Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,822
Katika kile kinachotafsiriwa kama kuweka rekodi sawa, Wa Afrika Kusini wamekumbusha juu ya nchi zilizoisaidia katika kupambana na utawala wa kibaguzi waliopitia chini ya Makuburu.
Ukiwa ni muedelezo wa mjadala wa Xenophobia, Mkenya mmoja aliandaa makala na kuichapisha katika ukurasa wa Twitter. Kilichotokea ni kama ifuatavyo 👇👇👇
NAWASILISHA.
Ukiwa ni muedelezo wa mjadala wa Xenophobia, Mkenya mmoja aliandaa makala na kuichapisha katika ukurasa wa Twitter. Kilichotokea ni kama ifuatavyo 👇👇👇
NAWASILISHA.