Vyuo vikuu vya Marekani vilivyohusika katika maandamano ya Wapalestina: Netanyahu anasema ni Hamas

Vyuo vikuu vya Marekani vilivyohusika katika maandamano ya Wapalestina: Netanyahu anasema ni Hamas

Halafu kuna watu humu kila mada za kidini wanakimbilia mambo ya ushoga ya maneno ya Papa wa Wakatoriki.

Na hawajui mtu aliyeishi kwa kufanya ushoga mwingi sana wanaye mheshimu sana.
Kwa heshima ya wengi tunabaki kukaa kimya.

Wakibisha naweka maandiko.

Kwa mtizamo wa kawaida tu, maeneo yenye ushoga ni katika jamii zao.
 
Wana create sympathy ya magaidi wa kiislamu yasije jitoa muhanga kuua watu USA. Na USA wajanja, wanahakikisha hamas anapata kichapo cha mbwa koko huku wanajifanya kumuonea huruma hahaha
Umeshiba zako soya unabwabwaja tu
 
Back
Top Bottom