A
Anonymous
Guest
Vyuo vingi vya Kati vya Afya na Sayansi Shirikishi kuna ukiukwaji mkubwa wa haki za wanafunzi, wapo wanaofelishwa makusudi katika mitihani yao ya practical.
Walimu wanatumia nafasi hiyo hasa kwa wanafunzi waliotofautiana nao au waliowatongoza wakawakataa, matatizo binafsi ya Walimu na bifu kwa wanafunzi wanaotambua haki zao, Serikali ifuatilie hili kwa umakini hasa katika vyuo inavyovimiliki hali hii imekithili sana.
Kuna Wanafunzi walifelishwa makusudi katika mitihani ya practiclal ilikuwa ni Mwaka 2023 Semester ya pili, Mwalimu mmoja wa kiume akiwa kama external examiner alipewa jukumu la kusimamia mitihani ya vitendo, siku hiyo aliyokuwa akisimamia ilikuwa ni siku ambayo mchumba aliyepanga kumuoa alikuwa anafunga ndoa na Mwanaume mwingine.
Hali hiyo ilipelekea afelishe Wanafunzi wengi wa kike kwa makusudi bila kujali hatima yao, hata Examiner mwenzie hakuweza kumkabili kutokana na hasira aliyokuwa nayo.
Wizara ya Elimu na Wizara ya Afya ziweke mazingira wezeshi hasa wakati wa mitihani ili vitendo hivi vya kikatili Psychologically visiendelee kuwepo kwa Wanafunzi.
Walimu wanatumia nafasi hiyo hasa kwa wanafunzi waliotofautiana nao au waliowatongoza wakawakataa, matatizo binafsi ya Walimu na bifu kwa wanafunzi wanaotambua haki zao, Serikali ifuatilie hili kwa umakini hasa katika vyuo inavyovimiliki hali hii imekithili sana.
Kuna Wanafunzi walifelishwa makusudi katika mitihani ya practiclal ilikuwa ni Mwaka 2023 Semester ya pili, Mwalimu mmoja wa kiume akiwa kama external examiner alipewa jukumu la kusimamia mitihani ya vitendo, siku hiyo aliyokuwa akisimamia ilikuwa ni siku ambayo mchumba aliyepanga kumuoa alikuwa anafunga ndoa na Mwanaume mwingine.
Hali hiyo ilipelekea afelishe Wanafunzi wengi wa kike kwa makusudi bila kujali hatima yao, hata Examiner mwenzie hakuweza kumkabili kutokana na hasira aliyokuwa nayo.
Wizara ya Elimu na Wizara ya Afya ziweke mazingira wezeshi hasa wakati wa mitihani ili vitendo hivi vya kikatili Psychologically visiendelee kuwepo kwa Wanafunzi.