1. Havijulikani vinatumia mitaala ipi
2. Havina likizo kwa watoto for the whole year
3. Mitihani anatunga nani na inakuwa moderated vipi.
4. Walimu wana sifa kweli za kufundisha? haijulikani wanatokana na nini na qualification zao ni zipi.
5. Vya kilimo/mifugo ndiyo usiseme. MATI Mtwara ni kambi ya kupata manamba na wala si kutoa taaluma kwa vijana. kazi pale ni kulima korosho na mazao ya kuuza. Wanafunzi ni MANAMBA WA MASHAMBA KAMA ILIVYOKUWA KWENYE MIKONGE
........................................................................................................................................................................................
6. VURUGU TUPU
2. Havina likizo kwa watoto for the whole year
3. Mitihani anatunga nani na inakuwa moderated vipi.
4. Walimu wana sifa kweli za kufundisha? haijulikani wanatokana na nini na qualification zao ni zipi.
5. Vya kilimo/mifugo ndiyo usiseme. MATI Mtwara ni kambi ya kupata manamba na wala si kutoa taaluma kwa vijana. kazi pale ni kulima korosho na mazao ya kuuza. Wanafunzi ni MANAMBA WA MASHAMBA KAMA ILIVYOKUWA KWENYE MIKONGE
........................................................................................................................................................................................
6. VURUGU TUPU