Vyuo vya kikatoliki

Vyuo vya kikatoliki

Wakatoliki ndio wepi wale wanaokulana tigo wao kwa wao?
 
Pole sana ndg yng. Hao wakatoliki nao taratibu zao ndizo zinawataka wafanye hayo. Fuata ushauri wa hao ndg hapo juu au nakushauri nenda kwa DVC mwambie sheria hiyo huitaki na akuandikie barua ya kuacha chuo kabisa then uapply chuo cha imani yako au uende pale MUM Morogoro uvalishwe vipedo, dela na kibakuli.
Kama hiyo huwezi jinyamazie na piga msuli kimya kimya huku ukitubu kwa kufanya mitihani Jumamos!
Naomba pia vyuo hivyo waweke na sheria ya kula kitimoto, kumbikumbi, chai na kambale ili ulalamike vizuri.
Washauri na wenzio wawe wanasoma Joining instructions na sheria nyingine kabla ya kujiunga na chuo chochote.
Ubarikiwe!
Waambie na wenzio

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

bahati yako nimefunga, ningekupa tusi moja la tani 50 ili uwe na ustaarabu siku nyingine, unaizungumzia MUM hivyo lengo lako nn?
 
RC ni taasisi ya kuigwa hapa tz kwa kuwa na mipango endelevu na uwekezaji.Bila kuwekeza kwenye vyuo,ungesoma wapi?Halafu umelazimishwa kusoma hivyo vyuo?Bila shaka ulifuata ubora wa elimu ktk hivyo vyuo?Kwanin huku chagua Mogorogoro Islamic univ.?Ajabu mnasoma na amuelimiki! Na leo iwe mwanzo na mwisho kuleta thread za sabatonism,mat.ako wewe!

na wewe kuku angalia mifano unayotoa inamaana hakwenda MUM kisa elimu ya pale sio bora ndo maana akaenda huko?

Haya makitu ni double standard tu leo serikali inawakataza mfumo wanautumia mivumoni islamic kisa wakati wanaanzisha shule waliomba kibali kwao kwanini sasa hawafundishi alhamisi na ijumaa, wakati wao wanafundisha jumamosi na jumapili, kwanini serikali isiwalaumu na hao vyuo vikuu vya rc?

Pili kuna shule ya wasabato iko arusha wao wanasoma miezi mitatu wanne likizo so kila baada ya miezi mitatu wanaenda likizo kwa mwaka wanalikizo tatu ambao ni mwezi wa nne, nane, na wa kumi na mbili lakini serikali ipo kimya haiwafanyi kitu
 
RC ni taasisi ya kuigwa hapa tz kwa kuwa na mipango endelevu na uwekezaji.Bila kuwekeza kwenye vyuo,ungesoma wapi?Halafu umelazimishwa kusoma hivyo vyuo?Bila shaka ulifuata ubora wa elimu ktk hivyo vyuo?Kwanin huku chagua Mogorogoro Islamic univ.?Ajabu mnasoma na amuelimiki! Na leo iwe mwanzo na mwisho kuleta thread za sabatonism,mat.ako wewe!

nashukuru kwa hayo uloyapost lakin hujui unalofanya hata sasa!
 
Pole sana ndg yng. Hao wakatoliki nao taratibu zao ndizo zinawataka wafanye hayo. Fuata ushauri wa hao ndg hapo juu au nakushauri nenda kwa DVC mwambie sheria hiyo huitaki na akuandikie barua ya kuacha chuo kabisa then uapply chuo cha imani yako au uende pale MUM Morogoro uvalishwe vipedo, dela na kibakuli.
Kama hiyo huwezi jinyamazie na piga msuli kimya kimya huku ukitubu kwa kufanya mitihani Jumamos!
Naomba pia vyuo hivyo waweke na sheria ya kula kitimoto, kumbikumbi, chai na kambale ili ulalamike vizuri.
Washauri na wenzio wawe wanasoma Joining instructions na sheria nyingine kabla ya kujiunga na chuo chochote.
Ubarikiwe!
Waambie na wenzio

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Hahahahahaha we jamaa umwenichekesha sana,yaaan nilikua nmenuna kweli tangu niamke.bt nmecheka san at first time....kwel humuvkuna vichwa vibovu hahahahahah
 
Pole sana ndg yng. Hao wakatoliki nao taratibu zao ndizo zinawataka wafanye hayo. Fuata ushauri wa hao ndg hapo juu au nakushauri nenda kwa DVC mwambie sheria hiyo huitaki na akuandikie barua ya kuacha chuo kabisa then uapply chuo cha imani yako au uende pale MUM Morogoro uvalishwe vipedo, dela na kibakuli.
Kama hiyo huwezi jinyamazie na piga msuli kimya kimya huku ukitubu kwa kufanya mitihani Jumamos!
Naomba pia vyuo hivyo waweke na sheria ya kula kitimoto, kumbikumbi, chai na kambale ili ulalamike vizuri.
Washauri na wenzio wawe wanasoma Joining instructions na sheria nyingine kabla ya kujiunga na chuo chochote.
Ubarikiwe!
Waambie na wenzio

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Hahahahahahaha dah! Katika mijitu yenye ushauri wakukata maini na yenye roho mbaya wewe umo kwenye list
 
Kuna methali inasema "Mtaka cha uvunguni lazima ainame"
 
Kijana kipo chuo pale Morogoro cha Kiislamu nikushauri tu kwamba waweza kwenda pale kusoma ili kuepuka hayo matatizo ya jumamosi
 
"Mtaka cha uvunguni sharti
ainame"

"JK, anasema 'UKITAKA KULA' SHARTI, NA WEWE ULIWE"

So! means that;
[‘if you
want something that’s beneath the
bed you have to bend’ (in order to
get it)]
 
Jamani nauliza hivi kwanini vyuo vya kikatoliki vinalazimisha watu kufanya mitihani siku ya jumamosi?,ila jumapili hawawezi?na wakikujua wewe ni wa jumamosi ndio wanakuambia ukubali kwa kuweka sahihi yako kuwa utakuwa unafanya mitihani siku hiyo na ukikataa unadisco chuo?,

huyu jamaaa ni hatari sana, ukimkaribisha kwako anaweza kulazimisha akalale chumbani kwako unako lala na mkeo wakati kapewa chumba cha wageni.
 
Wewe ni msabato?

Kwani taratibu za chuo zinasemaje kuhusu kufanya mitihani jumamosi? Na je ulisoma vizuri sheria, kanuni na taratibu za chuo? Kama vipi hamia chuo cha kisabato (University of Arusha) kuliko kuendelea kupiga kelele huku ukiteketea.
 
Back
Top Bottom