Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Kwa nini?
Hii dini ya MUSOMA inakomaa na agano la kale tuu bila kujua Yesu alikwisha tafsiri sheria za kale purposively siku njingi
sio wasabato na waislamu problem kila mtu ana haki ya kuabudu wapewe nao mda wa kupractice their faith au ielewe kama wanachuo hawaruhusiwi kuabudu ambacho ni kitendo kinyume na katiba ya nchi basi vyuo kama st augustine university ,luaha catholic university college,tumain wafanye mtihani juma pili maana sisi ni wateja wao tunatoa fedha nyingi kama tuition fee na accomodation nyinginezo wakubali matakwa ya wateja wao sisi wanavyuo yaani wanafunzi
we ndo mnafik mi nasoma st Ag pale hatujawah kufanya mitihan j'2 wewe
Mungu akusamehe hujui ulisemalo... Next time usiite watu vilaza! Heshimu imani za watu sio kutusitusi tu
Vyuo viko vingi kwa nini uende kwa hao illuminati?
Au acha shule kabisa,usijeikosa mbingu mwaya kwa kufanya mitihani jumamosi,chuo kitu gani bwana,piga chini
wasabatho bwana
Unajua historia ya Usabato....Unajua Kaburi la Hellen G White lina nini..??
Usitake nifunguke hapa...
Huwa hawana tofauti...Muislam yupo radhi aungane na Msabato kuushambulia Ukristo...
Wote nyie ni walalamikaji...Kila kitu mnadhani.mnaonewa....Wote nyie mna Inferiority complex....
Ni hayo tuu kwasasa..
Hakuna msabato mwenye inferiority complex kwani spiritually we are superior than any religious assembly, inferiority complex mnayo nyie mnaovaa tshirt zimeandikwa I M CATHOLIC & PROUD.
Ha ha ha ha...Superior In Spirituality kwa mijibu wa nani...?
Halafu ngoja nikuambie kitu wewe! Mngekuwa hamna Inferiority Complex mngehakikisha Wasabato wote mnasoma hapo UoA....
Wasabato hamtaki kwenda kwenye shule zenu mnakimbilia za Kikatoliki....Mkifika huko mnataja kuleta upuuzi wenu wa Kisabato....Shule ya Notre Dame Sec hapa Arusha kuna Wasabato karibia 20 na wote lazima wafuate sheria za Katoliki na Misa wanaingia..Hawa ndo Wasabato wanajielewa...Ila wakileta fyoko wanatupiliwa mbali waende TAS
Nilijua naongea na mtu mzima kumbe mtoto wa secondary, kafanye homework mwambie padri wako aje tuongee.
Hajaelimika wewe, elewa mada usiwe mpuuzi!Pole sana ndg yng. Hao wakatoliki nao taratibu zao ndizo zinawataka wafanye hayo. Fuata ushauri wa hao ndg hapo juu au nakushauri nenda kwa DVC mwambie sheria hiyo huitaki na akuandikie barua ya kuacha chuo kabisa then uapply chuo cha imani yako au uende pale MUM Morogoro uvalishwe vipedo, dela na kibakuli.
Kama hiyo huwezi jinyamazie na piga msuli kimya kimya huku ukitubu kwa kufanya mitihani Jumamos!
Naomba pia vyuo hivyo waweke na sheria ya kula kitimoto, kumbikumbi, chai na kambale ili ulalamike vizuri.
Washauri na wenzio wawe wanasoma Joining instructions na sheria nyingine kabla ya kujiunga na chuo chochote.
Ubarikiwe!
Waambie na wenzio
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
bora kipi mkuu? tigo yako iangalie juu au iliwe?