joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
No Kenyan loses sleep?boss, no Kenyan loses sleep over Tanzanian actions and stupidity,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No Kenyan loses sleep?boss, no Kenyan loses sleep over Tanzanian actions and stupidity,
Kumbe hata historia ya nchi yako huijui hahahahah waulize wazee wako hilo gari lilitoka wapi ilikua land rover tenaHio siwezi amini bila evidence
Lete ushahidi wa haya madai yako na hadithi za kaka sungura. Kumbukumbu za Mau Mau zipo, isipokuwa Ethiopia na Emperor Haile Selasie, hamna nchi yoyote ya Afrika ambayo iliwapa hifadhi wala kuwasaidia Mau Mau. Mababu zetu wakimwaga damu msituni, wakipigana na beberu kwa mtutu wa bunduki na mabomu, nyinyi mlikuwa mmeketi kwenye meza moja na beberu mkimuomba aendele kuwa mkoloni kwa miaka miwili zaidi. FYI: Jomo Kenyatta hakula kiapo cha kujiunga na Mau Mau. Huwezi badilisha historia.Tanzania iliwasaidia pia esp. TANU uliza Kenyatta gari yake ya kwanza nani alimnunulia na nani alilipa mwanasheria wake wakati anashitakiwa na serikali ya kikoloni!
Kiswahili kilianzia visiwa vya Mombasa, Zanzibar na Pemba sio huko bara la Tanzania unakoishi. Nyie wa bara mliiga kiswahili kutoka zanzibar nasi tukaiga kutoka Mombasa. Hakuna kiswahili mlichotupa.[emoji23][emoji23]usaidizi mgabi? au sio tumewapa na kiswahili bure kabisa lakini unaandika upumbavu hapa
Pambaneni tu nasi. Sisi hata hatujui ninyi ni akina nani. Sisi tuko busy kujenga uchumi wetu hata tunashangaa kusikia eti kuna watu mahali fulani wanakosa usingizi wakituwaza usiku na mchana. Kenya haiwezi kufa eti kwa sababu nchi hafifu na dhaifu kama Tz wameamua kufunga border. Wakati wa Nyerere mlifunga border na maisha yetu iliendelea tu kama kawaida. Ninyi hamna umuhimu wowote kwetu hata mahindi na bidhaa zingine mnayoleta huku tunaweza kuyanunua kutoka nchi zingine ikiwemo Mexico na Egypt. Sisi hatuwazi mambo ya East Afrika sisi tunafanya global trade. Majani chai yanaenda Pakistan na Egypt. Kahawa na textiles yanaenda USA. Maua yanaenda UK na Uholanzi. Vegetables yanaenda EU. Remittances pia tunapata kutoka Wakenya wanaoishi ulimwenguni kote. Sisi tunahitaji Tanzania kwa jambo lipi?Nigeria pia walipigana bila kusaidiwa lakini walisaidia nchi zingine, vivyo hivyo kwa Algeria, japo ni waarabu lakini walitoa mafunzo na silaha nyingi kwa ukombozi wa watu weusi kusini mwa Afrika, wao pia walipigana vita wakati wanadai Uhuru wao.
Cuba, walipigana sana wakati wa kudai Uhuru wao, lakini ndio wanaongoza kwa kupigana vita kusini mwa Africa, japo sio waafrika na wala sio watu weusi.
Ninyi ni watu wabinafsi hamfai kabisa kushirikishwa katika lolote hapa Africa. Magufuli anafanya vizuri sana akiwabania katika, 1)EPA, 2)Single tourists visa, 3)Tulipokataa kumchagua Amina Mohame AU, 4)Tulipozikamata na kuziuza Ng'ombe 5)Kukataa kuwaruhusu wakenya kutumia IDs kuingia Tanzania. Ninyi hamna UTU, lazima tupambane na ninyi.
Aisee, kumbe Raila alikuwa veteran wa vita vya Mau Mau? Sikujua!Unajua Raila alikua anatumia passport ya Tanzania na ndio alitumia kukimbilia nje?
No Kenyan loses sleep?
only an idiot looks at a spelling mistake n ignores the message,[emoji23][emoji23]usaidizi mgabi? au sio tumewapa na kiswahili bure kabisa lakini unaandika upumbavu hapa
Hamuwezi kuishi bila Tanzania ninyi,Pambaneni tu nasi. Sisi hata hatujui ninyi ni akina nani. Sisi tuko busy kujenga uchumi wetu hata tunashangaa kusikia eti kuna watu mahali fulani wanakosa usingizi wakituwaza usiku na mchana. Kenya haiwezi kufa eti kwa sababu nchi hafifu na dhaifu kama Tz wameamua kufunga border. Wakati wa Nyerere mlifunga border na maisha yetu iliendelea tu kama kawaida. Ninyi hamna umuhimu wowote kwetu hata mahindi na bidhaa zingine mnayoleta huku tunaweza kuyanunua kutoka nchi zingine ikiwemo Mexico na Egypt. Sisi hatuwazi mambo ya East Afrika sisi tunafanya global trade. Majani chai yanaenda Pakistan na Egypt. Kahawa na textiles yanaenda USA. Maua yanaenda UK na Uholanzi. Vegetables yanaenda EU. Remittances pia tunapata kutoka Wakenya wanaoishi ulimwenguni kote. Sisi tunahitaji Tanzania kwa jambo lipi?
