Vyuo Vikuu vya Tanzania vinazalisha zaidi wahuni kuliko hata wasomi

UMESEMA VEMA SANA, Ally.

Lakini:-
Unadhani hata wahusika wakisoma andiko lako kuna mtu anajali?????
 
UMESEMA VEMA SANA, Ally.

Lakini:-
Unadhani hata wahusika wakisoma andiko lako kuna mtu anajali?????
kuongea jengine na kutendea kazi swala jengine ila acha nitimize wajibu wangu wa kuongea . wenye kuzingatia watazingatia wenye kupuuza watapuuza
 
ni wazo zuri sana na nakubaliana na ww
 
ni kwel tuanzie kweny family level coz hapa ndo kwenye shina ila chuo pia kinachochea mabadiliko kwa wanafunzi hakun sheria inayomkea wanachuo kwa kitu chochote kile.

ngono vyuon linaonekana ni jambo la kawaida tu
Approximately kwa Tanzania mtu alieabza la kwanza miaka 7 anaingia degree na miaka 20 huyo tayari ni mtu mzima chuo anapita TU kufanya finalizations Professor can't tell him or her nothing.
 
Solutions

1.Vyuo viache kuajiri malecturer wenye matokeo mazuri darasani mwalimu anatakiwa kuwa na skills kama

. presentation skills
. Good communication skills
. Creativity
. Well informed

unaajiri mwalimu ana GPA ya 4.5 hana skills zote hapo juu alafu anapenda ngono balaa whad you expect

2. Toa kitu inaiwa General study (GS) na Development study (DS) ingiza kitu inaitwa Moral study from early child hood to chuo kikuu

3. Encourage Courses that reflect real life experience toa hayo makozi ya hovyo

4. Not everyone deserve a bachelor degree fanya screening ya maana kwa watu waingiao vyuoni
 
Approximately kwa Tanzania mtu alieabza la kwanza miaka 7 anaingia degree na miaka 20 huyo tayari ni mtu mzima chuo anapita TU kufanya finalizations Professor can't tell him or her nothing.
hizi ni nadharia kuwa kwa tz mtu akifikisha 20 years anajielewa. lakini reality kuwa bado huyu mtu sio mutual hawez kujilewa wala kujitegemea wenyewe coz hajatengenezewa mazingira tokea hapo mwanzo.

ndo maana thamani ya mwanaume Tanzania inaonekana kuanzia miaka 25+ hapa ana uwezo wa kujitegemea 95%
 
Perfect chief 🤜🤜🤜
 
I concur with you, It's for some of them ambao at the age of 23 they can come with a business idea and implementation
 
Ukipewa chakula unakula
Sasa ina maana wewe chuo kama ulipitia ukapewa unga utatumia sabb tu umepewa
tafsiri yangu ukipewa condom wakat kuna kishawish cha kike mbele akili yako utawaza kuitumia na sio kuiweka ndan swala la sex sio swala la akili ni swala la emotional zaidi unawez kumwaga ndani alafu ukajuta baada.

swala la unga unaweza kutumia kutokana na mood uliyokuwa nayo mfano ukiwafata watuamiaj weng wa unga watakwambia sababu za kutumia ni vishawishi na msongo wa mawazo.

sasa unampa unga mtu wenye mastress kichwan alafu unamwambia ukitumia hii kitu uta feel G unategmea nn
 
I concur with you, It's for some of them ambao at the age of 23 they can come with a business idea and implementation
Thank you for understanding me, except for this concept that a child who reaches 18 years old is an adult.

haipo tunaitaj km miaka 10 mbele kuifikia
 
Sio kweli bruh
Labda kwa shule zetu hizi za kayumba ambapo mtt anaenda tu shule na kurudi hana timetable yoyote yeye ilimradi kengele ilie arudi na nyumbani hakuna ufuatiliaji
Ila shule nyingine mazingira na timetable za pale zinamjenga mtt kuanza kufikiria kama mtu mzima akifikisha 10 12 yrs tayari anajielewa
 
Labda vyuo vimetofautiana.

Tatizo la wanafunzi kujiuza halipo kama watu wanavo taka kulielezea hapa. Nimesoma SUA na kuona jamii ya pale inavoishi.

Wanafunzi wengi hawajiuzi, kuna mahusiano kati ya wanafunzi kwa wanafunzi(sehemu kubwa), Wanafunzi na watu wazima(staffs na nje ya chuo) - hawa ndo mnawaita wadangaji.

Makundi yote hayo mawili yapo kwenye jamii yeyote ile sio tu jamii ya wanafunzi, hivyo sio kitu cha kustaajabu.

Hili jambo watu wabalikuza sana na kufanya jamii iamini kika binti alieko chuoni ni ana jiuza/Danga. Kitu ambacho sio kweli.

Ova.

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
ndani ya watu million 61 . asilimia kubwa ni masikini kuna interview moja ya Jk kikwete aliojiwa akaulizwa unasikitika kitu gani ambacho umekiona akijabidilika ndani ya awamu yako.

alisema nasikitika kuacha nchi ikiwa bado ina masikini wengi sana.

mkuu huku darasa moja lina wanafunzi 400- 450.

watoto hawa 400 inawezekana 10 tu ndo wanatime table nyumbani kwao.

ukweli ni kwamba tunapeleka chuo watoto wengi wa kimasikini ambao bado hawajielewa pia hawawezi kujitegemea na wengi wao wanasoma kwa ada kutoka bodi ya mikopo ya elimu ya juu
 
Shukrani mkuu kwa kuanza na neno

"Labda vyuo vimetofautiana"..

swala la kujiuza kwa watoto wa chuo halipo wazi sana kama hawa dada zetu ambao unajua ukienda sehem fulani kama TEMEKE SUDAN, UWANJA WA FISI, RIVER SIDE utawakuta wamepangana wanasubiri wateja.

Swala la watoto wa chuo biashara zao zinaenda kwa akili aidha kuna agent au huyu mwanafunzi ana mahusiano na mbaba mtu mzima wenye maisha yake.

tafisri ya ndani kabisa huyu mwanafunzi ana date na mbaba wenye family yake inakuja kuwa huyu bint ana mapenz ya kwel na huyu bwana ila bint yupo kwa ajili ya kupata pesa.

Sasa hili ni swala laa wazi kuwa huyu dada anajiuza maana yake anatoa penzi ili apate pesa
 
Walimu wanaoomba rushwa ya ngono ni wahuni.
Wanafunzi wezi wa mitihani ni wahuni.
Wanafunzi wanaotoa rushwa ya ngono ili wafaulu ni wahuni.
Wanafunzi wanaoandika xaxa badala ya sasa ni wahuni.
Wanaoandika xaxa badala ya sasa ni janga kubwa sana siku hizi, huwezi kutofautisha mwandiko wa graduate na darasa la tano
 
Hii nchi inakumbana na changamoto nyingi zinazosababishwa na utandawazi. Hivyo mtu conservative kama ndugu Ally Nasoro unayeona kwamba kuvaa nguo ndefu zisizobana ndo maadili ya kupigania, huwezi kuelewa vijana wanaograduate.

Wadogo zenu wanavaa mijuba na kutoa shkamoo za kutosha ila laiti ungewahi “kusocialize” vizuri na hao vijana wa kike by the time wanahitimu sekondari, basi ungejua kwamba hamna chocho ya ‘uhuni’ as you put it ambayo hawaijui. Wanawaektia tu huko nyumbani.

Wakija chuo wanapata uhuru wa kufanya mambo ambayo wamekuwa wakitamani kuyafanya muda mrefu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…