
13.Mzumbe University
14.Zanzibar University
15.The University of Arusha
16.Muslim University of Morogoro
17.International Medical and Technological University