Tonny Mgonja
New Member
- Apr 20, 2023
- 4
- 1
Naombeni mnitajie list ya vyuo vinavyofundisha software engineering kwa hapa Tanzania na pia naombeni ushauri kuhusu hii programme.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UdomNaombeni mnitajie list ya vyuo vinavyofundisha software engineering kwa hapa Tanzania na pia naombeni ushauri kuhusu hii programme.
Ebu angalia DIT ,udsm au Must ,SAUT,st JosephNaombeni mnitajie list ya vyuo vinavyofundisha software engineering kwa hapa Tanzania na pia naombeni ushauri kuhusu hii programme.
MkuuEbu angalia DIT ,udsm au Must ,SAUT,st Joseph
Wanapunguza mrundikano wa watoto wa wakulimaUdom usiende pagumu utadsco
Angalia dit,udsm,must uta enjoy
Duh ssa Mbna changamoto mkuu, nimejribu kufuatulia ni vyuo viwili tuu kwa hapa Tanzania, ambavyo ni UDOM na RUKUUdom usiende pagumu utadsco
Angalia dit,udsm,must uta enjoy
Hiyo RUKU ni chuo cha ruaha? Kama jibu ni ndio basi jua hawafundishi software engineering. Kozi yao haitambuliki na bodi ya wahandisi Tanzania.Duh ssa Mbna changamoto mkuu, nimejribu kufuatulia ni vyuo viwili tuu kwa hapa Tanzania, ambavyo ni UDOM na RUKU
Chuo kina wastani wa 30 unasema kigumu, ingekua SUA yenye wastan wa 50 ungesemaje?Udom usiende pagumu utadsco
Angalia dit,udsm,must uta enjoy
Mkuu nlitania TU wew nenda kasome kudisco ni matokeo naamini utapambana tuDuh ssa Mbna changamoto mkuu, nimejribu kufuatulia ni vyuo viwili tuu kwa hapa Tanzania, ambavyo ni UDOM na RUKU
Telegram kozi zipo nyng tena freeWebsite ipi naweza jifunza ukuachana na Udemy
Unaota ndugu amka hyo 30 umeiona wap?Chuo kina wastani wa 30 unasema kigumu, ingekua SUA yenye wastan wa 50 ungesemaje?