Vyuo vya private na migpa mikubwa kwa nini?

Vyuo vya private na migpa mikubwa kwa nini?

Mpigamsuli

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2012
Posts
3,885
Reaction score
582
Wakuu nimefanya utafiti kwenye vyuo vya BINAFSI,,nikagundua kwamba wanagraduate na G.P.A kubwa sana yaani unakuta G.P.A kubwa zimejaa sana ! ! Hebu tujadili wakuu kwa nini hivi vyuo vya PRIVATE wanapewa G.P.A kubwa sana je ni sababu za kibiashara
 
mkuu mtoa uzi 'UMESAHAU hujaweka REFERENCES(marejeleo)
 
Wakuu nimefanya utafiti kwenye vyuo vya PRIVATE kama SAUT,RUCo(Ruaha university college),MWENGE UNIVERSITY,JORDAN UNIVERSITY,ARUSHA UNIVERSITY,ST.JOSEPH UNIVERSRTY,TUMAINI DAR,TUMAINI IRING,TUMAINI MAKUMIRA,ST.JOHN,TEKU,SEKOMU,EUKENFORD,nikagundua kwamba wanagraduate na G.P.A kubwa sana yaani unakuta G.P.A za 4 zimejaa hadi unashangaa ! na tunajua kabisa asilimia kubwa ya wanafunzi wanaochukuliwa kwenye hivi vyuo vya PRIVATE wamepata division three zile mbaya mfano,15,16,17,! Hebu tujadili wakuu kwa nini hivi vyuo vya PRIVATE wanapewa G.P.A kubwa sana je ni sababu za kibiashara
Rudi kamalize dose yako milembe
Nimesoma Saut,mwaka wetu hakuna mtu aliyekua na GPA ya 4!!
Na kwa kuthibitisha ulongo na unafiki wako kila mahafari ya kila mwaka watu wenye GPA kali hutangazwa na kua TA
Nenda Saut kaulize kuanzia mwaka 1998 kuna GPA kali ngapi??
Usipende kulopoka,kwan domo lako usipolifungua haliwezi nuka!!!!
 
Rudi kamalize dose yako milembe
Nimesoma Saut,mwaka wetu hakuna mtu aliyekua na GPA ya 4!!
Na kwa kuthibitisha ulongo na unafiki wako kila mahafari ya kila mwaka watu wenye GPA kali hutangazwa na kua TA
Nenda Saut kaulize kuanzia mwaka 1998 kuna GPA kali ngapi??
Usipende kulopoka,kwan domo lako usipolifungua haliwezi nuka!!!!

Utafiti wa masaa,ndo unasema huo utafiti??
Nenda kaweke kambi ya miezi au mwaka ndo uje useme kwamba umefanya utafiti!!!
 
iyo mwenge unayosema kuna first clas 2, sijui unapga msul kwa makalio
 
Utafiti wa masaa,ndo unasema huo utafiti??
Nenda kaweke kambi ya miezi au mwaka ndo uje useme kwamba umefanya utafiti!!!

Wewe nimezunguka vyuo vyote na pia nimeona mi G.P.A yenu ni mikubwa sana unakuta jitu lina 4.0 lakini kichwani zero
 
Lakini vyuo vya private wanagawa G.P.A kama njugu ilhali wengi ni vilaza

Kumbe umedisco??
Toa mfano jina la mwanafunzi,kozi yake,reg no na mwaka wake aliomaliza chuo!!
Mbili fanya utafiti wa kisomi,matokea ya form four yametoka juzi tu hapa,kwenye top ten kuna government xcul?
Tatu wenye three au two ndo hutoka na GPA kali university than wenye division one zao
 
Kuliko nisome chuo cha private,bora niishie form 6 tu.

Mkuu kuna mwalimu mmoja anatoka chuo cha TUMAINI alikuja kufundisha partime taboraboys yaani hajui kitu linakazi ya kujisifia eti ana G.P.A kubwa
 
Mkuu kuna mwalimu mmoja anatoka chuo cha TUMAINI alikuja kufundisha partime taboraboys yaani hajui kitu linakazi ya kujisifia eti ana G.P.A kubwa

nashukuru mungu cjawah fundishwa na huo uozo.
 
Kumbe umedisco??
Toa mfano jina la mwanafunzi,kozi yake,reg no na mwaka wake aliomaliza chuo!!
Mbili fanya utafiti wa kisomi,matokea ya form four yametoka juzi tu hapa,kwenye top ten kuna government xcul?
Tatu wenye three au two ndo hutoka na GPA kali university than wenye division one zao

Wewe halafu MANAGEMENT nyingi za vyuo vya private wanawakomand WAHADHIRI wawape G.P.A kubwa
 
kuna wenye div 1 waliamua kusoma private hao nao unawachukulia vp
 
Wewe nimekwenda MWENGE nikakuta matokeo kwenye notice board yaani ni miG.P.A ya 4 Kwenda juu

Hua sina tabia ya kutukana watu lakini wewe inabidi
Hv matokeo gani yanawekwa notice board kunakua na calculation za GPA?? Najua matokea hutoka kwa mtindo wa marks and grade
GPA nenda kwenye saris,aris yako
Acha pumba kijana
 
Back
Top Bottom