madam boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 701
- 742
Leo tutakuwa na LE MUTUZ, W. L. Malecela.
Mkuu ,heshima
kwako, nikukaribishe katika interview fupi ya Jamii forum.
Wadau mnakaribishwa kuuliza maswali, ila nina maswali machache kwake.
1:le mutuz ni mtu wa aina gani, na anajishughulisha na nini kwa ambao hawakufahamu vizuri, nikiwemo mm
2:Wewe ni mtu ambae unajulikana sana, ninaweza kusema labda Dar nzima wanakufahamu. Na hapa jf unatumia jina lako halisi, je kwa yanayoendelea humu jf. Pengine mada ambazo zinakuhusu ww sio nzuri kwako, comment ambazo sio nzuri kwako,
Unawezaje kuzihimili .
2:Na njee ya Jf, kuna Dada anaitwa mange Kimambi,Je unaugomvi nae,?
Na je kwa anayosemaga kuhusu ww, wewe kama mwanaume unajisikiaje, na Familia yako, pamoja na jamii inayokuzunguka kwa ujumla inakuchukuliaje ?🙂
Mkuu ,heshima
kwako, nikukaribishe katika interview fupi ya Jamii forum.
Wadau mnakaribishwa kuuliza maswali, ila nina maswali machache kwake.
1:le mutuz ni mtu wa aina gani, na anajishughulisha na nini kwa ambao hawakufahamu vizuri, nikiwemo mm
2:Wewe ni mtu ambae unajulikana sana, ninaweza kusema labda Dar nzima wanakufahamu. Na hapa jf unatumia jina lako halisi, je kwa yanayoendelea humu jf. Pengine mada ambazo zinakuhusu ww sio nzuri kwako, comment ambazo sio nzuri kwako,
Unawezaje kuzihimili .
2:Na njee ya Jf, kuna Dada anaitwa mange Kimambi,Je unaugomvi nae,?
Na je kwa anayosemaga kuhusu ww, wewe kama mwanaume unajisikiaje, na Familia yako, pamoja na jamii inayokuzunguka kwa ujumla inakuchukuliaje ?🙂