Jana nimekutana na Malori kama 6 hivi yanatoa nyanya huku KilimanjaroHamuwezi kuishi bila Tanzania ninyi,
60% ya chakula kinatoka Tanzania
50% ya malighafi(raw materials) ya viwanda vyenu inatoka Tanzania.
70% ya bidhaa zenu, ama zibauzwa Tanzania, au hupitia Tanzania kwenda kuuzwa kusini mwa Africa.
Zaidi ya kampuni 500 za Kenya, zipo Tanzania.
We are the big brother in this zone.
Fortunately, we Kenyans have never claimed of helping South Africa in any way. Meanwhile, you Bongolalas act as if South Africans should worship the ground you walk on yet here this girl is trivilizing your supposed help to mere temprary hosting with preconditions. It's you that should be sad. 😅 😅Katika kile kinachotafsiriwa kama kuweka rekodi sawa, Wa Afrika Kusini wamekumbusha juu ya nchi zilizoisaidia katika kupambana na utawala wa kibaguzi waliopitia chini ya Makuburu.
Ukiwa ni muedelezo wa mjadala wa Xenophobia, Mkenya mmoja aliandaa makala na kuichapisha katika ukurasa wa Twitter. Kilichotokea ni kama ifuatavyo 👇👇👇View attachment 1212852View attachment 1212853View attachment 1212853
NAWASILISHA.
1953 hakukua nchi gani ilikua huruwhen our mau mau fighters were fighting the British Empire for over 6years, kikuyu ,embu and meru tribes were all put into camps , nani aliyetusaidia??? hii ujinga kutaka msaada wakati wote imefanya Africa kuwa maskini hohe hahe
Eti Land Rover.Kumbe hata historia ya nchi yako huijui hahahahah waulize wazee wako hilo gari lilitoka wapi ilikua land rover tena
Asikudanganye mtu, gari za kwanza za Mzee Jomo Kenyatta zilikuwa Mercedes Benz 300SE, mali ya GoK, Lincoln Continental(convertible) na Rolls Royce, zawadi kutoka kwa US business community jijini Nairobi. Zawadi ambazo baadaye zilizua mjadala mkubwa.usaidizi mgabi huo sasa, zawadi kidogo 1963 hata kumbu kumbu yake hakuna, 5yrs after the end of the Mau Mau rebellion ..
thanks for the quote, hawa wadanganyika wanasoma historia yao wenyeweEti Land Rover.
Asikudanganye mtu, gari za kwanza za Mzee Jomo Kenyatta zilikuwa Mercedes Benz 300SE, mali ya GoK, Lincoln Continental na Rolls Royce, zawadi kutoka kwa US business community Nairobi. Zawadi ambazo baadaye zilizua mjadala mkubwa.![]()
What Happened to Jomo Kenyatta's Convertible? - Owaahh
One of the gifts Jomo Kenyatta got in 1963 was a white, 1961 Lincoln Continental. But the convertible has never been seen in public since. Where did it go?owaahh.com
Wewe tingisha kichwa kidogo pengine una matatizo ya akili. Kenya tunalima vyakula vyetu. Hio 60% sijui umetoa wapi. Yaani hata umesahau kwa miaka mitatu mfululizo JPM amekataa kutuuzia mahindi. Halafu 2018 mvua ilinyesha vizuri hatukuimport vyakula vingi. Eti 70% ya export yetu inaenda Tanzania au SADC. Tingiza kichwa tena uhisi kama ubongo bado upo. Nishakueleza export za Kenya zinaenda EU, Pakistan na USA. Hakuna siku Kenya itakuja kuexport Maua SADC. Wacha kuota. Majani chai hakuna siku itaenda SADC. Kuota mchana sio nzuriHamuwezi kuishi bila Tanzania ninyi,
60% ya chakula kinatoka Tanzania
50% ya malighafi(raw materials) ya viwanda vyenu inatoka Tanzania.
70% ya bidhaa zenu, ama zibauzwa Tanzania, au hupitia Tanzania kwenda kuuzwa kusini mwa Africa.
Zaidi ya kampuni 500 za Kenya, zipo Tanzania.
We are the big brother in this zone.